Habari za usiku wakuu, samahani Nina shida kule Ali express.Nimeshaagiza mizigo mara kadhaa na ikafika yote.Ila Nina kama mwaka sijaagiza,juzi nikaagiza sasa ninaona Kuna kuna kitu kipya sikuwahi kukiona kabla.
Kuna Hawa wanajiita MailAmericas wamenitumia msg kwny email na Whatsapp yangu wakisema ili waendelee na process ya ku deliver mzigo wangu kuna form wamei attach nijaze TIN yangu.Hii ni sawa au ni Scam?
Kuna Hawa wanajiita MailAmericas wamenitumia msg kwny email na Whatsapp yangu wakisema ili waendelee na process ya ku deliver mzigo wangu kuna form wamei attach nijaze TIN yangu.Hii ni sawa au ni Scam?