Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
KUMBE hizi timu zinazocheza na yanga zikiwa na jezi za rangi za yanga zina msaada sana. Kamwe amesema kama sio Jamhuri kuvaa njano alikuwa apewe mikono miwili
Kwa heshima tukakubaliana jamanii eeh ile njano iheshimiwe tukaishia 5.
Hahahaaaaa shikamoo Kamwe.
Kwa heshima tukakubaliana jamanii eeh ile njano iheshimiwe tukaishia 5.
Hahahaaaaa shikamoo Kamwe.