A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Feb 3, 2015 #7,521 nifah said: Sasa ndio nimepata jibu aisee.Mbona kitorondo sijakiona hapo?Au hakipo hata kwenye 20 bora nini? Teh teh teh Click to expand... Hahahaaa kama kunifurahisha tu, huwa unanifurahisha kwakweli. Hujui kumumunya maneno ni mwendo wa letamkoz tuuu! Lol
nifah said: Sasa ndio nimepata jibu aisee.Mbona kitorondo sijakiona hapo?Au hakipo hata kwenye 20 bora nini? Teh teh teh Click to expand... Hahahaaa kama kunifurahisha tu, huwa unanifurahisha kwakweli. Hujui kumumunya maneno ni mwendo wa letamkoz tuuu! Lol
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,948 Reaction score 2,112 Feb 3, 2015 #7,522 Mnyakilambo7 said: Waachen wafu wazike wafu wenzao!!😛😀😉 Click to expand... Ukiwa na maana gani?
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Feb 3, 2015 #7,523 Abou Saydou said: Wimbo Una miezi 6 au 7 ila unasumbua tu imeshika no 2 Kati ya 100 Click to expand... Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!!
Abou Saydou said: Wimbo Una miezi 6 au 7 ila unasumbua tu imeshika no 2 Kati ya 100 Click to expand... Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,524 nifah said: O.M.G!Nimefurahi sana.Ahsante sana abou kwa kutupa info kama hizi. Kumbe King anakimbiza huko Kenya hivi? Click to expand... wakenya wanampenda sana kiba, hata utube comment nyingi nzuri zilikuwa ni za wakenya Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nifah said: O.M.G!Nimefurahi sana.Ahsante sana abou kwa kutupa info kama hizi. Kumbe King anakimbiza huko Kenya hivi? Click to expand... wakenya wanampenda sana kiba, hata utube comment nyingi nzuri zilikuwa ni za wakenya
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,525 Mnyakilambo7 said: Waachen wafu wazike wafu wenzao!!😛😀😉 Click to expand... Kwa hiyo wewe pia ni mfu unayezika au unayezikwa?
Mnyakilambo7 said: Waachen wafu wazike wafu wenzao!!😛😀😉 Click to expand... Kwa hiyo wewe pia ni mfu unayezika au unayezikwa?
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,526 nifah said: Mdakuzi wangu nimemficha pm.Hatoki kabisa huko,chezea mimi wewe?...lol Click to expand... pm!!! ngoja nikaombe kazi ya umoderator Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nifah said: Mdakuzi wangu nimemficha pm.Hatoki kabisa huko,chezea mimi wewe?...lol Click to expand... pm!!! ngoja nikaombe kazi ya umoderator
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Joined Apr 22, 2011 Posts 10,707 Reaction score 5,678 Feb 3, 2015 #7,527 Abou Saydou said: Ukiwa na maana gani? Click to expand... Usimpe attention!!
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,528 Avemaria said: Hahahaaa kama kunifurahisha tu, huwa unanifurahisha kwakweli. Hujui kumumunya maneno ni mwendo wa letamkoz tuuu! Lol Click to expand... Hahahahaaa.Nikuambie kitu?Mimi hua kila ninaposikia wimbo wa kimasomaso nakukumbuka sana. Nakumbuka zile # tag zako na unavyoupenda...... Kila nilivyokua nataka kukuambia nasahau!
Avemaria said: Hahahaaa kama kunifurahisha tu, huwa unanifurahisha kwakweli. Hujui kumumunya maneno ni mwendo wa letamkoz tuuu! Lol Click to expand... Hahahahaaa.Nikuambie kitu?Mimi hua kila ninaposikia wimbo wa kimasomaso nakukumbuka sana. Nakumbuka zile # tag zako na unavyoupenda...... Kila nilivyokua nataka kukuambia nasahau!
M Mnyakilambo7 Member Joined Oct 15, 2014 Posts 63 Reaction score 27 Feb 3, 2015 #7,529 Abou Saydou said: Ukiwa na maana gani? Click to expand... Nitajie mtanzania wa kwanza kuwa nominated kwenye tuzo za BET kwanza......den nitakueleza maana yangu!
Abou Saydou said: Ukiwa na maana gani? Click to expand... Nitajie mtanzania wa kwanza kuwa nominated kwenye tuzo za BET kwanza......den nitakueleza maana yangu!
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,530 Avemaria said: Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!! Click to expand... King katisha sana.Sijaamini macho yangu kabisa! Umeona hizo project za King sasa?
Avemaria said: Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!! Click to expand... King katisha sana.Sijaamini macho yangu kabisa! Umeona hizo project za King sasa?
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,948 Reaction score 2,112 Feb 3, 2015 #7,531 Avemaria said: Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!! Click to expand... Yap bidada
Avemaria said: Kule kwenye iTune tunakoendaga kununua nyimbo kama amazon? Duh katishaaaa!!! Click to expand... Yap bidada
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,532 atoto said: wakenya wanampenda sana kiba, hata utube comment nyingi nzuri zilikuwa ni za wakenya Click to expand... Kweli aisee.Ujue Navio alivyofanya mahojiano na Misago kwenye FNL alimtaja King lakini akamuongeza ndomo baada ya kujishtukia.... Teh teh ....
atoto said: wakenya wanampenda sana kiba, hata utube comment nyingi nzuri zilikuwa ni za wakenya Click to expand... Kweli aisee.Ujue Navio alivyofanya mahojiano na Misago kwenye FNL alimtaja King lakini akamuongeza ndomo baada ya kujishtukia.... Teh teh ....
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,533 atoto said: pm!!! ngoja nikaombe kazi ya umoderator Click to expand... Hahahahaaaa....wewe?
Abou Saydou JF-Expert Member Joined Dec 1, 2014 Posts 2,948 Reaction score 2,112 Feb 3, 2015 #7,534 Mnyakilambo7 said: Nitajie mtanzania wa kwanza kuwa nominated kwenye tuzo za BET kwanza......den nitakueleza maana yangu! Click to expand... Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷
Mnyakilambo7 said: Nitajie mtanzania wa kwanza kuwa nominated kwenye tuzo za BET kwanza......den nitakueleza maana yangu! Click to expand... Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷
M Mnyakilambo7 Member Joined Oct 15, 2014 Posts 63 Reaction score 27 Feb 3, 2015 #7,535 Abou Saydou said: Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷 Click to expand... Nishajua uwezo wa akili yako.......polee sana mkuu km ndo akili yako haswaa iliyokufanya ukaandika apa!!!
Abou Saydou said: Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷 Click to expand... Nishajua uwezo wa akili yako.......polee sana mkuu km ndo akili yako haswaa iliyokufanya ukaandika apa!!!
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,536 nifah said: King katisha sana.Sijaamini macho yangu kabisa! Umeona hizo project za King sasa? Click to expand... Kibaaaaaa, pop it in
nifah said: King katisha sana.Sijaamini macho yangu kabisa! Umeona hizo project za King sasa? Click to expand... Kibaaaaaa, pop it in
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,537 Abou Saydou said: Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷 Click to expand... abou plzzzz Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Abou Saydou said: Unamaanisha BET ule mchezo wa kamali kwa mashabiki wampira? Jina lako linasadifu kabila moja la daresalam 😷😷😷😷 Click to expand... abou plzzzz
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,538 nifah said: Kweli aisee.Ujue Navio alivyofanya mahojiano na Misago kwenye FNL alimtaja King lakini akamuongeza ndomo baada ya kujishtukia.... Teh teh .... Click to expand... uwezo wa kiba wanaujua vizuri sana, haswa kwa waelewa wa muziki
nifah said: Kweli aisee.Ujue Navio alivyofanya mahojiano na Misago kwenye FNL alimtaja King lakini akamuongeza ndomo baada ya kujishtukia.... Teh teh .... Click to expand... uwezo wa kiba wanaujua vizuri sana, haswa kwa waelewa wa muziki
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,560 Feb 3, 2015 #7,539 nifah said: Hahahahaaaa....wewe? Click to expand... teh teh teh, si mmeanza kunifundisha umbea wewe na Ms.Lincoln Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
nifah said: Hahahahaaaa....wewe? Click to expand... teh teh teh, si mmeanza kunifundisha umbea wewe na Ms.Lincoln
Nifah JF-Expert Member Joined Feb 12, 2014 Posts 34,411 Reaction score 82,338 Feb 3, 2015 #7,540 atoto said: teh teh teh, si mmeanza kunifundisha umbea wewe na Ms.Lincoln Click to expand... Hahahahaaaa sio umbea huu sasa.Ni wa ma celebrities.... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
atoto said: teh teh teh, si mmeanza kunifundisha umbea wewe na Ms.Lincoln Click to expand... Hahahahaaaa sio umbea huu sasa.Ni wa ma celebrities....