Tutasikia mengi mwaka huu.kama siyo raia hawezi kuwa wakili?
Aondoke
wakati wakina mbowe wana kesi za kutosha za kuzushiwa kwenye mahakama za ccmTaarifa kutoka uhamiaji zinasema kuwa mipango yote imesukwa na akina Mbowe baada ya kijana huyu kujiandaa kugombea ubunge moshi vijijini alikojienga sana kisiasa kupitia chama kipya.
anaweza kuwa pia, wanataka tu kuthibitisha utaifa wake.
teh teh, haa haa kwa hiyo kumbe mbowe ana mamlaka na uhamiaji?Taarifa kutoka uhamiaji zinasema kuwa mipango yote imesukwa na akina Mbowe baada ya kijana huyu kujiandaa kugombea ubunge moshi vijijini alikojienga sana kisiasa kupitia chama kipya.
teh teh, kuna dalili ya ukweli katika hili,.Siku cdm ikishika madaraka mtapiga marufuku vyama vingi. Hiki chama ni hatari sana kwa nchi yetu
Taarifa kutoka uhamiaji zinasema kuwa mipango yote imesukwa na akina Mbowe baada ya kijana huyu kujiandaa kugombea ubunge moshi vijijini alikojienga sana kisiasa kupitia chama kipya.
Mbona ccm imeajiri majangili kuwa katibu mkuu wa chama huku ikiwafukuza raia kama weziAlipataje sifa za kujiunga na CHADEMA ilhali sio raia wa Tanzania? Kumbe CHADEMA hawako makini kabisa.