Kapotea anatafutwa

Kapotea anatafutwa

Kaysan salum

New Member
Joined
Apr 10, 2023
Posts
2
Reaction score
4
KAPOTEA ANATAFUTWA

Ndg zang watanzania pichani hapo anaitwa HUSEIN MRISHO ALEX umri ni miaka 13 anachangamoto ya ugonjwa wa kifafa ni mwenyeji wa mwanza, Kapotea maeneo ya Geita-Katoro.

Naombeni msaada wenu kwa atakae muona ili tuweze kumpata.Namb ya simu 0656974260/0769575887.
IMG_20260616_201208_720.webp
 
Hata bila kutaja location Kwa kuangalia mazingira ya picha nikajua Kanda ya ziwa hii. Kila lenye heri liwe upande wa mdogo wetu Hussain
 
Back
Top Bottom