Albert Msando apotoka tena


Ujinga uliofanywa leo kwenda kukianika Chama Serena ni sababu tosha ya Kamati Kuu kuchukua maamuzi magumu.

Baraza Kuu libariki tu maamuzi ya Kamati Kuu.
 

Mkuu huyu mnafiki nilimshangaa leo kwakuwa namfahamu alivyo kibaraka wa chama cha misukule. kwani anataka kugombea kwa chama gani?
 

Mkuu, unajua njaa ni mbaya sana.
 

Huyo anafanya Kazi aliyotumwa na CCM.
 
Ujinga uliofanywa leo kwenda kukianika Chama Serena ni sababu tosha ya Kamati Kuu kuchukua maamuzi magumu.

Baraza Kuu libariki tu maamuzi ya Kamati Kuu.

Makosa yale yale waliyofanya mara ya kwanza wakayarudia tena leo!!!

Kwa upuuzi huu wa Albert Msando chadema wasipomfukuza Zitto Kabwe nitaahangaa sana
 

Msando,

Angalia namna mnavyoshirikiana na vichwa maji kama hawa kila siku anapotosha na kukishambulia Chama si kwa hoja bali kwa uzuzu na uongo, leo anataka uwe focused usaidie Chama ambacho ni mwiba kwake. Think twice bro
 
Mkuu huyu mnafiki nilimshangaa leo kwakuwa namfahamu alivyo kibaraka wa chama cha misukule. kwani anataka kugombea kwa chama gani?

Huyo ni kijana mmoja wa magamba hapo Kilimanjaro Mkuu.Yeye siku zote ni Mfuasi Mkubwa yule waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa tuhuma za kusimamia mchakato wa kifisadi
 

Ame,

You nailed it .....

Hit em hard !
 
Last edited by a moderator:

Ngiri na nguruwe lao ni moja

look who is talking
 

nimeshamwagiza mwenyekiti wa wilaya yake aangalie namna ya kuchukua kadi yetu...
 
Ben:

1. Ni nini ambacho nimepotosha?

2. Ni kashfa gani nimetoa dhidi ya chama?

3. Ni uzushi gani nimefanya dhidi ya chama?
Huku kuna vijamaa vina taaluma ya sheria havijawahi kupata mteja wa maana zaidi ya kusaini mikataba ya vyumba sasa naona roho zinawauma kweli
 

msando,
siku hizi kuna watu miongoni mwetu wenye haki ambazo wengine hawana,wana haki
ya kuita press kumshutumu mtu lakini ni marufuku kwa anaeshutumiwa kujitetea hadharani,ni sahihi wao kuchafua mtu hadharan lkn anayechafuliwa anatakiwa kukaa kimya .
 
Mkwawa
===>Naamini kitila hayuko na hawa jamaa ie zzk na mkulima nani yule...........,naamini atakuwa amegundua kuwa anaburuzwa bila yeye kujijua.
===>Nafikiri CDM hawapaswi kukurupuka tena kumjibu huyu jamaa na TeamZitto,wasubiri majibu waliyoyatoa halafu wachukue hatua muafaka,
===>CDM huyu dogo aka ZZK ataendelea kuwasumbua sana kama hamtamdhibiti vya kutosha,mshughulikieni haraka sana,kuna watu wanampa kiburi hasa magamba.
 
Last edited by a moderator:
Msando,

Angalia namna mnavyoshirikiana na vichwa maji kama hawa kila siku anapotosha na kukishambulia Chama si kwa hoja bali kwa uzuzu na uongo, leo anataka uwe focused usaidie Chama ambacho ni mwiba kwake. Think twice bro

Hili nalo lilisemwa kwenze press conference ya leo kuwa huwezi kumlaumu mtu kutokana na watu wanaomuunga mkono.

Unakumbuka Obama alipata endorsement ya Luis Farkhan, Hillarz Clinton akataka kuitumia hizo against Obama kisiasa. obama alijibu kirahisi tu "I cant be punished just because some guy likes me!".

Kama mtaendelea kuchukuia watu just because wanaungwa mkono na watu ambao hawawaungi nzinzi mkono basi jueni kuwa hampo kwenze siasa, mko kwenye biashara ambayo ni tofauti kabisa na siasa.

Watu kama Msando ndio wanaoweza kuirudisha Chadema kwa wanachama. Nyinyi mliozoea kwenda kama mbuzi anayepelekwa machinjoni have nothing to offer.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…