Ali Kiba Fans' Special Thread...


achana nao hao wawili kejeli tu ndo zimewajaa hakuna wanalojua.
 
Last edited by a moderator:

Tatizo la haya mambo ni ku set Precedence

Na ikishakuwa Precedence kunyanyuka kutoka hapo itakuwa ni changamoto kubwa sana

Mtu anaweza kudhani kirahisi kwa macho ya karibu asiione hii Risk....

Lakini ni significant risk worth serious calculation
 

Mie ndio maana nimeamua niangalie tu, hawa watakatifu mama hawakoseagi makosa ni ya Kiba wetu tu na fans wake
 
Last edited by a moderator:
kibaka, kibakuli, kibajaji

Hapa wanajitoa ufahamu tu, mabaya yetu tuuuu, aiii mie wasinchoshe kwakweli, waondoke wakamjadili huyo mtakatifu wao labda warudi wakiwa hawana mihemko ya ushabiki.
 

Nashangaaa sana hafu hyo Malaya huwa anaikazania kama defence mechanism yake.
Wakishindwa hoja wanaume ukimbilia kutukana. Kwangu watu kama hao ni weak and shame mana hamna tusi jipya.
 
Last edited by a moderator:
Kwani mnavyomuitaga kiba yale majina yenu huwa mnashindwa kuita Kiba?? Au ya wenzenu tu ndio mnayaona?

Kwao ni Sawa ila MTU wao akiitwa chai jaba inakua nogwa. Ukiwa shabiki wa kitu lazma kujifunza Ku ignore
 
Nashangaaa sana hafu hyo Malaya huwa anaikazania kama defence mechanism yake.
Wakishindwa hoja wanaume ukimbilia kutukana. Kwangu watu kama hao ni weak and shame mana hamna tusi jipya.

Alafu kumbe ni mwanaume??? Aiii basi ndoho taabu(cjui nimepatia?)
Utakuwa unawasingizia mama tangu lini watakatifu wakatukana??
 
Alafu kumbe ni mwanaume??? Aiii basi ndoho taabu(cjui nimepatia?)
Utakuwa unawasingizia mama tangu lini watakatifu wakatukana??

Ndioo hao ndo waongozaji wa matusi kujibizana kihoja hawawezi wao hukimbilia kukashifu na vimipasho vya kijinga. Kuna huyo mmoja huwa anabadilisha I'd na kujifanya kukashifu. Wanaume wengine bwana.
 
Kwao ni Sawa ila MTU wao akiitwa chai jaba inakua nogwa. Ukiwa shabiki wa kitu lazma kujifunza Ku ignore

Tushawazoea mabaya ni ya kwetu na Kiba tu, wao watakatifu bwana, basi waendelee tu kuona hayo mabaya yake watuache nae tumemkubali hivyo hivyo ndio maana hatuishi kumsapoti na kumshauri pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…