KOMBESANA
JF-Expert Member
- Jun 18, 2009
- 920
- 214
Msando anafahamu vizuri kuwa tuhuma zozote huthibitishwa ama kubatilika kwa misingi ya sheria ya ushahidi na kuwa jf siyo sehemu ya kuweka ushahidi wake kujitetea.facebook pia si mahali mwafaka.
Pelekeni ushahidi makini kwenye vyombo mwafaka kwa wakati
Pelekeni ushahidi makini kwenye vyombo mwafaka kwa wakati