Wewe huna team?
Kwa mfano umekaa na mimj.kwenye daladala, ukaona nalog in kwa this user name, nadhani wewe blogger utanisukumia hata dirishani.
This is how team d are low.
Wewe huna team?
Kwa mfano umekaa na mimj.kwenye daladala, ukaona nalog in kwa this user name, nadhani wewe blogger utanisukumia hata dirishani.
This is how team d are low.
Kiba ni balaa jana kwenye daladala alikua anazunguka jijini alijisifu yeye ni mkali sana na kumlinganisha na diamond ni kumdhalilisha labda diamond ni level ya mwanafunzi wake abdu kiba, na akasema akiamua kuimba style za ki nigeria kama diamond atatikisa dunia nzima bali anadhamini mziki wa kitanzania.
Kiba ni balaa jana kwenye daladala alikua anazunguka jijini alijisifu yeye ni mkali sana na kumlinganisha na diamond ni kumdhalilisha labda diamond ni level ya mwanafunzi wake abdu kiba, na akasema akiamua kuimba style za ki nigeria kama diamond atatikisa dunia nzima bali anadhamini mziki wa kitanzania.