Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Haha haaaa,ujue nilitaka kumuambia hivyo hivyo?umetisha sana.
Mama mtoto ndiye anayemjua baba wa mtoto wake.

Nimecheka kwa kweli!!Ila kweli mama ndiye haswaa anayemjua baba wa mtoto!!Miss u!
 
Haha haaaaa naona unataka kumtupia humo...

Kuna huyu kenge naona amelazimisha na yeye nimtumbukize humu akate viuno vizuri.
 

Attachments

  • 1420624327184.jpg
    1420624327184.jpg
    36.2 KB · Views: 51
Kuna huyu kenge naona amelazimisha na yeye nimtumbukize humu akate viuno vizuri.

Aisee,naona kuna wengine humo ndani.Mimi pia itabidi nianze kufanya hii kitu maana kuna mijitu inakera sana humu.
 
Sisi wakongwe humu tunakujua ndomana unatutupia humo.. Ahahahaha ila mkuu usiniweke humo mi naenjoy sana drama zako

Kama unaenjoy njoo na adabu tutakwenda sawa kama ustaarabu huwezi nitaupdate ignore list yangu malengo yangu mwaka huu 2015 hapa JF sitaki kupata bana nitalitumia ipasavyo folder la ignore list.

Heshima ni kitu cha bure wala haiuzwi.
 
Aisee,naona kuna wengine humo ndani.Mimi pia itabidi nianze kufanya hii kitu maana kuna mijitu inakera sana humu.

Ni kwa nini jitu hulijui halikujui na hamjawahi hata kukutana popote hapa duniani ageuke kero kwako wakati selo zao zipo? Weka selo wajinga wote.

Mimi mwaka huu sitaki ban wasen.ge wote nawatupa selo for good naendelea na yangu kiroho safi tu.
 
Kama unaenjoy njoo na adabu tutakwenda sawa kama ustaarabu huwezi nitaupdate ignore list yangu malengo yangu mwaka huu 2015 hapa JF sitaki kupata bana nitalitumia ipasavyo folder la ignore list.

Heshima ni kitu cha bure wala haiuzwi.

Sawa Matola lakini swali langu hujajibu bado.. T-shirt zitakuja lini??
 
Last edited by a moderator:
Kama unaenjoy njoo na adabu tutakwenda sawa kama ustaarabu huwezi nitaupdate ignore list yangu malengo yangu mwaka huu 2015 hapa JF sitaki kupata bana nitalitumia ipasavyo folder la ignore list.

Heshima ni kitu cha bure wala haiuzwi.

Kumwogopa mwanaume mwenzio na kumweka ban ni dalili za upungufu wa nguvu za kiume ndio maana mama samira akakukimbia baada ya kuona wewe ni MKASI yaani si unajua Mkasi haukati mpaka UTIWE VIDOLE KWA NYUMA...
 
Sawa Matola lakini swali langu hujajibu bado.. T-shirt zitakuja lini??
Tshirt zipo chini ya Management ya Kiba mwenyewe kama unahitaji wasiliana nao.

Mimi sina haki ya kuprint Tshirt za msanii yoyote bila mikataba halali ya kibiashara na kisheria.

Natumaini nimekujibu vyema.
 
Last edited by a moderator:
Tshirt zipo chini ya Management ya Kiba mwenyewe kama unahitaji wasiliana nao.

Mimi sina haki ya kuprint Tshirt za msanii yoyote bila mikataba halali ya kibiashara na kisheria.

Natumaini nimekujibu vyema.

Sasa mbona ulikua unaongea kama wewe ndio management yake??
 
Ni kwa nini jitu hulijui halikujui na hamjawahi hata kukutana popote hapa duniani ageuke kero kwako wakati selo zao zipo? Weka selo wajinga wote.

Mimi mwaka huu sitaki ban wasen.ge wote nawatupa selo for good naendelea na yangu kiroho safi tu.

Imekaa safi sana hii.Soon na mimi nitaanza kuitumia.Hasa January hii watu wana stress za maisha familia zinawashinda wanakuja kuzimalizia humu.
Kuna mjinga mjinga hapa naona atakua wa kwanza kumtupia humo.
 
Wewe ulitaka T-shirt au management?Kakujibu vyema kuhusu T-shirt full stop.
Hasidi hana sababu nifah
Imekaa safi sana hii.Soon na mimi nitaanza kuitumia.Hasa January hii watu wana stress za maisha familia zinawashinda wanakuja kuzimalizia humu.
Kuna mjinga mjinga hapa naona atakua wa kwanza kumtupia humo.
Hiyo ndio permanent solution, umeona huyo mjinga nilivyomtupa selo alivyokuwa anarukaruka kama maindi kwenye sufuria au mashine ya popcorn?

Don't invite audience with foolish people they will grab you to there level and beat you with experience.
 
Back
Top Bottom