mshukuru Mungu. Usitake kabisa kumfahamu huyu
wakuu kama kuna mtu ana picha yake aitupie tumuone maana wengine hatumjui kwa sura huenda hapa tulipo tumekaa nae
mshukuru Mungu. Usitake kabisa kumfahamu huyu
mshukuru Mungu. Usitake kabisa kumfahamu huyu
Kwa nini??
Alikuwa DUBAI sasa kahamia BRAZIL
anatoa hela wapi wakti acc zake zipo freezed?
Alex Massawe ni rafiki ya Papaa Msofe na wote ni wahalifu waandamizi hapa Bongo.
Alex ndo nani
mkuu umenichekesha, hawa jamaa ni SENIOR EXPERT CRIMINALS
Huyo jamaa ni noma,namfahamu tokea tukiwa watoto wadogo maeneo ya pale Friend's Corner Hotel(Nasikia kuwa ile hotel ni yake) kati kati ya Argentina na Magomeni Kagera mikoroshini. Suala la kumchapa mtu bastola ya mguu au kumpasulia mtu chupa kichwanii kwake ni jambo la kawaida na kitu cha kushangaza ukienda polisi hakamatwi. Kashawatia watu wengi sana ukilema, sasa hivi yeye umri umeenda hafanyi matukio kwa mkono wake bali ana vijana wake wa kazi ambao wanafanya matukio. Kweli siku za mwizi ni 40, sasa kibao kimemgeukia.
Taarifa za ki-intelejensia zinasema jamaa yupo South Africa pia accounts zake zote wamezi-freeze!!!