Kusema dini na siasa ni sawa na maji na mafuta ni mafundisho ya kishetani.
Tafuta kamusi usome
Mwenyekiti wa baraza (KIKAO) ni mkuu kuliko kadinal? Hii MPYA.organization chart ya kanisa katoliki ndivyo ilivyo?
Kwa hiyo huyo ngalekumtwa huwa anaenda vatican kuchagua papa akimwacha huyo junior wake pengo?
Tofautisha mwenyekiti wa kikao cha baraza na kadinal.Hata wewe waweza kuwa mwenyekiti na DR.Slaa mume wa Mushumbusi alikuwa ni katibu wa baraza la maaskofu Tanzania pamoja na kuwa hakuwa askofu hizo ni taratibu tu za vikao.Hazina uhusiano na protocol za vyeo.Unataka kusema wakati slaa alikuwa katibu wa baraza la maaskofu alikuwa mkubwa kuliko PENGO?
Tuache woga kama viongozi wa dini wasio na Mungu ndani yao;hata kushindwa kukemea dhambi peupe
Siasa si mchezo mchafu bali watu waweza kuwa wachafu.
SIASA NI SAYANSI;twende chuo kujifunza !
Umesema vyema sana..Mkuu inawezekana ukawa hujaniasoma sawasawa nakushauri nisome taratibu kama unataka kuelewa..then utaelewa....
Maamuzi ya Kanisa Catholic Tanzania yanafanyika na Baraza la Maaskofu catholic Tanzania ambalo kwasasa liko chini ya Ngalalekumtwa hivyo ni sahihi kusema kwamba Ngalalekumtwa ni Rais wa Kanisa Catholic Tanzania na msaidizi wake ni Niwemugizi.
Huyo Askofu Pengo ni mteule wa Papa kama unavyosema ndie anayewenda kupiga kura kumchagua Papa huko Vatican lakini Ukija ktk Kanisa Catholic Tanzania yuko chini kimaamuzi na Kaimadaraka kwa Ngalalekumtwa....Hili ni Kanisa Catholic tofautisha na Makaniaa mengine..!!
Labda nikuulize mkuu wewe unasali wapi?
Halafu Tambua kwamba nafasi ya Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Catholic Tanzania ni ya KUTEULIWA na wala si ya juchaguliwa hivyo anaweza kuteuliwa yeyote nje ya Baraza maadam anakidhi sifa na vigezo vya Baraza la Maaskofu na Kanisa kwa ujumla ktk Kazi za kila siku za Kanisa hilo
Jitahidi kunisoma katikati ya mistari
BACK TANGANYIKA
Mkuu wacha ubishi kama kasuku...Pengo ni Askofu mkuu wa DSM (Metropolitan) kama ilivyo kwa Maaskofu wengine wakuu...Mwenyekiti wa baraza (KIKAO) ni mkuu kuliko kadinal? Hii MPYA.organization chart ya kanisa katoliki ndivyo ilivyo?
Kwa hiyo huyo ngalekumtwa huwa anaenda vatican kuchagua papa akimwacha huyo junior wake pengo?
Tofautisha mwenyekiti wa kikao cha baraza na kadinal.Hata wewe waweza kuwa mwenyekiti na DR.Slaa mume wa Mushumbusi alikuwa ni katibu wa baraza la maaskofu Tanzania pamoja na kuwa hakuwa askofu hizo ni taratibu tu za vikao.Hazina uhusiano na protocol za vyeo.Unataka kusema wakati slaa alikuwa katibu wa baraza la maaskofu alikuwa mkubwa kuliko PENGO?
KKKT inaye mjumbe ndani ya bunge anafahamika kama mch. kadiva, kama sijakosea
Umesema vyema sana..
Watu wanajuaga kuwa Pengo ndo kiongozi mkuu wa Kanisa Katoliki....
Pengo ni mtu mdogo sana...Cheo chake. Kikubwa kipo hapo DSM....Anapata heshima kutoka na Ukadinali wake..
Huyo mama ndo zake kukimbia.rosemarie
mbona umekimbia? kuwa mstaarabu na uombe radhi, maana sisi tunajua Askofu Malasusa hayupo kwenye BMK. Ni dhahiri haumfahamu vizuri huyu Askofu, hufuatilii BMK kwa umakini (utakuwa unategemea posts za kusikia na mitandaoni) ndio maana umekurupuka tu na kupost. Sihitaji kukueleza mengi khs jinsi KKKT na makanisa mengine ya CCT yalivyotoa msimamo wao, maana kuna watu wameshakueleza. next time soma mara mbili post yako kabla ya ku-click send button