Mmmmh alikujibu hivyo?? Nakumbuka alipost kuwa "ninashukuru nimesikia ushauri wenu and am working on it"
Kwahiyo unataka kila unachomwambia akichukue? Kumbuka ushauri unaotolewa ni mwingi mnooo na watu tofautitofauti na kila mmoja na mtazamo wake, it needs time for him kuchuja which is which, na kumbuka ana management hawezi kujiamulia tu, cha msingi aisuke kwanza management yake vizuri ili iendane na soko la muziki kwa sasa, na unaweza ukute ana malengo yake tofauti kabisaaa na tunavyofikiria, tumpe muda
Mmmmh alikujibu hivyo?? Nakumbuka alipost kuwa "ninashukuru nimesikia ushauri wenu and am working on it"
Kwahiyo unataka kila unachomwambia akichukue? Kumbuka ushauri unaotolewa ni mwingi mnooo na watu tofautitofauti na kila mmoja na mtazamo wake, it needs time for him kuchuja which is which, na kumbuka ana management hawezi kujiamulia tu, cha msingi aisuke kwanza management yake vizuri ili iendane na soko la muziki kwa sasa, na unaweza ukute ana malengo yake tofauti kabisaaa na tunavyofikiria, tumpe muda
Mmmmh alikujibu hivyo?? Nakumbuka alipost kuwa "ninashukuru nimesikia ushauri wenu and am working on it"
Kwahiyo unataka kila unachomwambia akichukue? Kumbuka ushauri unaotolewa ni mwingi mnooo na watu tofautitofauti na kila mmoja na mtazamo wake, it needs time for him kuchuja which is which, na kumbuka ana management hawezi kujiamulia tu, cha msingi aisuke kwanza management yake vizuri ili iendane na soko la muziki kwa sasa, na unaweza ukute ana malengo yake tofauti kabisaaa na tunavyofikiria, tumpe muda
Ngoja mimi nikafatilie nini shida mamy nikijua nakuja
abou anazngua tu bwana kiba yupo na ataendelea kuwepo subirini swaumu ipite waungwana msijali #abuuu99kiba
Cute the problem is time, kiba fail to send da video coz the time is insufficient
Kivipi? Explain kidogo basi
Ila hiyo kauli ya "yupo na ataendelea kuwepo" nayo ya kuangalia ujue, time is a bitch ndugu yangu, Kiba needs to deal with time pia, he is very slow kwakweli, ila yawezekana thats the way he is hanaga haraka wala papara(which is good ktk mazingira fulani) ila kuna muda anatakiwa ashtuke, muda umebadilika sana now
Muda wa kusubiri,
Kujipanga na kujiandaa kwa kasi ya sasa na mabadiliko ya soko la muziki na matarajio ya mashabiki ilikua ni kabla hajatoa tamko.
Naona amekua konokono....
Je kweli jina la UFALME linamstahili?
#sihamikambi
Ivi kweli huelewi au unajifanyisha?
Maana yake ni, expectations zilikua kubwa kuliko anachotupatia.
Though kuna mambo makubwa mengi yanakuja taratiiiiiiiiibu yatakuta mtaa wa kati wameshazeeka.
Umri unaenda.
mi ni shindwa hata kuwaelewa hawa au wanataka awe kama AY afanye vitu lakini hamna mafanikio cha muhimu kutulia kwanza good things are coming nyie subirini colabo ya wizkidayo chrisbrown na bella wataelewa tu#kebekebe
abou anazngua tu bwana kiba yupo na ataendelea kuwepo subirini swaumu ipite waungwana msijali #abuuu99kiba
mi ni shindwa hata kuwaelewa hawa au wanataka awe kama AY afanye vitu lakini hamna mafanikio cha muhimu kutulia kwanza good things are coming nyie subirini colabo ya wizkidayo chrisbrown na bella wataelewa tu#kebekebe