Msando,
1. Kanuni ya 10.1 (xi) ya Kanuni za Uendeshaji kazi za Chama inasema hivi naomba kunukuu " Kiongozi anatakiwa kutii na kutimiza maagizo anayopewa na viongozi wa ngazi ya juu au vikao halali na kama hakubaliani na maagizo hayo aeleze hivyo kwa kupitia taratibu na ngazi zilizowekwa kwenye Kanuni" mwisho wa kunukuu. Je Serena Hotel ni ngazi gani ya kikao cha Chama katika Katiba unayodai kuitetea? Wewe ni Kiongozi wa Kata wa Chama kwa mujibu wa Katiba, jipime.
2. Sababu zilizotolewa mngezijibu kwanza na kusubiri kikao husika ndipo mkate rufaa lakini kabla ya hatua mnazotaka tayari mmekimbilia Serena, Childish strategy and lack of confidence.
3. Kama sababu hazijitoshelezi je zinakosa uhalali wa kuwa sababu? ulitaka zijitosheleze kwa namna gani? Beyond reasonable doubt? utoto
4. Chadema wanasheria ni wengi mkuu. Do your home work
Wewe nawe naona unapata mahali pa kuleta siasa zako za majitaka kwa ajili ya ubunge Moshi Vijijini.Anzisha thread yake achana na hii unataka kujifanya mwanachadema ma una uchungu na Chadema kumbe unamaslahi binafsi.
Acha kuwa opportunist.Mambo yako ya ubunge kamalizane huko Moshi vijijini maana nawe unaweza kuulizwa kama unafahamu kazi hicho cheo chako ndani ya chama chako hapo Kilimanjaro halafu ukaishia kung'aa macho na kuharibu mjadala
Kuwa mstaarabu!
Mkuu Msando
Sheria umesomea wapi mbona hili liko wazi
Kama mwanasheria naamini anajua hatua za kuchukua akiendelea kukomalia suala hili, nimkumbushe tu kuwa anatakiwa ajiuzulu hiyo nafasi ili kuondoa mgongano wa kimaslahi na afanye kazi yake ya uwakili kama anataka kuendelea na kushiriki kupinga maamuzi ya Kamati Kuu.-Wewe ni wakufukuzwa pia
Well as for me kumtetea Zitto ni haki na wajibu na ningeshangaa sana kama wanasheria kama ww wangemwacha bila msaada tatizo langu kwako wewe ni strategies zako za utetezi zipo katika malengo gani?
Kama Zitto mwenyewe kwenye press alishasena atakuwa wa mwisho kuivuruga chadema; sasa let us assume ni kweli... Huoni kuwa tayari Zitto ambaye anapokea ushauri wako anakusuta wewe unaye mwakilisha kwaku ng'ang'ania publicity yenye mrengo wa kutafuta public sympathy badala ya kuandika tetezi hizo zikajadiliwe kwenye vikao vya chama?
Ama na ww pia huna imani na uongozi uliopo? Maana hiyo ndiyo message unayotupa ss spectators!
Ujinga uliofanywa leo kwenda kukianika Chama Serena ni sababu tosha ya Kamati Kuu kuchukua maamuzi magumu.
Baraza Kuu libariki tu maamuzi ya Kamati Kuu.
Una hoja za msingi.
Hata hivyo naona kunaanza kuibuka plethora of threads za kukushambulia. Lengo ni kukutoa kwenye focus. I believe you will remain focused.
May be nyinyi wachache mtakuwa chachu ya kuifanya Chadema kuwa chama cha wanachama. Msikate tamaa...
Mkuu huyu mnafiki nilimshangaa leo kwakuwa namfahamu alivyo kibaraka wa chama cha misukule. kwani anataka kugombea kwa chama gani?
Tatizo watu wanataka kupiga story za mwanamke gani mjini ana ------ makubwa au anatembea na Diamond.
Mkuu, unajua njaa ni mbaya sana.
Well as for me kumtetea Zitto ni haki na wajibu na ningeshangaa sana kama wanasheria kama ww wangemwacha bila msaada tatizo langu kwako wewe ni strategies zako za utetezi zipo katika malengo gani?
Kama Zitto mwenyewe kwenye press alishasena atakuwa wa mwisho kuivuruga chadema; sasa let us assume ni kweli... Huoni kuwa tayari Zitto ambaye anapokea ushauri wako anakusuta wewe unaye mwakilisha kwaku ng'ang'ania publicity yenye mrengo wa kutafuta public sympathy badala ya kuandika tetezi hizo zikajadiliwe kwenye vikao vya chama?
Ama na ww pia huna imani na uongozi uliopo? Maana hiyo ndiyo message unayotupa ss spectators!
Una hoja za msingi.
Hata hivyo naona kunaanza kuibuka plethora of threads za kukushambulia. Lengo ni kukutoa kwenye focus. I believe you will remain focused.
May be nyinyi wachache mtakuwa chachu ya kuifanya Chadema kuwa chama cha wanachama. Msikate tamaa...
Mkuu Msando
Sheria umesomea wapi mbona hili liko wazi
Kama mwanasheria naamini anajua hatua za kuchukua akiendelea kukomalia suala hili, nimkumbushe tu kuwa anatakiwa ajiuzulu hiyo nafasi ili kuondoa mgongano wa kimaslahi na afanye kazi yake ya uwakili kama anataka kuendelea na kushiriki kupinga maamuzi ya Kamati Kuu.-Wewe ni wakufukuzwa pia
Huku kuna vijamaa vina taaluma ya sheria havijawahi kupata mteja wa maana zaidi ya kusaini mikataba ya vyumba sasa naona roho zinawauma kweliBen:
1. Ni nini ambacho nimepotosha?
2. Ni kashfa gani nimetoa dhidi ya chama?
3. Ni uzushi gani nimefanya dhidi ya chama?
nimeshamwagiza mwenyekiti wa wilaya yake aangalie namna ya kuchukua kadi yetu...
JF,
Issue sio Msando Albert ni nani au kwa nini anatetea.
Issue ni rahisi natetea nini na utetezi wangu uko based kwenye nini.
1. Utaratibu wa kumvua Zitto nyadhifa haukufuatwa.
2. Sababu zilizotolewa ni circumstantial. Hazijitoshelezi. Zote zinatokana na waraka wa Mwigamba.
Kabla ya kutukana, kudharau na kukejeli yajadiliwe ninayoyasema na sio mimi.
Kama kijana, mwanachadema mwenye taaluma ya Sheria nina wajibu kusema haya. Sasa nikosolewe makosa yangu kwa nafasi hizo tatu na sio vinginevyo.
Mpaka sasa hakuna mahali ambapo hoja inatolewa ya wapi sistahili kusemea. Jazba hazijengi wala kuelekeza njia sahihi kama lengo ni kujenga.
Ila kama nia ni kupiga story tu kumaliza siku ni sawa pia.
hivi kijana unajua maana ya dharula ?Vipi kuhusu kupatiwa mashtaka kimaandishi kabla ya kuchukuliwa hatua za kinidhamu?
MkwawaMsando ngoja tuone wewe ZZK, Kitila na Mwigamba VS chama sisi wanachama nani mshindi. Tumesema hatumtaki mteja wako, hatukutaki wewe na hatutaki lolote kutoka kwenu. Mnakifanya sasa sio utetezi ni kampeni ya kuibomoa CDM. Kama diwani unajua vizuri sana maelezo sio sehemu ya kuwasilisha utetezi wa wateja wako. Unachokifanya ni siasa na unatumika ama wewe ndio MM2. Ninaamini kabisa wewe ni masalia group. Eti wasomi wenye uchu mnataka kupindua chama. Mtasoma namba.
Umesahau kwamba na Albert Msando anatoka chini ya mlima huo huo!Sema cdm head ofs ufpa si kanda ya kaskazin cz cdm kuanzia mwkt ad mwenye cheo cha chni wanatokea chn ya ule mlma
Msando,
Angalia namna mnavyoshirikiana na vichwa maji kama hawa kila siku anapotosha na kukishambulia Chama si kwa hoja bali kwa uzuzu na uongo, leo anataka uwe focused usaidie Chama ambacho ni mwiba kwake. Think twice bro