Alex Malasusa, Askofu wa Lutheran

Alex Malasusa, Askofu wa Lutheran

rosemarie
mbona umekimbia? kuwa mstaarabu na uombe radhi, maana sisi tunajua Askofu Malasusa hayupo kwenye BMK. Ni dhahiri haumfahamu vizuri huyu Askofu, hufuatilii BMK kwa umakini (utakuwa unategemea posts za kusikia na mitandaoni) ndio maana umekurupuka tu na kupost. Sihitaji kukueleza mengi khs jinsi KKKT na makanisa mengine ya CCT yalivyotoa msimamo wao, maana kuna watu wameshakueleza. next time soma mara mbili post yako kabla ya ku-click send button

Mkuu huyo mama nilishamwambia asinywe kiroba original na burudani.. Kama amekosa japo pesa ya eagle ni bora anywe kiroba cha konyagi.. Ona sasa anavyoendelea kujiaibisha
 
Last edited by a moderator:
tunaomba sana tuwekee msimamo wake hapa manake tumefatilia na tunajua yupo wkenye bunge la katiba tunataka msimamo wake ili tuanze kuchukua hatua

Mkuu, pole sana! Umepiga ngapi leo? Kunywa maji mengi utazinduka.....Askofu Mwalasusa yupo Bungeni?????

Fanya hivyo hangover itaisha tuu
 
Walutheri wanajitahidi kumuokoa mlutheri mwenzao 6
 
Hivi huyu Askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?

Suala la nani alipendekeza Malasusa awe askofu linahusiana vipi na siasa za wakati huu? Wakati anaanza Uaskofu hakukuwa na mchakato wa katiba mpya, ulitakaje? Akusupport wewe simply huipendi CCM au Ulitaka awe upande wa UKAWA kwa sababu wewe muumini mmoja ndio unaupenda?

Askofu ni Baba wa Kiroho, ukiona ametoa misimamo yake binafsi ya kisiasa ujue amesimama katika nafasi yake binafsi au/na ujumla kama kiongozi. Sasa sitegemei kwamba atafanikiwa kumfurahisha kila mtu. Hapaswi kulaumiwa kwa lolote, kwa sababu mara nyingi Maaskofu hawa wametoa misimamo tofauti na serikali kuhusu mambo mbali mbali lakini hatukuwapa credit (wala hatupaswi kuwapa credit) ni kazi yao. So punguza upepo. Uaskofu wake hautegemei uwezo wake wa kujua misimamo ya waumini wake, yeye anafanya kazi ya Mungu na yuko pale kama mpakwa mafuta, mambo ya siasa hayawezi kumpunguzia qualifications za yeye kuendelea kuwa askofu. Punguza upepo mkuu.
 
Hivi huyu Askofu ana msimamo gani hasa juu ya siasa za nchi yetu?nani alipendekeza huyu mtu awe askofu wetu?hivi anajua misimamo yetu au anajifanyia mambo yake anavyotaka na kujipendekeza kwake ccm?ni lini hasa tutaachana na hawa wanafiki?

Ajifunze kwa Mwadhama Pengo!

Kuna kipindi alitoa yake ya moyoni eti serikali mbili!

Kwa reaction aliyoipata, sijawahi kumsikia tena............................... Mungu aendelee kumpa hekima zaidi.
 
Back
Top Bottom