Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,337 Mar 3, 2015 #8,261 Abou Saydou said: Warioba anusurika kupokea kichapo kutoka kwa Mugabe baada ya kuiponda Cheketua 😱😱😱 Click to expand... Abou Saydou said: Namaanisha Tid na Chillah 😕😕nini kinacho load mda mrefu hivyo? Click to expand... Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza.
Abou Saydou said: Warioba anusurika kupokea kichapo kutoka kwa Mugabe baada ya kuiponda Cheketua 😱😱😱 Click to expand... Abou Saydou said: Namaanisha Tid na Chillah 😕😕nini kinacho load mda mrefu hivyo? Click to expand... Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,262 nifah said: Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza. Click to expand... chekecha cheketuaaa
nifah said: Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza. Click to expand... chekecha cheketuaaa
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,263 khaaaaaah!! Kiba anawashika watu pabayaaaaaaaa!
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Mar 3, 2015 #8,264 kui said: Uongo m baya mwimbo mzuri!, nimechekecha na kuchekechua mpaka nikajikuta kwenye hii thread! #AliKiba Click to expand... Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake.
kui said: Uongo m baya mwimbo mzuri!, nimechekecha na kuchekechua mpaka nikajikuta kwenye hii thread! #AliKiba Click to expand... Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake.
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,948 Reaction score 2,112 Mar 3, 2015 #8,265 nifah said: Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza. Click to expand... Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba
nifah said: Khaaaaa! Nilikua sijajua unamaanisha nini kwenye hiyo comment ya kwanza. Click to expand... Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Mar 3, 2015 #8,266 atoto said: mweeeh!! kweli nifah ataniponza huyu Click to expand... Shauri yako. Tuendelee tu kucheketua Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
atoto said: mweeeh!! kweli nifah ataniponza huyu Click to expand... Shauri yako. Tuendelee tu kucheketua
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Mar 3, 2015 #8,267 Abou Saydou said: Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba Click to expand... Mi nilikuelewa kwa warioba ila mugabe mmmh ndo nasikia leo.
Abou Saydou said: Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba Click to expand... Mi nilikuelewa kwa warioba ila mugabe mmmh ndo nasikia leo.
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,337 Mar 3, 2015 #8,268 Abou Saydou said: Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba Click to expand... Nakuambia???...lol
Abou Saydou said: Ulijua Baba wa zambia na mzee Wa rasimu ya katba Click to expand... Nakuambia???...lol
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,269 Avemaria said: Shauri yako. Tuendelee tu kucheketua Click to expand... yaani nacheketua hatari kama princess vile
Avemaria said: Shauri yako. Tuendelee tu kucheketua Click to expand... yaani nacheketua hatari kama princess vile
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,270 Avemaria said: Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake. Click to expand... kwani unadhani hawajui utamu wake??? wanauponda midomoni ila mioyoni wanauimba, chuki zao binafsi tu ndio zinawatesa and u know the reason as to why no mata wht lazima wauponde, teh teh teh
Avemaria said: Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake. Click to expand... kwani unadhani hawajui utamu wake??? wanauponda midomoni ila mioyoni wanauimba, chuki zao binafsi tu ndio zinawatesa and u know the reason as to why no mata wht lazima wauponde, teh teh teh
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,500 Mar 3, 2015 #8,271 atoto said: yaani nacheketua hatari kama princess vile Click to expand... hahaha!
kui JF-Expert Member Joined Mar 2, 2009 Posts 6,467 Reaction score 6,500 Mar 3, 2015 #8,272 Avemaria said: Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake. Click to expand... ......ni kweli, ukiupa muda unaona utamu wake!
Avemaria said: Eeeewwwwww asante kwa kuliona hilo and karibu sana. Binafsi mtu anaeuponda huu wimbo ningemshauri ajipe muda kwanza taratibu atauona utamu wake. Click to expand... ......ni kweli, ukiupa muda unaona utamu wake!
Y yohana mtandi New Member Joined Mar 1, 2015 Posts 1 Reaction score 3 Mar 3, 2015 #8,273 Ali kiba ndio mfalme Wa bongo fleva
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,569 Mar 3, 2015 #8,274 Habari yenu wana kiba!
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,948 Reaction score 2,112 Mar 3, 2015 #8,275 Ruttashobolwa said: Habari yenu wana kiba! Click to expand... Nzuri 😎😎😎
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,337 Mar 3, 2015 #8,276 Ruttashobolwa said: Habari yenu wana kiba! Click to expand... Hahahaaa, sijui kwanini nikikuona hapa hua nacheka sana!
Ruttashobolwa said: Habari yenu wana kiba! Click to expand... Hahahaaa, sijui kwanini nikikuona hapa hua nacheka sana!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,277 yohana mtandi said: Ali kiba ndio mfalme Wa bongo fleva Click to expand... very true.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,278 kui said: ......ni kweli, ukiupa muda unaona utamu wake! Click to expand... wazee wa vitorondo they know not, gud music like this inahitaji muelewa kuuelewa.
kui said: ......ni kweli, ukiupa muda unaona utamu wake! Click to expand... wazee wa vitorondo they know not, gud music like this inahitaji muelewa kuuelewa.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,279 Ruttashobolwa said: Habari yenu wana kiba! Click to expand... teh teh mtani bwana!!! hujambo?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,410 Reaction score 176,321 Mar 3, 2015 #8,280 nifah said: Hahahaaa, sijui kwanini nikikuona hapa hua nacheka sana! Click to expand... najua kwa nn unacheka
nifah said: Hahahaaa, sijui kwanini nikikuona hapa hua nacheka sana! Click to expand... najua kwa nn unacheka