Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
.... kwa nchi kama Tanzania uraia wa mtu ni rahisi sana kuthibitishwa,mamlaka husika wafanye kazi yao tu....lakini ole wao wahamiaji haramu walioko ktk ardhi hii.Wakili huyu maarufu ameshutumiwa kuwa sio raia wa Tanzania.wazazi na ndugu zake wahojiwa kuhusu suala hilo.
=======Updates =======