Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
Ali Kiba ndo mwenyewe mfalme atadumu milele na milele!
Promo na iendelee vote for KingKiba
Peleka kwenye Uzi wake huku hatatuhusu mambo yake Invisible pitia huku. Uwe unakuja na I'd yako iliyozoeleka mana wajifanya kichwa ngumu. Nyie timu ndomo sijui mkoje yakiwashinda kila siku kuja na vi I'd vipya juzi mumeanzisga Uzi wa kizushi.
Hafu huyo apololo kumbe ni muuza njiwa hapa mjini nadhani ni wa kumpuuza tu. Life gumu linamsumbua hapo kanunuliwa bundle.
@modetator, Invisible wote wanaumwa vidole hawawezi kuzihamisha hizo post za ndomo kuzipeleka kule kwao na ndo maana hawa watu wanavimba vichwa.
Kule kwao anaenda kucomment kwa ID yake ya kawaida then anakuja kuchokoza huku kwa ka ID kengine!
Taratibu hivi hivi mwishoe wanaanza kufungua threads kudiss wenzao.
Shangaa wewe!
Why Kiba?
Jamani, hatuwezi kufanana.
WAACHE WIVU NA ROHO MBAYA.MAFANIKIO HAYAKUUMBWA KWA MTU MMOJA PEKEE.
Peleka kwenye Uzi wake huku hatatuhusu mambo yake Invisible pitia huku. Uwe unakuja na I'd yako iliyozoeleka mana wajifanya kichwa ngumu. Nyie timu ndomo sijui mkoje yakiwashinda kila siku kuja na vi I'd vipya juzi mumeanzisga Uzi wa kizushi.
Gudmorning #TeamMuzikiMzuri #Teamkiba haya sasa @officialalikiba ameingia kwenye tuzo za Archivers awards zinazotolewa na chuo kikuu cha Dar es salaam kama most inspiration music icon.(msanii aliewashawishi watu wengi kupitia muziki wake, maisha yake na heshima yake kwa jamii inayomzunguka.) Nadhani wote tunajua #KingKiba
alivyo wa inspire vijana wengi kupenda kuimba, jinsi anavyoheshimika kwa mchango wake kwenye jamii na pia kama msanii asie na skendo za ajabu na anajichangaya na kila mtu kwenye jamii awe wa hali ya chini au ya juuu.
Basi twendeni tukampigie kura
BADO SIKU 2 TU.. baada ya hapo tunaendelea na #kilimusicawards nifah, atoto, Ms.Lincoln, Avemaria, Diva Beyonce, unanitaka, Matola na fans wote wa kiba
Huyo kedrick wakati anatiwa mimba alikuwa anafurahia tu why now ndo aanze kuropoka au alidhani mimba ndo kila kitu?
Ye atulie
It's so boring kuja kwenye Uzi special kwa ajili ya Kiba na kupost yasiyo mhusu. Wana tabia mbovu isiyo ya kistaarabu kabisa hafu wanakuja na I'd mpya kwao wana comment na I'd zao zilizozoeleka. Huko ka si ukosefu wa ustaarbu nini? Please Invisible do something uu utoto umezidi sasa and it's intolerable kabisa.Naona hii tabia imezidi kukua sasa. Hamishieni taarifa na picha za dai kwenye Uzi wake.
Sijui walitaka Kiba abakie yupo yupo tu ndo roho zao ziridhike.
cute b wapi link?Tupe link tukavote yaani mie kura silazii damu.
Am a die hard fan wa Kiba......wewe mwaflani uliekuwa unahorojoka jana eti tunaact die hard fans....lako hili pita tena uliangalie kwa umakini upate cha kwenda kucomment si unapitaga kimya kimya unatuangaliiiiiiia kwa jicho lako la husda....kaogeeee bibi weee kisha kahemee vyupi vya wanao!!! Mxiiiuuuuu
Alafu huyu sijui ni mmoja wa wanawake walozaa na kiba!! Maana hizo mimba zinamuuma kweli
Oyoooooo, asante muandishi wetu wa habari wa Kiba Fans Ho. cute b....leo nimekupa heshima yako bibie, uko vizuri.
Leta link tuvote sie, wale wa mb 8, hata vocha za kupiga kura hawana ndio maana hawawezi kuvote.
Mwisho wa siku King Kiba akishinda wanakopa vocha halafu wanaingia humu na kumwaga povu utadhani walinyimwa wasipige kura.
cute b wapi link?
Oyoooooo, asante muandishi wetu wa habari wa Kiba Fans Ho. cute b....leo nimekupa heshima yako bibie, uko vizuri.
Leta link tuvote sie, wale wa mb 8, hata vocha za kupiga kura hawana ndio maana hawawezi kuvote.
Mwisho wa siku King Kiba akishinda wanakopa vocha halafu wanaingia humu na kumwaga povu utadhani walinyimwa wasipige kura.
Tupe link tukavote yaani mie kura silazii damu.
Am a die hard fan wa Kiba......wewe mwaflani uliekuwa unahorojoka jana eti tunaact die hard fans....lako hili pita tena uliangalie kwa umakini upate cha kwenda kucomment si unapitaga kimya kimya unatuangaliiiiiiia kwa jicho lako la husda....kaogeeee bibi weee kisha kahemee vyupi vya wanao!!! Mxiiiuuuuu
http://goo.gl/forms/qU7mi5yJgn link hiyo apo tupige kura sasa atoto Diva Beyonce Avemaria nifah Ms.Lincoln