Very true wakati ni sasa wa kutumia opportunity inayo kuja kwa kuchangamka na kwenda na situations ilivo.
Sijui kwanini aliwapuuzia richgang opportunity ni opportunity angeitumia kujiongeza financially zaidi na sio mengine kabisa.
Ni kweli hizi timu hazitabiriki kabisa afanye kazi kwa bidii zaidi kujiimarisha.
Kweli Kiba hajui maana ya hela.
Nadhani umenisoma.
Ila sisi tupo pamoja naye.Asitusinoneshe sana.
pwilo Kiba pamoja na ukimya ila ana uzubaifu fulani hiyo ni kweli kabisaa, na ukichangia na hiyo management bubu yake ndio kabisaaaa, hebu basi achangamke sasa, inaelekea upo karibu nae, hebu msimjaze sifa tuuu bila kusahau kumshtua aendane na soko, ila kwa utaratibu ili asiharibu
tulieni alete vitu au mnataka akurupuke hadi aimbe mduara msimfanyie hivyo ila ila kiba jeuri sana mpaka cabosnop amechoka kukaa na kollabo yake #kebekebe
mkuu kwani kiba ana a/c moja insta hilo lakutumfollow hta mtu mmoja cliafiki kabisaaa mtu anaweza kuwa nazo nyingi sana ila ile ndo official # Kebekebe
Hahahaaaa!! Video tulijitengenezea vichwani mpaka imechuja, hii strategy yawezekana alipoifikiria ilikuwa nzuri ila sasa naona kulingana na soko imefail, he has to change, inachukua muda mnooo kutoa video.Japo wimbo bado mtamu ila video imechelewa sana
Afanye lolote la kumfanya a move forward kwanza yeye mwenyewe kwenye muono wake anajiona anataka kufika level gani. Kuiga ni kuzuri ila kusema eti utumie njia alizotumia flani huwezi jua huyo alitumia nini hadi kufika alipo.
Naona awe active na serious na kazi ya muziki afanye vtu at right time,right place am sure he will progress.
mkuu kwani kiba ana a/c moja insta hilo lakutumfollow hta mtu mmoja cliafiki kabisaaa mtu anaweza kuwa nazo nyingi sana ila ile ndo official # Kebekebe
Cabo snop aliomba colabo hivi iliishia wapi? Aliiachia ile fursa hivihivi!! Mmmh mayb management ilikataa, mie bado nalia na management, hivi yeye haoni kama management yake ina shida?
wacha tu...nko naishi namoja ya team tandale ananipigia kelele kla day bt ntafanyaje..na hili boga letu tushalikubali..
wacha tu...nko naishi namoja ya team tandale ananipigia kelele kla day bt ntafanyaje..na hili boga letu tushalikubali..
msijali mi kauli yangu ni kwamba tusubirie swaumu ipite mtafrahi over #kebekebe
Unajuwa katika kazi yako huwezi ukawa unapatana na kila mtu, ila kuna baadhi ya vitu ni vidogo na kama havina maana hivi lakini vinaumuhimu wake na kuna watu wanachukulia serious... Nilimsikia yeye anasema amewafollow watu kwenye twitter lakini kwanini asifanye hivyo na insta, na usinambie kwa ile fanpage coz kawafollow watu wachache saana...
oya pwilo usitetee tu kila jambo, hii video tumeisubiria kwa muda mrefu na kwa ham kubwa, sasa kama ww unamjua huyo kiba au ndo ww mwenyewe ujue tunataka mabadiliko
CHANGE IS NOW!
hiyo ya richgang ilinipita, hebu nijuze Diva
Hivi hilo la kutufollow wenzie nini explanation yake kwa hilo?? Alitarget nini haswaaa! Maybe aliogopa pressure