Albert Msando awalima Wamarekani barua, awaambia waache 'double standards' kwa hoja nzito

Hakuna tuhuma za moja kwa moja unaweza kuihusisha Marekani dhidi ya mauaji ya Saddam Hussein na Gaddafi....,

1.Saddam Hussein alikabidhiwa kwenye utawala wa Iraq na kuhukumiwa na kunyo gwa kwa mauaji ya Wakurdi 144.

2.Gaddafi aliuwawa na waasi waliokuwa na hasira dhidi ya utawala wake.



Upo hapo bwana mdogo...????


.....lete swali lingine......

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ukitegemea ukute ushahidi wa moja kwa moja wa mauaji basi umeula wa chuya.

Kisingizio cha majeshi ya marekani kuingia iraq ni hizo silaha zenye sumu. Bush na Blair walifanya kazi pamoja kuhakikisha Saddam anakamatwa na hatimaye kuuwawa.

Obama alikiri kuhusika na kifo cha Ghaddaffi na akasema anajutia kuhusika kwake.
 
kamanda mbona unaonekana umechukia wewe badala ya Trump au Pompeo?
Sijachukia..mambo ya msingi sana mpaka sasa tumesikia takribani matamko zaidi ya mia kila kona.Kwani waliondika barua walishindwa nao kutumia njia za ajabu ajabu kuwakilisha ujumbe?

Wameandika kitu official kabisa kwa Serikali iliyo kuu..Ambayo ina wajibu wa kutueleza Watanzania kuwa hivi ipo hivi.

Kukaa kimya na kuwatumia sjui kina nani kama ndio wasemaji wa Serikali..labda sijui.

Wasipuuzie mambo ya Msingi..hao jamaa si wajinga kama sisi tunavyowaza kirahisi rahisi.

Tunahitaji kula kwa utulivu.Wawajibike kama watu wenye weledi.Ukajanjanja hauna nafasi kwenye zama hizi.
 
Muda uliotumika kuandaa andiko hili, ingefaa sana utumike kuishauri serikali yetu jinsi gani tunatoka hapa tulipo, turekebishe nini ili kuirudisha taswira yetu nzuri inayoanza kuchafuka duniani. Pamoja na mengi yaliyomo kwenye andiko mwandishi anabainisha ukiukwaji wa haki za binadamu uliofanywa na Marekani, sawa, kosa la Marekani kukiuka misingi ya haki za binadamu haihalalishi na sisi kama nchi kukiuka misingi hiyo ya kibinadamu lakini pia haitupi uhalali wa kukataa kukemewa. Hata kama uko nyumbani kwako unavunja misingi ya kibinadamu kwa familia yako, majirani na marafiki zako wanapokuambia kwamba unayoyafanya sio sahihi, huwezi kuwaambia kwamba mbona nyie mnakiuka pia majumbani kwenu!


Kuna mahali kuna kitu hakiko sawa, hawezekani leo watanzania tunajadili tuhuma za ukiukwaji wa misingi ya haki za binadamu wakati Tanzania kwa miaka mingi imekuwa na sifa ya kuwa ni nchi ya amani, ni muhimu tujadili jinsi gani Tanzania ibaki kuwa nchi ya amani.
 
Mawazo ya hii barua kayatoa makonda mwenyewe maana HAJUI kinge yule wakili wa kesi za misokoto ya bhangi haikua Nia YAKE kuandika barua ambayo itaishia kukaa masjala na isifunguliwe km maprofesa walikaliwa kimya seuze muuza ugimbi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Musando ni nani? Hawa ndio wapiga dili wa awamu hii, watu hawawezi kunyanyaswa hivi eti wewe ndio unajidai kuandika barua.

Nafikiri siku hiyo hiyo walipoipokea ndio waliitupa kwenye "Trashcan".

This Musando, obviously an incumbent's boot licker, is an obscure person and any message he sends to the high profile embassy like the American can hardly be regarded. That's for sure.
 
Tunahangaika nini wakati sisi ni nchi tajiri? Si tukae tu kimya? Kwami tukinyimwa hizo fedha au Makonda akizuiwa Marekani Tanzania haitakuwa nchi ya viwanda??
 
Asilimia kubwa huu mtandao umejaa watu wenye njaa sana....... Wenye njaa nitoleeni povu maana ukweli nimeongea sema mnajificha huku tu.

doggystyle changeinarudi shehe
 
Ndugu zangu,

Nimeambatanisha barua ambayo Wakili mwenye uwezo mkubwa kwenye sheria za kimataifa Ndg Msando Alberto kawalima ubalozi wa Marekani. Ni dhahiri katoa hoja nzito ambazo hazitajibiwa zaidi ya povu.

Albert Msando is a notorious plagairist aka intellectual fraudster. I have taken a completely random part from his so-called letter, googled it, and guess what folks? Like night follows day, the search revealed the sentence was lifted in it's entirety, word by word from the following source:


Albert Msando wrote: "...it was reported in 2018 that the united states continued to move backwards on human rights at home and abroad in the second year of president donald trump's administration. with trump's republican party controlling the legislative branch in 2018, his administration and congress were able to pass laws, implement regulations, and carry out policies that violate or undermine human rights..."

From Human Rights Watch website: The United States continued to move backward on human rights at home and abroad in the second year of President Donald Trump's administration. With Trump's Republican party controlling the legislative branch in 2018, his administration and Congress were able to pass laws, implement regulations, and carry out policies that violate or undermine human rights.


That's just one very simple example of what I believe is 90% or more copy & paste work/content in Mr Msando's letter.
 
Wakati wa kuzua matatizo wanazua watu wachache sana...Hakuna sehemu nimekuwa quoted kule kwenye ile barua.

Tusipende kupeana faraja..wawajibike wanaopotosha hii Nchi.
si ndomaana hata kuijibu hiyo barua ni wachache tu ndo watajibu?
 
Ndugu zangu,

Nimeambatanisha barua ambayo Wakili mwenye uwezo mkubwa kwenye sheria za kimataifa Ndg Msando Alberto kawalima ubalozi wa Marekani. Ni dhahiri katoa hoja nzito ambazo hazitajibiwa zaidi ya povu.

ukiamua kujifunza mambo yaliyomo kwenye vitabu na kuyaandika unaweza andika hata page 50 lakini mwisho wa siku maisha halisi ndiyo yanaamua.Sidhani kama USA hawajui hizo sharia au mambo ya International Law bali wanachoangalia wao ni nani anahoja mamlaka yao.Hivyo sioni mantiki ya kuwaelezea sana Mambo ya kwenye Vitabu .Mwisho Msando hanaweza kuwa credible source.
 
Hajui alitendalo....
Screenshot_20200204-151847.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeisoma document hii na kiukweli imenigusa kifikra na moyo.....

Kwa hapo nampa pongezi binafsi ndugu Albert Msando kwa kulekezea ujumbe sahihi kwa wahusika.

Kimsingi USA ni taifa kama mengine na hana haki ya kuwa tuhumu wengine kwa makosa ambayo hata yeye kwake anayo na ameshindwa kuyashughulikia... .....

Nashangaa sana watanzania mnaounga mkono tatizo kwa kushabikia post zinazosambazwa na hawa vibaraka wa mataifa ya nje....

Wengi wa hawa vibaraka ukiwa chunguza utagundua wanaona serikali ya sasa haiwapi masilahi yao na wanakwazwa na hiyo kitu kiasi kwamba wanakuwa wapo tayari kushirikiana na mtu yeyote atakae kuwa anapingana na serikali.

Mimi naamini pia katika mfumo wa haki za binadamu ila nasikitika sana Marekani na hawa vibaraka kuutumia kama silaha ya kuwapofua macho raia wa Tanzania na kuwafitinisha na serikali yao.

Marekani mwenyewe anajua wazi kuwa ana malengo yake binafsi katika hizi shutuma ila sio upendo wa dhati Tanzania.

Ila aibu kubwa iende kwa chama cha wanasheria Tanzania kukalia kimya wakati taifa lao lilichafuliwa duniani na kuwekewa vikwazo na wao wakiwa wamesomeshwa kwa kodi za wananchi. Hawa ndio wamekuwa vinara wa kushuhudia mifumo ya sheria ikibakwa na wao wakitegemewa kutoa elimu juu ya usahihi wa sheria katika kuendesha maisha yetu.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha habari,ungefikiri Msando ni mtu wa heshima na mwenye kuwasemea wanyonge kumbe ni mganga njaa.
 
Back
Top Bottom