Ali Kiba bado ni underground

Ali Kiba bado ni underground

Akiwa amejisifu kuwa alipumzika nje takribani miaka mitatu huku akiwa tayari ashafika level za international ikiwemo kile anakisifia sana kufanya Kolabo na R. Kelly (One8), bado amerudi ki-underground tena local kwa nyimbo zake na aina ya Tour anayoifanya Chekecha Tour na kama anajitambulisha tena nchi nzima na sio kwenda mbele zaidi pale alipopacha miaka mitatu nyuma!
wazawa kiba kakuchekecha bado unataka tukucheketue?
 
Last edited by a moderator:
kiba zamani alikuwa anaimba vizuri sana.ukitaka umlinganishe na kiba wa leo sikiliza "mapenzi yana run dunia" na mwana dsm"utagundua kuwa kuna kiba wa zamani as king of vocal na kiba wa leo as underground
 
Kimataifa kote huko mkuu mbona unaruka sylabus, aaah acha utani basi, anza kwanza kuuliza tuzo ndani ya Tanzania.

hahahahahaaaa anayo tunzo jamani acheni kumuonea wivu, nani zaidi ya radio one alinyakuwa.
 
Mazombie ni wale wote wanaoropokwa na kuweweseka Kisa kiba anafanya yake! Why so much energy on suppressing him! Mxiiiuew
wewe mwenyewe ni zombie usiyejitambua, shabiki wa kiba au daimondo asiyetaka kubali ukweli au facts ni zombie tu.
 
embu weka link na kapicha, na maelezo hiyo ni tuzo level gani za kimataifa ambaye msanii wetu nguli Ali Kiba aliwahi kuibeba.

Acha kupenda kutafuniwa kila kitu nenda GOOGLE katafute izo tuzo utapewa details kamil
 
kiba zamani alikuwa anaimba vizuri sana.ukitaka umlinganishe na kiba wa leo sikiliza "mapenzi yana run dunia" na mwana dsm"utagundua kuwa kuna kiba wa zamani as king of vocal na kiba wa leo as underground

si unajua aliutoa mwana akiwa amepanic, hahahahaaaa nimejikuta nakakumbuka kale kamsemo alikokuja nako, back of king, mxiuuuw!! king jina?? embu tupisheeee, eti nimekuja kufuta vumbi kiti changu, kufuta vumbi??? are you serious?? huna maji huna sabuni, unafuta vumbi na mdomo??? kelelee nyingiiii kazi ziro, kama kweli angekuwa king angerudi kimya kimya tushtukie tu vishindo vya kazi. pyeeeeeee!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom