Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,767
- 29,721
Wadau,
Leo hii Rais amemteua Bwana John Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Mimi baada ya kusikia hili jina lake la mwisho la KIJAZI nikawakumbuka Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Bwana Alen KIJAZI pamoja Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania Bi. Agness KIJAZI.
Nimewaza kwamba hawa watatu ni ndugu au majina tu yanafanana? Na kama ni ndugu, inakuaje ndugu wote watatu wanakuwa na nafasi serikalini tena nafasi nyeti tu? Ni Juhudi zao binafsi mpaka wamefika hapo, au kubebana au coincidence tu?
Kuna yeyote anewajua hawa watatu kiundani?
Karibuni
Leo hii Rais amemteua Bwana John Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi. Mimi baada ya kusikia hili jina lake la mwisho la KIJAZI nikawakumbuka Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Bwana Alen KIJAZI pamoja Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania Bi. Agness KIJAZI.
Nimewaza kwamba hawa watatu ni ndugu au majina tu yanafanana? Na kama ni ndugu, inakuaje ndugu wote watatu wanakuwa na nafasi serikalini tena nafasi nyeti tu? Ni Juhudi zao binafsi mpaka wamefika hapo, au kubebana au coincidence tu?
Kuna yeyote anewajua hawa watatu kiundani?
Karibuni