you cant be seious!!! hivi haya mambo yapo kweli kumbe!!!!ni kiba tu anawapa watu taabu hv au kuna lingine???wao si wanasema kiba hamna kitu hata tuzo ni ya redio1 tu!! sasa kwann wahangaike hivyo if he isnt a threat to them? mie huwa najiuliza hili swali sipati jibu, ila ukiangalia in all ways still bado wakimtaja ndomo lazima wamuhusishe Kiba, why???? wakati washasema hana lolote???si watulie wafanye yao na kiba afanye yake kistaarabu tu, kwani sh ngapi labda!!!