Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hasidi hana sababu nifah

Hiyo ndio permanent solution, umeona huyo mjinga nilivyomtupa selo alivyokuwa anarukaruka kama maindi kwenye sufuria au mashine ya popcorn?

Don't invite audience with foolish people they will grab you to there level and beat you with experience.

Haha haaaa,nimemuona na naona ameshapata stahiki yake nyingine aliyokua anaitafuta.Watu wengine sijui wakoje...
 
Kumwogopa mwanaume mwenzio na kumweka ban ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume ndio maana mama samira akakukimbia baada ya kuona wewe ni MKASI yaani si unajua Mkasi haukati mpaka UTIWE VIDOLE KWA NYUMA...

Hahahaha mkuu umemaliza kila kitu.. Huyu jamaa atakua si rijali
 
Haha haaaa,nimemuona na naona ameshapata stahiki yake nyingine aliyokua anaitafuta.Watu wengine sijui wakoje...

Wenzao sisi tunasocialise hapa hili kuifanya dunia kuwa sehemu salama zaidi ya kuishi na kuongeza happiness, kinyume chake wao wanaigeuza JF kama kijiwe cha kushushia watu hasira zao za kuchemka maisha ya kitaa na mbaya zaidi wanaspend muda mwingi kudonate ujinga kwa kuiga watu waliopo online bila kujuwa exactly source of income za watu humu.

Pia msisahau kutumia button ya report abuse wanapokuja watu waliokosa ustaarabu na maadili ukishindana nao utakuwa unaangukia kwenye ban wewe badala ya wao.
 
Ni kweli mimi si rijali maana uliniletea tigo yako sikudindisha, sihitaji mashoga miye.

Msalimie faby kwenye kutumikia ban aliyoitafuta kwa nguvu.

Wewe ni next.

We jamaa una mambo ya kitoto kweli, sasa unatamba na hizo ban kwani zinaua?? I'm still getin' my day in asshole
 
Nani kakuambia hapa tunatafuta Mshindi?

Ujue kuna tatizo moja dogo sana, watu hawajawahi fika Rwanda, nchi ambayo hata Rais wake kuna wakati huwa anajiendesha mwenyewe kwa gari lake.
Hii ina maana kwamba Rwanda bado haijawa nchi ya amani kihivyo, kwa hiyo karibu kila mgeni anayeweza kuvuta idadi ya watu hulindwa hivyo.
Hebu watembee kwanza waone sio kuja kujitia aibu tu hapa. Karibu kila msanii akienda kule hulindwa na Jeshi kwa kuhofu anaweza kupata madhara kutokana na ujio wake kuwa na idadi kubwa ya watu ama kujulikana na wengi.
Kuhusu hiyo show ya Uyu N'umwaka iliyofanyika Amahoro, sijui kuna tatizo la uelewa au watu wamepotoshwa au mimi sijaelewa, ila nachojua lilikuwa ni tamasha.
Kwa bahati naijua maana ya tamasha (concert), ni kama ilivyo kwa Fiesta au usiku wa Matumaini, mi nadhani haiwi ya msanii mmoja, ila huwa na msanii mkuu.
Kila mwisho wa mwishoni mwa mwaka Amahoro hufanyika tamasha kubwa kama lile na kuhusisha wasanii wa ndani kadhaa na wa nje wachache.
2012 mwishoni nilikuwa Rwanda kikazi, wasanii wageni walikuwa P Square na hata Rais Kagame alikuwa mmoja wa waliohudhuria. Kulikuwa na idadi kubwa ya watu ambayo haijawahi tokea mpaka sasa.
Nadhani tutafundishana polepole hapa hadi tutaweza ongea lugha moja. Hili ni jukwaa kubwa sana.
Ova
 
Kipindi cha ras wiser Matola alikua ana act ana adabu sanaa


https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=629850


Dahh ila invisble noma sana ulimvua nguo mshakaji maanake ile id ya RAS WISER aliingia na uhalisia wa maisha yake. Kwamba hana hela ya ADA mke kamtosa mwanamke anamzidi KIPATO. Mwanamke ananunua GARI yeye hana kitu na mengine mengi....

Ndio maana unamchukia DOMO kumbe ni stress za MAISHA tu...

Nisiwanyime uhondo bofya link hapa chini ukamsome Matola aka RAS WISER aka BILLIONAIRE PITGAN

Cc Ritz Carton barlet kahtaan matumbo lusungo Chinga One mtvbase Ngongoseke stata mzuka THE BIG SHOW Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Hicho ni kipindi cha ras wiser na billionaire pitgan kabla mods hawajaunganisha na Matola
 

Attachments

  • 1420636546213.jpg
    1420636546213.jpg
    51.3 KB · Views: 49
  • 1420636561001.jpg
    1420636561001.jpg
    62.3 KB · Views: 51
  • 1420636572630.jpg
    1420636572630.jpg
    74.5 KB · Views: 49
  • 1420636586901.jpg
    1420636586901.jpg
    70.3 KB · Views: 47
  • 1420636612571.jpg
    1420636612571.jpg
    55.3 KB · Views: 52
  • 1420636629051.jpg
    1420636629051.jpg
    43.7 KB · Views: 45
Last edited by a moderator:
Hicho ni kipindi cha ras wiser na billionaire pitgan kabla mods hawajaunganisha na Matola

Yaani unalia lia mke wako wa zamani kununua gari halafu unakuja huku kumtukana diamond wakati yeye magari ana honga kwa vimada... kweli umaskini ni mbayaa unaleta chuki moyoni
 
Last edited by a moderator:
Kipindi cha ras wiser Matola alikua ana act ana adabu sanaa


https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=629850


Dahh ila invisble noma sana ulimvua nguo mshakaji maanake ile id ya RAS WISER aliingia na uhalisia wa maisha yake. Kwamba hana hela ya ADA mke kamtosa mwanamke anamzidi KIPATO. Mwanamke ananunua GARI yeye hana kitu na mengine mengi....

Ndio maana unamchukia DOMO kumbe ni stress za MAISHA tu...

Nisiwanyime uhondo bofya link hapa chini ukamsome Matola aka RAS WISER aka BILLIONAIRE PITGAN

Cc Ritz Carton barlet kahtaan matumbo lusungo Chinga One mtvbase Ngongoseke stata mzuka THE BIG SHOW Dinazarde

Huyu kibaka wamemkosakosa kwenye msako wa panya road alikimbilia kujificha kwao biharamulo....Mwaka huu wakimkosa basi akachinje mbuzi, ata hivyo jamaa ni mental case kidizain.
 
Last edited by a moderator:
1a.jpg
Eti na bado kuna watu wanasema Zari ni tajiri. Ona hapa anapiga mizinga kwa rafiki wa aliyekuwa mume wake Ivan Semwanga, anaitwa King. Anabembeleza kwa kuomba hela kwa siku mbili mfululizo halafu bado anaitwa eti mwanamke tajiri. Bila hata kujua ana biashara gani bado unamuita tajiri.
Ova
 
Unakwenda wapi? Kaa kwenye thread kuna ban zimetembea hapa watu wamekwenda kuchukuwa makoti yao waliyoacha mchagoni.
Nyie wanaume nyie!Basi tu afu mtu mwenye mapungufu huwa mnasema ana akili ya kike yani dhaifu,in real sense nyie wanaume mna akili duni kuliko sisi!!Yamepita hayo...
 
Huyu kibaka wamemkosakosa kwenye msako wa panya road alikimbilia kujificha kwao biharamulo....Mwaka huu wakimkosa basi akachinje mbuzi, ata hivyo jamaa ni mental case kidizain.




Huyu kibaka wamemkosakosa kwenye msako wa panya road alikimbilia kujificha kwao biharamulo....Mwaka huu wakimkosa basi akachinje mbuzi, ata hivyo jamaa ni mental case kidizain.
Matola ni Big Celeb wanaume suruali wote mnapatwa na stress kwa ajili yangu!? Na bado.

I love this game bring it on na warembo wanazidi kufurika pm wakitaka kujuwa kwa nini wanaume suruali wako bize na mimi? Jibu lake ni Faaaaaame.

I thank u guys beause of ur big mouth warembo wenye TBS tunafrilit huko pm na wasapu mbululaz bakini na mawivu yenu tu 2015 tunaignore wapumbavu wote.
 
Back
Top Bottom