Albert Obama Ntabaliba

Albert Obama Ntabaliba

Mtanzania haswa

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
663
Reaction score
100
Nafahamu huyu jamaa alikuwa anafanya kazi PSI-TANZANIA kama buyer, ila sikumbuki kama alikumbuki kama jina la obama alikua nalo, wadau mnaomjua huyu jamaa naombeni data.
 
Nafahamu huyu jamaa alikuwa anafanya kazi PSI-TANZANIA kama buyer, ila sikumbuki kama alikumbuki kama jina la obama alikua nalo, wadau mnaomjua huyu jamaa naombeni data.
Alafu ukijua kama hilo jina alikuwa nalo au hakuwa nalo itakusaidia nini? Itawasaidia watanzania kwa namna ipi? We hilo jina la mtanzania haswa ulikuwa nalo miaka miwili iliyopita? A name is just a name! Acha majungu!
 
Nafahamu huyu jamaa alikuwa anafanya kazi PSI-TANZANIA kama buyer, ila sikumbuki kama alikumbuki kama jina la obama alikua nalo, wadau mnaomjua huyu jamaa naombeni data.
umetumwa kuja kunchafua sio??

shame on you
 
hana lolote si ndo ana bar hii ambayo iko hapo bondeni kawe
 
Alafu ukijua kama hilo jina alikuwa nalo au hakuwa nalo itakusaidia nini? Itawasaidia watanzania kwa namna ipi? We hilo jina la mtanzania haswa ulikuwa nalo miaka miwili iliyopita? A name is just a name! Acha majungu!
hahaha Saragossa, nahitaji tu kufahamu kwa nia nzuri, sijauliza kwa niaba ya watanzania kwani halitawasaidia kitu watanzania, na sina majungu, kwani kuuliza nimefanya kosa?
 
umetumwa kuja kunchafua sio??shame on you
hapana ni kutaka kufahamu tu. kama ndo wewe naomba unifahamishe tu, anapotoka mama yangu ni manyovu pale kalinzi sijapata kusikia jina hili kwa waha au wewe sio wa kigoma
 
Back
Top Bottom