Alex Malasusa, Askofu wa Lutheran

Alex Malasusa, Askofu wa Lutheran

nahisi bado kuna "watu" wanaendelea kumchimba huyu bwana, nikifanya reference ya ule uchaguzi wa DMP kule bagamoyo, na mikakati iliyopangwa juu yake, ambayo haikufanikiwa
 
Tofautisha Askofu mkuu na askofu wa kawaida.Huyo Niwemugizi ni mtu mdogo sana kuna maaskofu kibao ila maskofu wakuu ni viongozi wakuu wa nchi wa dini zao.

Pengo ni kama raisi wa wakatoliki Tanzania na Malasusa ni kama raisi wa walutheri wa tanzania.Hawa wanajua kuwa katika waumini wao wamo CCM na UKAWA na watu wa kutoka vyama vyote na wasio na vyama,wanasiasa na wasio wanasiasa.Hivyo hawa wakuu huwa makini sana kutoa matamko yanayoegemea makundi.Huwa hawajishughulishi sana na mambo ya siasa na makundi ya kisiasa tofauti na hao maskofu wa maeneo kama akina Niwemugizi au wale wa makanisa ya mifukoni mwao ambao document zote za kanisa ziko mifukoni mwao kama akina kakobe n.k

Stability ya makanisa kwao ni muhimu kuliko siasa hizi za mpito za mara leo UKAWA,kesho maandamano n.k

Ndugu yangu East African Eagle,

Kwanza nikupe pole sana kwa kujipotosha ama kupotoshwa, Pili nikutake siku nyingine usiongee kitu usichokijua, Uliza ndipo uongee kwa uhakika.

Rais au mwenyekiti wa Kanisa Catholic Tanzania ni Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu ambaye kwa sasa ni Baba Askofu NGALALEKUMTWA huyu ndiye kwa namna moja ama nyingine unaweza kumuita RAIS wa kanisa Catholic Tanzania. Huyo Kadinal Pengo hana Impact yoyote ndani ya kanisa na Anaingia kwenye vikao vya Baraza la Maaskofu kama mjumbe wa kawaida wala haongozi vikao vyovyote ndani ya Baraza isipokuwa anaongozwa na hao kina Ngalalekumtwa na Naibu wake Niwemugizi Huyo Pengo ni Mteule tu wa Papa

Hapa siwezi kuwasemea hao wengine kama Malasusa na hao unaodai kuwa ni "wamakanisa ya Mfukoni" kwasababu siujui utaratibu wao labda tumuulilze Mungi kuhusu ukuu wa Malasusa ndani ya kanisa la KKKT.
Ila nirudie tena kukushauri kwamba Usiongee wala kuandika kuhusiana na jambo usilolijua vyema...

Asante

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
. Huyo Kadinal Pengo hana Impact yoyote ndani ya kanisa na Anaingia kwenye vikao vya Baraza la Maaskofu kama mjumbe wa kawaida wala haongozi vikao vyovyote ndani ya Baraza isipokuwa anaongozwa na hao kina Ngalalekumtwa na Naibu wake Niwemugizi Huyo Pengo ni Mteule tu wa Papa

Mwenyekiti wa baraza (KIKAO) ni mkuu kuliko kadinal? Hii MPYA.organization chart ya kanisa katoliki ndivyo ilivyo?
Kwa hiyo huyo ngalekumtwa huwa anaenda vatican kuchagua papa akimwacha huyo junior wake pengo?
Tofautisha mwenyekiti wa kikao cha baraza na kadinal.Hata wewe waweza kuwa mwenyekiti na DR.Slaa mume wa Mushumbusi alikuwa ni katibu wa baraza la maaskofu Tanzania pamoja na kuwa hakuwa askofu hizo ni taratibu tu za vikao.Hazina uhusiano na protocol za vyeo.Unataka kusema wakati slaa alikuwa katibu wa baraza la maaskofu alikuwa mkubwa kuliko PENGO?
 
Unajua nchi yetu imakua na viongozi iwe kwa njia yeyote wanataka madaraka, hawa viongozi wa deni wameshasema saana,wameshauri lakini serikali imeweka pamba masikioni, sasa wao wafanyeje? Ni ngumu wao kusemasema kila wakati kwani sasa wameacha wao viongozi wafanye watakavyo. Angalia wananchi wanavyopata shida ya Maji,uMEME na vitu vingi lakini serikalii ahaaa inaburuza tu. Hebu twende kwenye Bunge la katiba ndo utajua Fungu la Mungu Na wanadamu
 
tunaomba sana tuwekee msimamo wake hapa manake tumefatilia na tunajua yupo wkenye bunge la katiba tunataka msimamo wake ili tuanze kuchukua hatua

Muombe Mungu akusamehe. Msimamo wa Malasuasa aliutoa maranyingi na pia kautoa pia katika waraka wa jukwaa la wakristo. Pia si mjumbe wa bunge la katiba. Nafikizi unamuongelea Mdegela wa Iringa ambaye alishawahi kutamka kuwa anaunga mkono serikali mbili. Hakuna Askofu wa KKKT aliyepo kwenye bunge la katiba. KKKT na madhehebu yooote yaliyo chini ya CCT wana mwakilishi mmoja tu na ni muumini wa kawaida. Katika wote waliopelekwa na CCT ni yeye pekee aliyeteuliwa. Japo Mtetemela alishawahi kuwa kiongozi wa CCT hayupo bungeni kwa mwavuli wa CCT.
 
Usiseme misimamo yetu sema msimamo wako,ni kwa nini kila mtu anawasemea wengine? pengine msimamo wako na wangu tofauti kwa nini useme misimamo yetu,unamuawakilisha nani?
 
Sikubaliani na wewe kwani wao kama viongozi wakuu wa dini wanapaswa waseme ule ukweli uliopo nchini kwa wakati husika. Kama serikali haiwajibiki ipasavyo lazima waseme. Wakifanya vizuri lasima wasifie. Ndio biblia inavyofundisha. Ukipindisha maneno kwa vile unataka kitu fulani cha upendeleo imekula kwako ndio sasa unaona waumini wanalalamika.

Tofautisha Askofu mkuu na askofu wa kawaida.Huyo Niwemugizi ni mtu mdogo sana kuna maaskofu kibao ila maskofu wakuu ni viongozi wakuu wa nchi wa dini zao.

Pengo ni kama raisi wa wakatoliki Tanzania na Malasusa ni kama raisi wa walutheri wa tanzania.Hawa wanajua kuwa katika waumini wao wamo CCM na UKAWA na watu wa kutoka vyama vyote na wasio na vyama,wanasiasa na wasio wanasiasa.Hivyo hawa wakuu huwa makini sana kutoa matamko yanayoegemea makundi.Huwa hawajishughulishi sana na mambo ya siasa na makundi ya kisiasa tofauti na hao maskofu wa maeneo kama akina Niwemugizi au wale wa makanisa ya mifukoni mwao ambao document zote za kanisa ziko mifukoni mwao kama akina kakobe n.k

Stability ya makanisa kwao ni muhimu kuliko siasa hizi za mpito za mara leo UKAWA,kesho maandamano n.k
 
Sikubaliani na wewe kwani wao kama viongozi wakuu wa dini wanapaswa waseme ule ukweli uliopo nchini kwa wakati husika. Kama serikali haiwajibiki ipasavyo lazima waseme. Wakifanya vizuri lasima wasifie. Ndio biblia inavyofundisha. Ukipindisha maneno kwa vile unataka kitu fulani cha upendeleo imekula kwako ndio sasa unaona waumini wanalalamika.

Kazi ya viongozi wa dini si kusikiliza na kuangalia matukio ya wakati huo. Wao kazi yao ni kumsikiliza na kumwangalia mwenyezi Mungu..Kazi yao ni kusoma na kuhubiri mambo ya vitabu vya dini si kusoma na kuhubiri mambo ya magazetini waliyosoma au yaliyoko kwenye mitandao au kusikiliza wanasiasa na kuhubiri waliyosema au kutenda wanasiasa.
kama ingekuwa unatazama kinachoendelea na kuhubiri kila mtu angekuwa kiongozi wa dini.Maana ingekuwa ukiona kibaka anaiba unaenda hubiri kibaka kaiba.Mtu akifumaniwa unaenda hubiri mwanake aliyefumaniwa.Bunge la katiba kura hazijaenea unaenda hubiri kura hazijaenea ,ukiona mlevi kajikojolea unaenda hubiri mlevi kajikojolea!! Viongozi wa dini si wambeya wa barabarani wakusanya umbeya kwenda kuhubiri misikitini na makanisani!!! Viongozi wa dini hushinda misikitini na makanisani wakisoma vitabu vilivyoteremshwa na Allah sio mitaani wakiangalia matukio ya mitaani ili wapate cha kuhubiri!!! Ila tunakoelekea naona viongozi wengi hawashindi makanisani na misikitini kutwa wako mitaani kuangalia kuna nini ili wakahubiri makanisani na misikitini.Mfano wa watu wa aina hiyo ni Kakobe na ASKOFU NIWEMUGIZI
 
hivi huyu askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?

acha upuuzi wako ulikuwa wapi hukugombea au kama umri hauruhusu ungelimuomba yeyote mwenye umri kwenye ukoo wenu then agombee, zungumza ya msingi sio unaandika tu kwasababu una mikono na mbele kuna keyboard.
 
Muombe Mungu akusamehe. Msimamo wa Malasuasa aliutoa maranyingi na pia kautoa pia katika waraka wa jukwaa la wakristo. Pia si mjumbe wa bunge la katiba. Nafikizi unamuongelea Mdegela wa Iringa ambaye alishawahi kutamka kuwa anaunga mkono serikali mbili. Hakuna Askofu wa KKKT aliyepo kwenye bunge la katiba. KKKT na madhehebu yooote yaliyo chini ya CCT wana mwakilishi mmoja tu na ni muumini wa kawaida. Katika wote waliopelekwa na CCT ni yeye pekee aliyeteuliwa. Japo Mtetemela alishawahi kuwa kiongozi wa CCT hayupo bungeni kwa mwavuli wa CCT.

KKKT inaye mjumbe ndani ya bunge anafahamika kama mch. kadiva, kama sijakosea
 
Ni kweli huyu mlutheri mwenzetu hatoi maono yake kuhusu katiba ya nchi hiii na still wanaombea Taifa unapoombea Taifa lazima ulielekeze kukaa kwenye msimamo....!

.
kwenye mikutano yao ya kuchagua maaskofu na viongozi mbalimbali wanacheza rafu mbaya kuliko sisiem. hata baazi yao huutafuta uongozi kwa kwenda mlimgotini(saa ngoma)
ndiposa shetani hawezi kumtoa shetani mwenzie.
.
 
SOMA HII HAPA:


CHRISTMAS SERMONS: Worshippers listen as Bishop Steven Wang'ana (inset) of the Mennonite Church of Tanzania delivers Christmas sermons at Upanga Mennonite Church in Dar es Salaam on Saturday. (Photos by Staff Photographer)

The Arch-Bishop of the Mennonite Church of Tanzania, Mr Stephen Wang'ana, has called on government leaders to serve the people of this nation efficiently and with integrity.

"Let ministers, permanent secretaries and all other entrusted leaders serve the people fairly, fight injustice and corruption.

President Jakaya Kikwete appointed them to be exemplary," Bishop Wang'ana said when delivering sermons at Christmas mass on Saturday.

He told worshippers that Jesus Christ brought salvation and peace, in the same way, leaders have been entrusted to serve the nation not to accumulate wealth.

"The nation is sick and tired of bad news such as frequent power cuts, poor infrastructure, corruption, dubious contracts," he said, adding that it was high time dishonest leaders repented and walked on the clean path.

On healing the wounds that stemmed from last October elections, Bishop Wang'ana said rival groups should now iron out their differences and join forces to build the nation. "It is time for reconciliation. Separated families should forgive each other and open a new chapter in life. Social frictions undermined unity, prosperity and peace," he observed.

Quoting from the book of Luke Chapter 1 verse 79, that says; "Jesus came to give light to those still in darkness and in the shadow of death, to guide our feet into the way of peace," the bishop said peace would never triumph where there is resentment.

"We need a country that is free from corruption, deprivation and demonstrations. Low income earners suffer a great deal because there are no drugs in public hospitals," he said, adding that for peace to prevail, that situation must change.

Reverend Agutu Oballa of Sinza Mennonite Church challenged the national leadership to remember the down-trodden of society.

"Africa has witnessed the suffering of her people in poverty, road accidents, disease, corruption and senseless wars. Nearly three quarters of the news that we received everyday is about bad incidents. Our leaders must change this scenario," Rev Oballa suggested.

At national level, Christmas Eve prayers were held at St Joseph Cathedral of the Roman Catholic Church in Dar es Salaam.

Delivering a homily, Auxiliary Bishop Eusebius Nzigirwa, implored Christians to fear God and stand for peace and love. He told worshippers on Friday night that it was only through worshipping God that Tanzanians would be able to enjoy living in peace and harmony. He called for peaceful resolutions of emerging conflicts in the country and urged Christians to follow the ways of Jesus Christ who was a symbol of holy life.

Meanwhile, Saint Alban Anglican Church Assistant Provost, Father John Solomon, said the proposed constitutional review should serve the interests of the nation and not a group of people.

"The birth of Jesus Christ that we celebrate today brings peace to us.We should pray for this peace to prevail always," said Father Solomon.

He cautioned that for peace and tranquility to prevail, the people must be empowered economically. "Peace and harmony will prevail only if people are assured of a better life...There will be no peace if people live in poor conditions," he cautioned.

Meanwhile, the Christmas Eve was celebrated peacefully in most parts of the city and the police were on the alert.

A random survey at some police stations showed that until midnight, there was no major criminal incident that had happened.
Last edited by Rutashubanyuma; 26th December 2010 at 06:44. Reason: additional material​
 
rosemarie,
Mimi mwenyewe ni mlutheri, naipenda kanisa langu, ninampenda zaidi Mungu ninayemtumikia. Huyu askofu nadhani ana elements za ccm, au misaada ya Lowassa makanisani inawalemaza vichwa baadhi ya viongozi wetu, wapo kimya kwenye mambo muhimu yanayohusu taifa letu, hawaoni kwamba wanaoumizwa ni sisi watanzania ambao kimsingi ndiyo waumini wao.

Nina mashaka maaskofu wakuu wa makanisa na viongozi wa madhehebu wanawekwa na usalama wa taifa bila waumini kujua. Angalia Cardinali Pengo alivyo kimya. Japo viongozi wengine kwakweli wanatutetea, Severine Niwemugizi yupo vizuri sana

Mkuu Mungi nafikiri kwa Mwalasusa tunaweza kuwa tofauti kidogo. Nimuonavyo mimi anatoa matamko yake kwa hekima sana sio kama baadhi ya viongozi wengine wa kidini. Ujumbe wake hata kama anakukemea lazima uutafakari kwa makini maana anatafuta maneno yaki MUNGU zaidi kuliko yakiugomvi au kiharakati. Tatizo la watawala wetu wa siasa hawatumii maarifa katika kutafakari wanaloambiwa wao wanahitaji maneno makali ili wakishindwa kuyatekeleza wajibu kwa matusi (eg S.Sitta)
 
Last edited by a moderator:
Hivi huyu Askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?

Kwani amefanyaje jamani?

Tiba
 
Wakuu,na shaka uzi huu ulimkusudia askofu mkuu Mtetemela wa kanisa la Anglikana la ... na siyo askofu Malasusa wa kkkt !
 
Ya Kaisari mpeni Kaisari na ya Mungu mumpe Mungu
Ki ukweli Siasa na Dini ni sawa na mafuta na maji, haviwezi kuchanganyika pamoja. Viongozi wa dini tuwaongoze watu kuijua njia ya Mungu na tuwaache wanasiasa na propaganda zao. Mtumishi alieitwa kumtumikia Mungu kiukweli hajihusishi na siasa kwa kuwa ni mchezo mbovu. Ukijiingiza kwenye siasa lazima umkosee Mungu. Huwezi kuhubiri Siasa na dini kwa kinywa hicho hicho.
 
kkkt kwemye bunge la katiba imewakilishwa na mch. kadiva.. cyi malasusa
 
Back
Top Bottom