Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Last edited by a moderator:
na ndo maana alipata project ya one8
kwani kipindi kile si kulikua na wasanii wengi tu
enzi zake mbona ilitamba sana mack muga au hukuepo kipindi hichooo...?!!!
hata kama hamumpendi aly k isifike kila kitu mnakashifu tuuu jamaniiii
mnaonekana dhahiri kwamba utoto na roho mbaya zinawasumbua bora bas usikomment maana wengine tunatumia fake ids ila usemacho ndivyo ulivyoo
iweke kwa chaji bwana
Mwana lile wangu. Tena lishapigwa, hizi picha zinatoka kwa ajili ya kutoa taarifa kwamba video iko njiani.
Ova
na ndo maana alipata project ya one8
kwani kipindi kile si kulikua na wasanii wengi tu
enzi zake mbona ilitamba sana mack muga au hukuepo kipindi hichooo...?!!!
hata kama hamumpendi aly k isifike kila kitu mnakashifu tuuu jamaniiii
mnaonekana dhahiri kwamba utoto na roho mbaya zinawasumbua bora bas usikomment maana wengine tunatumia fake ids ila usemacho ndivyo ulivyoo
. .haya tangu mwana itoke video mpaka sasa hivi bado haijatoka. ...
Dah haya bwan'shee!
Nishaiweka
yani Kiba afanye tu yake maana!!!
Yaani we acha tu.
Na atambue kuwa tunamkubali mnooo na ye sio mchache!
Matola na geniveros naona leo walikua wanadeal na yule pashkuna first class amewaandikia magazeti mareeeefu mpaka huruma na bado!!Mwana tuuu maneno mengi kama report ya budget je ikitoka ngoma nyinginee!?