Domo ni kama Nick Minaj.
Pamoja na kufagiliwa koooote na kupewa collabo hadi watoto wa Primary wanamjua.......lakini akipangwa na Eve ama Missy Elliot lazima akalishwe!!
Hivi Mondi kwenye hizo collabo anaimbaga nini, frankly??
Kwenye coco baby Waje mwenyewe kaimba vizuri ila ndugu yetu sasa osheeeeee eeeh na poorest lyrics & vocal ever! No more discussion
Kwenye ile nyimbo ya Yemi Alade sasa.....Chinekeeeeeee he dey destroy my ear drums oooh!!!
Save da words now, make you tell your Oga!
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.
Jibu swali ww mwenye phd basi kiba ana tuzo ngapi za international
Kiba ana international awards ngapi,?
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.
Hivi wewe chizi unataka nini? Maana nimekaa kimya naona sasa unazidi kutuchefua tu.
Acha kutujazia uzi wetu na picha moja mshamba mkubwa wewe hata huoni aibu.
Umeng'ang'ania jambo moja kama mwanafunzi wa primary bwana.Ndio maana nililiona hili mapema kua wewe unaonekana dogo sana.Huu ujinga wako peleka fb au kwa wajinga wenzio usituharibie siku.
Wew una shida gani na humu ndani? Unatafuta wanaume au?
Nijibu plz plz plz kiba ana international awards ngapi plz nijibu
Muhurumieni tu huyu, walaa hajui alitendalo, ndio kwanzaaa kavunja ungo, chezea bleed ya kwanza wewe!!! Hebu huo upuuzi wake aupeleke kwa viazi wenzie hukoooo!
Kwa kuwasaidia hana tuzo yoyote ya njee maanan mnaona aibu kujibu pyeeeeeeeeeee
Kwa kuwasaidia hana tuzo yoyote ya njee maanan mnaona aibu kujibu pyeeeeeeeeeee
Huyo ni ke, there is no way atakuwa me.
Anatafuta migegedo huku... maana cha maana kilichomleta hamna ni kaotea huko picha ya domo ndo anajikutaaa
Hahahaaaaaa!!a you made my day, chai jaba anamuogopa sn domo wallah! Mara ngapi anapanda jukwaani na wasanii wengine ila walaaa hapanik, ila na kiba sasa ni kizungumkuti, moja haimkai mbili inapotea, and yet wanajifanya kumdiss kiba, weweweeeee this shows how much he ruins him.
King hoyeeeeeeeee
Wallah Avemaria nazidi kukupenda wewe mdada.Ulichokiongea kuhusu Nick Minaj ni ukweli mtupu.
Eve na Miss Elliott mbali...Iggy Azalea tu anampa pressure sasa hivi!
The rest. ....umemaliza yote.Nikisema chochote nitaharibu.Tungoje collaboration na p2 tuzidi kucheka sie.
Asante mdogo wangu.
Watu wanashabikia muziki kwa style ya bendera fuata upepo utakapoelekea na wao wanafuata.
No wonder sasa hivi wanashabikia tuzo!!!
Nikiwa kama mdau wa muziki the only thing chenye naweza fanya ni kumpongeza Mondi kwa kupata tu ule ujiko lakini kusema kwamba eti ni mwanamuziki mzuri zaidi ya Kiba.....hapana aiseee kwa King atasubiri sana!