Albert Msando sio raia wa Tanzania?

Albert Msando sio raia wa Tanzania?

Wakili huyu maarufu ameshutumiwa kuwa sio raia wa Tanzania.wazazi na ndugu zake wahojiwa kuhusu suala hilo.



=======Updates =======
Wanawahoji baba na kaka kama wanamfahamu, je hao baba na kaka wao ni raia?
 
Hakika zitto hutashinda vita ya uma na kama huamini fuatilia historia ya wasaliti wa wananchi uone waliko ishia.huaminiki tena na unadharaulika kwa jamii nzima unachotaka ni kugawa kura zetu 2015 ila sisi tilioko shuleni bado tuna nafasi yakuja kukushughulikia naadae.



=======Updates =======
[/QUOTE]
 
Msando anafahamu vizuri kuwa tuhuma zozote huthibitishwa ama kubatilika kwa misingi ya sheria ya ushahidi na kuwa jf siyo sehemu ya kuweka ushahidi wake kujitetea.facebook pia si mahali mwafaka.
Pelekeni ushahidi makini kwenye vyombo mwafaka kwa wakati

nilitaka KUCHANGIA UZI HUU LAKINI KWA HUU MCHANGO WAKO SINA HAJA TENA ! ASANTE SANA .
 
Hakika zitto hutashinda vita ya uma na kama huamini fuatilia historia ya wasaliti wa wananchi uone waliko ishia.huaminiki tena na unadharaulika kwa jamii nzima unachotaka ni kugawa kura zetu 2015 ila sisi tilioko shuleni bado tuna nafasi yakuja kukushughulikia naadae.



=======Updates =======
[/QUOTE]

eee bhana eee !
 
umekataa kutoa ushahidi wa source, badala yake unataka tutafute wenyewe. Who knows labda mnamsingizia, akaunti yake haina hicho kitu?

Watu wengine bwana burudani!hivi kila kitu lazima ubishe? Ameandika imetoka kwenye facebook wall ya Alberto kwa hiyo unategemea akupe ushahidi kuwa kweli katoa kwenye wall ya Alberto? How for instance? Aipige picha hiyo wall au?
 
huu usanii mwingine unachekesha .... eti beto hajui kiswahili au kiswahili kinamtatiza!

tafuteni hadithi nyingine!

A. CITIZENSHIP BY BIRTH
Any person born in the United Republic on or after Union day is deemed to be a citizen of theUnited Republicifat the time of his birth one of his parents is or was a citizen of United Republic of Tanzania.
B. CITIZENSHIP BY DESCENT:
Any person born outside the United Republic on or after Union day is deemed to be a citizen of the United Republic by descent if one of his parents is a citizen of the United Republic of Tanzania by birth or naturalization.


Immigration Services Department of United Republic of Tanzania

Tanzanian nationality law - Wikipedia, the free encyclopedia

Tolea majibu ya A na B juu ya Ndugu Msando tuhitimishe hoja!
 
Braza huyo ni mzalendo mzuri sana ..
Mie binafsi nashuhudia hilo..
 
Back
Top Bottom