Alhamisi nitafunguka-Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Revelation 12:12
Therefore you heavens rejoice, and all who reside in them! But woe to the earth and the sea because the devil has come down to you! He is filled with terrible anger, for he knows that he only has a little time!"

Surah Ibrahim.
22. And Shaitan (Satan) will say when the matter has been decided: "Verily, Allah promised you a promise of truth. And I too promised you, but I betrayed you. I had no authority over you except that I called you, so you responded to me. So blame me not, but blame yourselves. I cannot help you, nor can you help me. I deny your former act in associating me (Satan) as a partner with Allah (by obeying me in the life of the world). Verily, there is a painful torment for the Zalimun (polytheists and wrong-doers, etc.)."

Sheria zinatungwa na binadamu na binadamu wanaweza kucheza na sheria. Sio wote walioko mitaani ni wasafi, wengine wako mitaani kwa sababu sheria hazina macho.

Mungu ni mwanzo na mwisho. Maovu aliyokuwa anayapanga Lwakatare ni Mungu pekee anajua adhabu yake.

 
Last edited by a moderator:
Nawakumbusha wanasheria wa Lwakatare kui copy ile video ya Mwigulu Nchemba juu ya matamshi yake jana kuwa yeye ndiye aliyegharimia vifaa kwa ajili ya kuirekodi video ya Lwakatare, ni ushahidi muhimu pia kuisaidia mahakama kufikia uamuzi wa haki
 
Jela inamsubiri na kwa muda huu ambao yupo nje kwa dhamana ningewashauri wananchi kuchukua tahadhari ili wasing'olewe kucha na kumwagiwa tindikali.

Kwani Serikali ya CCM ni dhaifu kiasi cha kushindwa kulinda Raia wake wasingolewe Kucha na Kumwagiwa Tindikali?
 
Jaman wadau, watanzania wote tunao uhuru wa kutoa maoni, tusilumbane bure kuhusu Lwakatare, Suala la lwakatare liko kisiasa kwa asilimia nyingi, Lakini msisahau kuwa uchunguzi unaendelea na mbivu na mbichi zake zitajulikana, naamini uongozi wa chadema unafanya vyovyote wawezavyo kuhakikisha Mr Lwakatare anaondokana na shutuma hizi. Hadi sasa hatuna uhakika wowote so hatuna haja ya kurushiana vijembe as if tunao uhakika! Tumshukuru mungu amepewa dhamana na tuwaache wapeleleze!
 
Jaman wadau, watanzania wote tunao uhuru wa kutoa maoni, tusilumbane bure kuhusu Lwakatare, Suala la lwakatare liko kisiasa kwa asilimia nyingi, Lakini msisahau kuwa uchunguzi unaendelea na mbivu na mbichi zake zitajulikana, naamini uongozi wa chadema unafanya vyovyote wawezavyo kuhakikisha Mr Lwakatare anaondokana na shutuma hizi. Hadi sasa hatuna uhakika wowote so hatuna haja ya kurushiana vijembe as if tunao uhakika! Tumshukuru mungu amepewa dhamana na tuwaache wapeleleze!
 

Kwi! Kwi! Kwi! Kwi! kweli Lwakatare ni balaa aisee ! Hadi WAPAGANI wanakuja na vifungu !
 
Last edited by a moderator:

Yaani mpaka waovu wanajifanya kufundisha maandiko matatifu.

Watu kama wewe nyakati zile mliitwa Mafarisayo na watoza ushuru.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…