Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,093
Kama cha TID.kiingereza kibovuuuuuuuu kama nini sijui
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Huyo Kibanda mwenyewe alirudi na mbwembwe nyiiingi. Ooh nitawataja ooh nitawaweka hadharani. Kiko wapi sasa kudadadeki?
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Unalisha watu sumu halafu unajitapa eti utoe ya moyoni? Hata aibu hana? Ujasiri wa kizuzu kweli huu
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfred Lwakatare amesema atatoa ya moyoni siku ya Alhamisi.
Akizungumza na waandishi wa habari wa ndani na nje ya nchi mara baada ya kupata dhamana aliomba subira kwa watanzania kwani anayo siri nzito moyoni.
Lwakatare alisema anawaomba waandishi wa habari watulie kwani anatarajiwa kuzungumza kwanza na viongozi wake wakuu wa chama na jopo la wanasheria wake nguli ndipo azungumze na dunia.
Wakati hayo yakiendelea mtandao wa You Tube unamuonyesha Naibu Katibu Mkuu CCM Mwigulu Nchemba akitamba kwenye kampeni za udiwani Arusha kwamba ndiye aliyegharamia vifaa vyote vilivyotumika kumrekodi Lwakatare na hatimaye mateso yote yaliyomfika Lwakatare.
Viongozi wakuu wa Chadema tayari wameelezea furaha yao baada ya Lwakatare kupata dhamana.Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe yuko Dodoma katika vikao vya bunge wakati Katibu Mkuu Dr Wilbroad Slaa yuko kwenye ziara ya kichama barani Ulaya.Katika salamu zake jana alizozitoa akiwa Ujerumani Dr Slaa alimpa pole Lwakatare na hapo hapo kuelezea furaha yake na ya watanzania wanaoishi Ujerumani kwa Lwakatare kupata dhamana na kuweza kuungana na familia yake tena baada ya mateso ya miezi mitatu.
Source:Tanzania Daima.
Jela inamsubiri na kwa muda huu ambao yupo nje kwa dhamana ningewashauri wananchi kuchukua tahadhari ili wasing'olewe kucha na kumwagiwa tindikali.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Revelation 12:12
Therefore you heavens rejoice, and all who reside in them! But woe to the earth and the sea because the devil has come down to you! He is filled with terrible anger, for he knows that he only has a little time!"
Surah Ibrahim.
22. And Shaitan (Satan) will say when the matter has been decided: "Verily, Allah promised you a promise of truth. And I too promised you, but I betrayed you. I had no authority over you except that I called you, so you responded to me. So blame me not, but blame yourselves. I cannot help you, nor can you help me. I deny your former act in associating me (Satan) as a partner with Allah (by obeying me in the life of the world). Verily, there is a painful torment for the Zalimun (polytheists and wrong-doers, etc.)."
Sheria zinatungwa na binadamu na binadamu wanaweza kucheza na sheria. Sio wote walioko mitaani ni wasafi, wengine wako mitaani kwa sababu sheria hazina macho.
Mungu ni mwanzo na mwisho. Maovu aliyokuwa anayapanga Lwakatare ni Mungu pekee anajua adhabu yake.
Revelation 12:12
Therefore you heavens rejoice, and all who reside in them! But woe to the earth and the sea because the devil has come down to you! He is filled with terrible anger, for he knows that he only has a little time!"
Surah Ibrahim.
22. And Shaitan (Satan) will say when the matter has been decided: "Verily, Allah promised you a promise of truth. And I too promised you, but I betrayed you. I had no authority over you except that I called you, so you responded to me. So blame me not, but blame yourselves. I cannot help you, nor can you help me. I deny your former act in associating me (Satan) as a partner with Allah (by obeying me in the life of the world). Verily, there is a painful torment for the Zalimun (polytheists and wrong-doers, etc.)."
Sheria zinatungwa na binadamu na binadamu wanaweza kucheza na sheria. Sio wote walioko mitaani ni wasafi, wengine wako mitaani kwa sababu sheria hazina macho.
Mungu ni mwanzo na mwisho. Maovu aliyokuwa anayapanga Lwakatare ni Mungu pekee anajua adhabu yake.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.
Kama ametoka mahabusu atulie tu na familia yake. Kuropoka kutamfanya apate majanga mapya kabisa.