Akiwa amejisifu kuwa alipumzika nje takribani miaka mitatu huku akiwa tayari ashafika level za international ikiwemo kile anakisifia sana kufanya Kolabo na R. Kelly (One8), bado amerudi ki-underground tena local kwa nyimbo zake na aina ya Tour anayoifanya Chekecha Tour na kama anajitambulisha tena nchi nzima na sio kwenda mbele zaidi pale alipopacha miaka mitatu nyuma!
Kimataifa kote huko mkuu mbona unaruka sylabus, aaah acha utani basi, anza kwanza kuuliza tuzo ndani ya Tanzania.
ali kiba ni underground wa wap?
Yanga na simba ni kesho
Toka lini bifu likampa mtu mafanikio.?
SIo under ground. Ni upcoming artist
Mazombie ni wale wote wanaoropokwa na kuweweseka Kisa kiba anafanya yake! Why so much energy on suppressing him! Mxiiiuew
SIo under ground. Ni upcoming artist
kwa uungwana naomba nikumbushe ali kiba aliwahi chukua tuzo gani ya nje ya mipaka ya tanzania ??