Mkweli mwaminifu
Member
- Feb 7, 2012
- 89
- 24
Kaeni mkao wa kula,
kwa wale WAZALENDO na WAAMINIFU nafasi za KAZI PCCB na TISS (Usalama wa taifa) zinakuja
kwa wale WAZALENDO na WAAMINIFU nafasi za KAZI PCCB na TISS (Usalama wa taifa) zinakuja
Kaeni mkao wa kula,
kwa wale WAZALENDO na WAAMINIFU nafasi za KAZI PCCB na TISS (Usalama wa taifa) zinakuja
Ni kweli kabisa, lakn wanahitaji vijana waadilifu! Nadhani unafahamu jinsi ya kuomba kwenye idara hiyo
Kaeni mkao wa kula,
kwa wale WAZALENDO na WAAMINIFU nafasi za KAZI PCCB na TISS (Usalama wa taifa) zinakuja
kweli bwana TISS wametangaza kazi,jana nilipita wizara moja hivi!Mna apply vipi?mnajua kweli au ndo longo longo zenu
kweli bwana TISS wametangaza kazi,jana nilipita wizara moja hivi!
nikasikia wanafanya internal recruitment kwa public servants
ila sijui external wanafanya lini?
ila mnajua maana ya TISS( Tanzania institute of social science) hii ndio nilikuwa na maanisha wakuu
mchana mwema! wana jf