tunusuru nchi yetu taifa stars huko ishapigwa tatu sifuri na unganda,,,, mnaonaje tukilipiza kisasi kwa kupiga 3 za diamond platnumz afu 1 kwa vee mtonyo pale ndichi au sio...
Tupo pamoja wadau me ninachowakubali mnajielewa, tunathamini mapenzi yenu kwa chibu dangote nasi yunamkubali ali k for real pamojaaaaaaaaa