Tigo🤣🤣Pesa za kushind kesi ya AY FA dhidi ya tigo alihonga nn?
🤣🤣🤣🙏Sawasawa lakini mama Samia hamtaki kabisa huyo bwashiru wako 😀😂😀😂
Acha kutetea upuuzi, kakwapua baada ya mzee baba kusepa🙏Tukiachana na ya msando, Tuliofanya kazi na huyu mzee sote tunashangazwa na tuhuma za yeye kuhusika na ukwapuaji wa pesa "huko kunakosemekana". To the best of my knowldedge huyu mzee sio fisadi wala mwizi, Maisha yake binafsi, familia yake Mpaka shule anazosomesha watoto wake, siuoni huo ufisadi wa Dr. Bashiru.
Binafsi nampinga yeye kupewa nafasi ya KM sababu haifahamu siasa ya CCM, alichukuliwa sana na "aina ya siasa za hayati" na matokeo yake wakaumiza watu wengi, kama angekuwa KM imara anayekifahamu chama kuna vitu angeweza kumshauri Hayati, au asikubaliane nae katika baadhi ya mambo. Yaliyotokea yamesababisha chama kimepata ushindi huo lakini credibility imeshuka sana, almost to zero. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi kuingilia siasa za majimbo, wangeachwa wabunge wapambane na hali zao na wenzao huko, Lililofanyika linanifanya niamini kuwa Hayati na Bashiru walikuwa na lao jambo.
Lakini tuhuma za wizi kwa Dr. Bashiru binafsi sitaki kuchukuliwa na upepo mpaka pale zitakapothibitishwa Haya ni maoni yangu binafsi.
Hunifahamu! Sitetei upuuzi, nimeongelea ninachofahamu, zaidi sana nimesema labda uchunguzi ukifanyika na ikithibitika pasina shaka kuwa ana hatia.Acha kutetea upuuzi,kakwapua baada ya mzee baba kusepa🙏
Kweli penye uchafu tofauti mchina hubuni na kutengeneza brush ya kipekee ya kuusafisha uchafu huo bila kutumia nguvu nyingi!"Kwanza hizi nafasi ni za uteuzi na kila mtu anachagua mtu ambaye anataka afanye naye kazi na kwanini. Dkt Bashiru Ally alikuwa karibu sana na Hayati Rais John Magufuli alimwamini.
Kwa upande wangu binafsi namkubali na namwamini sana Dkt. Bashiru, mimi ni mmojawapo ninayesema Dkt. Bashiru sio mla rushwa, ana nidhamu na anapenda kazi yake.
Ni mtu ambaye analala masaa mawili, saa 10 kamili alfajiri ameamka hata kama mlilala wote saa 9 hivyo ndivyo tulifanya kazi wote.
Na hicho ndio kitu ambacho alikiona Hayati Rais Magufuli kwake. Naamini kule bungeni ataongeza kitu kikubwa sana" Albert Msando, Mwanasheria.
Binti, moyo wa mtu kichaka! Umdhaniaye ndiye, kumbe siye! Pesa ni sabuni ya roho, Nani asiyezitaka? Kama kina Trump na ubilionea wake alihongwa na akachukua, kina Perez huko Israel wamehongwa huku account zao zimejaa matarakimu zaidi ya 12, Nani wa kuzikataa ambazo hujazitolea jasho?Tukiachana na ya msando, Tuliofanya kazi na huyu mzee sote tunashangazwa na tuhuma za yeye kuhusika na ukwapuaji wa pesa "huko kunakosemekana". To the best of my knowldedge huyu mzee sio fisadi wala mwizi, Maisha yake binafsi, familia yake Mpaka shule anazosomesha watoto wake, siuoni huo ufisadi wa Dr. Bashiru.
Binafsi nampinga yeye kupewa nafasi ya KM sababu haifahamu siasa ya CCM, alichukuliwa sana na "aina ya siasa za hayati" na matokeo yake wakaumiza watu wengi, kama angekuwa KM imara anayekifahamu chama kuna vitu angeweza kumshauri Hayati, au asikubaliane nae katika baadhi ya mambo. Yaliyotokea yamesababisha chama kimepata ushindi huo lakini credibility imeshuka sana, almost to zero. Hakukuwa na sababu yoyote ya msingi kuingilia siasa za majimbo, wangeachwa wabunge wapambane na hali zao na wenzao huko, Lililofanyika linanifanya niamini kuwa Hayati na Bashiru walikuwa na lao jambo.
Lakini tuhuma za wizi kwa Dr. Bashiru binafsi sitaki kuchukuliwa na upepo mpaka pale zitakapothibitishwa. Haya ni maoni yangu binafsi.
bashiru alipenda madaraka na muda mfupi tu sasa tayari ana makando kando., alikuwa na kauli mbaya kuliko mkuu wa nchi alisema waziwazi mchana kweupe kwamba dola itaisaidia ccm kubaki madarakani uchaguzi uliopita, kwake yeye aliona ni neno la kawaida sana, mtu kama bashiru kuja akashika madaraka ya juu zaidi atakuwa zaidi ya dikteta.,
Alafu anatokea Msando anateteaBashiri ni li jizi na fisadi lililo kubuhu kupita maelezo, sijui ni kwanini mpaka sasa lipo uraiani badala ya lupango!
Akili za kutafuta uteuzi hizo, Msando anahangaika sana apate uteuziKwa hiyo ukishamwamini wewe na magu ndo unataka na sisi wote tumwamini, hizi akili za wapi hizi?
Umenena jambo la kweeeriii.Msando Sema mama hanaga muda na hizi mambo, pumzika brother.
Mtaji wenyewe anao yeye ni mganga njaa tuBasi awekeze nguvu zake kwenye biashara atafanikiwa ila huku hatufai.
Ndiyo maana gang lao wapo hoi bin taaban kisiasaKutoka na mayala leo wkt anaojiwa nadw kiswahili alisema kuwa dkt huyo alikuwa anaandaliwa kuja kuwa rais baada ya jiwe kungatuka
Anapiga sana K-vantAache ulevi huyo Gigi money
DuuuuuuuHuyu jamaa hivi ameacha ile tabia ya kushika papuchi za wasanii hadharani.
Hapo alipokuwa tayari alishajiona bonge la starbashiru alipenda madaraka na muda mfupi tu sasa tayari ana makando kando., alikuwa na kauli mbaya kuliko mkuu wa nchi alisema waziwazi mchana kweupe kwamba dola itaisaidia ccm kubaki madarakani uchaguzi uliopita, kwake yeye aliona ni neno la kawaida sana, mtu kama bashiru kuja akashika madaraka ya juu zaidi atakuwa zaidi ya dikteta.,
Alafu tazama media anazochagua kwenda kufanya interviewMsando ni mla rushwa, hapo alipo anajihami maana walikuwa wote kwenye tume kukagua mali za ccm, na mpaka leo ripoti haijawekwa hadharani. Halafu isitoshe nani anamuamini Msando mpaka atutajie nani sio mla rushwa? Hakuna jizi lolote la kura ambalo sio lila rushwa.
Ndiyo maana watu tumejiuliza maswali mengi sana juu ya hiloAlbeto acha uchawa ,analala masaa mawili wewe mkewe mpaka ujue hilo?