Albert Msando apotoka tena

Tatizo watu wanataka kupiga story za mwanamke gani mjini ana ------ makubwa au anatembea na Diamond.

wewe mbona sikuelewi umekaa au umesimama au umechuchumaa!wewe ni gamba au ngozi!ueleweki au msando ni mwanasheria wa nyumbani kwenu!kwenda uko na magamba yenu.
 
Why are you taking it public kama wewe ni mwanachama na mbali ya hapo ni diwani hujui taratibu za chama kweli? Serena Hotel imekuwa sehemu ya mamlaka za chama hadi ujitokeze kila siku kwenye hadhara
Unaonekana mtoto kweli aisee
Nyie pro-Chadema mbona mnakuwa na siasa za makengeza Lema alivyokuja JF kumshambulia Zitto mbona mlikuwa kimya au kwa sababu wa nyumbani.
 
seeeeeeeeeee..............beee hebu nipishe huko
watu wenyewe ni bora hata gari ilokata senta bolt inaweza kufika nyie sijui mmekata chasis engo manake hamjulikan mpo wapi.............
kama ni ladha ndo kabisaa hamna hamjulikan mnanoga sukari ama chumvi ndimu ama pilipili mpo mpo tuuuu
kwa stail hii mtasubiri sana kuchukua nchi.......bora hata NRA kuliko nyie mbulula
 
Msondo tulisha kuona siku nyingi baada ya
kushauliwa ujitoe kwenye kesi ya viongozi
wetu ya Jan 5 baada ya kuja na kigezo cha
kuweka dau kubwa kuliko hata wanasheria
wakongwe halafu ukataka tukupe kabla hata
Hujkanyaga mahakamani lakani tulipofatilia
nyuma ya jambo hilo alikuwa ni zito leo
tunakuona kwenye harakati za kutaka
kukisambalatisha chama, nakuambia huto fanikiwa...
 
Kunawatu wao wanajifanya ni malaika na wana haki katika hii dunia. Bigup kwa kuliona hilo.
 

ni ushahuri unawapa magamba wenzako au unawafariji kwa maafa yaliyowapata!hujui mlilia wembe kinachotokea mbele yake ni nini?pumbavuuu!!kojoa ukalale wewe!
 

Ni vema ukaachana na habari zakujibizana na hawa watu hamtoweza kuelewana,coz akili ndogo haiwezi tawala akili kubwa na hiki ndicho kinachotokea kwa ZZK,
tunajua hizi ni hofo za uchaguzi.
Siku inakuja jiwe wanalolikataa waashi litageuka kuwa jiwe kuu la msingi
 

siungi mkuu haya mathread, yanakera

Ila my take home message ni kwamba chadema si ya zitto wala ya cc wamekua chama cha misutano tu, wamekua kama khadija kopa na masma hamisi kidogo
 
Nyie pro-Chadema mbona mnakuwa na siasa za makengeza Lema alivyokuja JF kumshambulia Zitto mbona mlikuwa kimya au kwa sababu wa nyumbani.

wewe ndiyo makengeza. serena hotel na waandishi wa habari na uvccm siyo jf
 

Ee Mungu kumbe huyu Jamaa ni nyoka hivyo?
 
siungi mkuu haya mathread, yanakera

Ila my take home message ni kwamba chadema si ya zitto wala ya cc wamekua chama cha misutano tu, wamekua kama khadija kopa na masma hamisi kidogo

Punguza munkari mkuu tupo busy tunakomboa nchi
 
Kunawatu wao wanajifanya ni malaika na wana haki katika hii dunia. Bigup kwa kuliona hilo.

wote nyie ni vilaza! kimya hamna sentensi wala tenzi,kojoeni kabla ya kulala msije mkakojoa kitandani maana akili zenu ni fupi kama mnavyofikiria.
 

Bora msukule unaweza tumwa sehemu kuliko chuma chakavu lisilofaa kwa matumizi zaidi ya kurejeshwa kiwandani kutengenezwa product nyingine"wewe ni chuma chakavu"

kachumbari haikamiliki bila kutia mbwembwe zote ulizizitaja hapo
 
Kwahiyo hapa kosa la Msando ni kumpa Zitto huduma ya kitaalam ya sheria!!!

Mtanzania anayependa kumuona Zitto anataabika bila msaada wa kisheria hana nia ya kuona haki ikitendeka.

Mabadiliko mnayoandamana kuyalilia ndio lengo lake kuleta tabia hii ya kuchukia watu wanapopata msaada wa kisheria?

Kwanini mnataka kutoa hukumu kimyakimya vichochoroni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…