Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Na nilitaka kukuuliza uko bukoba nini?
Aisee hiyo picha ya pili hapo mate yamenitoka...penda sana ndizi nyama mimi!

Uknw kama vipi ningejua ninge kutumia kwa simu
 
Kazi kweli kweli huu mchuano
Platnamuz alisindikizwa hadi na msafara wa gari la polisi na show ilijaa vibaya
Hebu tupeni na picha za show ya kiba tuone nani anakubalika zaidi huko
 
Teh...naona yeye Kiba siku hizi ana muiga Dimond....kuweka captions....ila nahisi kachemka pia

Hahahahahaaaaa! Sijui ndio kiumbe gani kilichotajwa hapo kwenye red? Siku zote ukiwa unaandika kitu kisichotoka moyoni ni lazima utakosea tu sehemu muhimu katika kile unachokiandika. Ajabu kwenye jina la Kiba anayejitia kumponda amepatia, lakini huko kwingine ndio majanga.
Ova
 
Hahahahahaaaaa! Sijui ndio kiumbe gani kilichotajwa hapo kwenye red? Siku zote ukiwa unaandika kitu kisichotoka moyoni ni lazima utakosea tu sehemu muhimu katika kile unachokiandika. Ajabu kwenye jina la Kiba anayejitia kumponda amepatia, lakini huko kwingine ndio majanga.
Ova

Narudia tena Kumfananisha DIMOND...DOMO ita upendavyo wewe na Alikiba ni sawa na kufananisha TYSON na MATUMULA.....Alikiba ni sawa na.mwanaume anayejivunia sura nzuri wakati pesa hata....tetete...only wise will dance the melody of life....Alikiba ashafeli na hawezi kumpata DOMO milele....
 
Narudia tena Kumfananisha DIMOND...DOMO ita upendavyo wewe na Alikiba ni sawa na kufananisha TYSON na MATUMULA.....Alikiba ni sawa na.mwanaume anayejivunia sura nzuri wakati pesa hata....tetete...only wise will dance the melody of life....Alikiba ashafeli na hawezi kumpata DOMO milele....

Post za kishangingi.
 
Hahahahahaaaaa! Sijui ndio kiumbe gani kilichotajwa hapo kwenye red? Siku zote ukiwa unaandika kitu kisichotoka moyoni ni lazima utakosea tu sehemu muhimu katika kile unachokiandika. Ajabu kwenye jina la Kiba anayejitia kumponda amepatia, lakini huko kwingine ndio majanga.
Ova


Hahahaha mkuuu angalie wasije wakakuona kama wewe ndio hujui kama unafatilia vichekesho utagundua jamaa ameandika hilo jina Dimond kiutani....kitale anafanyaga vichekesho na anatamka hivyo Dimond baada ya Diamond so mfatilie alafu sikiliza vizuri....
 
Kazi kweli kweli huu mchuano
Platnamuz alisindikizwa hadi na msafara wa gari la polisi na show ilijaa vibaya
Hebu tupeni na picha za show ya kiba tuone nani anakubalika zaidi huko
Nani kakuambia hapa tunatafuta Mshindi?
 
Nyieeee!!!! Huyu Alikiba wenu kakosea sana video ya mwana dar es salaam. Kafeli kabisaaaaaaa
 

Attachments

  • 1420610719524.jpg
    1420610719524.jpg
    26.8 KB · Views: 76
"Ur downfall is coming u bastard ungrateful broke fool!!" hyo ni moja ya pili

" niggas forget who helped them......... so quick......God don bless me i do my thing dey go keep my name out ur mounth !! WHO U DON HELP IDIOT!". Tweet ya Davido kwa Dai,Morning people!!
 
"Ur downfall is coming u bastard ungrateful broke fool!!" hyo ni moja ya pili

" niggas forget who helped them......... so quick......God don bless me i do my thing dey go keep my name out ur mounth !! WHO U DON HELP IDIOT!". Tweet ya Davido kwa Dai,Morning people!!

Duuuh... wabongo wasimjie juu tu
 
Back
Top Bottom