Mkombizi Ndo Nini Eti?
mkimbizi mkuu,,,kwani haujamuelewa????
anamanisha ""mkimbizi zzk
Mkombizi Ndo Nini Eti?
Tuhuma za kijinga hizi. Kwa lipi hasa mpaka iwe leo ndo waspeculate juu ya uraia wa huyu mwanasheria?
Kukulia na kusoma UD sheria sio sifa za kuwa Mtanzania. Muuaji kutokubainika siku nyingi hailiondoi kosa la mauaji. Ni mtazamo wangu kufuatia sheria zetu za uraia.Tuna mjua vizuri kakulia hapo mashamba ya miwa moshi na kasoma UD sheria walikuwa wapi siku zote na pia ni Diwani.
Na serikali!!
Mada za kizushi kama hizi ni za kupuuzia!
Ninamashaka na uraia wa nnape wakuu nijuzeni asili yake,mbona ni kama mtusi?
Kama nilivyoandika!
umeandika nini?!
Mkuu kuna mijitu inakurupuka sana humu jamvini!kama huelewi mada unaipotezea au unaomba ueleweshwe!
mtoa mada katoa swali kutokana na facebook status ya msando mwenyewe ambayo imetoa maelezo yote ya nini kimempata .... acha dharau kwa mtoa mada bila sababu
kama huelewi mada unaipotezea au unaomba ueleweshwe!
mtoa mada katoa swali kutokana na facebook status ya msando mwenyewe ambayo imetoa maelezo yote ya nini kimempata .... acha dharau kwa mtoa mada bila sababu
Mkombizi Ndo Nini Eti?
Mkombizi Ndo Nini Eti?
kisa kumuunga mkombizi zzk