cute b umetisha sana.Hakika ni yeye 100% maana nimefanya na 'karesearch' kidogo kwenye arguments zake ndio hivihivi kama anavyo argue hapa.Ngojeni niwatumieni pm id yake nyingine...
Zile namba za mwanzo haziko active kwa sasa huko WhatsApp unaweza kusubiri hadi uchoke bila majibu.Juzi nilipitia instagram huko nikakuta Kiba kaweka namba mpya nazo chenga tu zikawa haziko WhatsApp. Sijajua kwa sasa hali ikoje labda kesho nitafuatilia hili.