Ali Kiba Fans' Special Thread...


Hahaaaa ndo manake mana pale chini kamalizia hamna wa kumshusha kwenye kilele cha mafanikio yao nikiangalia hata kipindi cha fiesta alichozomewa team yake wakawa wanadai clouds iliandaa vijana kumzomea kumshusha kwahyo yeye ndo anajiona best na ana staili kuliko wote akiona ushindani anataka kushushwa kwani yeye ni nani? Kanishangaza mno kwa kauli yake hyo mana kila tuzo viulalamishi huwa haviishi. Hajatumia busara kuandika hivo ajiamini tu ana safari ndefu anatukana mamba kabla ya kuvuka mto.
 

Hahaaaa! Diva umenikumbusha kuna cku nilimquote nifah alafu vikatojea vitu vya ajabu, hebu angalia hapo ulichoquote
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaa! Diva umenikumbusha kuna cku nilimquote nifah alafu vikatojea vitu vya ajabu, hebu angalia hapo ulichoquote

Hahaaaa nashangaa nime Ku quote Ku submit eti inaleta mambo ya Jk imenishangaza loh!
 
Last edited by a moderator:
Weraweraaaaaaaaa
 

Attachments

  • 1431206665149.jpg
    56.2 KB · Views: 76
  • 1431206680478.jpg
    62.8 KB · Views: 73
Teeeeeeenaaaaaa
 

Attachments

  • 1431207037560.jpg
    60.8 KB · Views: 75
  • 1431207053160.jpg
    62.7 KB · Views: 77
Handsome boy himself
 

Attachments

  • 1431207307928.jpg
    52 KB · Views: 86
  • 1431207321719.jpg
    54 KB · Views: 88
  • 1431207334754.jpg
    45.5 KB · Views: 88
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…