Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema

"Vigezo na mashart kuzingatiwa" au " Terms and Conditions apply" ZZK alizijua terms na conditions kwa maana ya katiba hivyo watu wake wasilalamike yanayomkuta sasa ni sawa na mcheza mpira unajua ukishika mpira kwa makusudi ndani ya 18 yako inapigwa penalt umetokea umeshika mpira inapoamliwa kupigwa penalt unaweka mpira kwapani na kulalamika
 
Wakili wa kufatilia kesi za simu kko

Na Kuuza viwaja, vya wahidi hana lolote analojua kwenye siasa. Sababu za kitoto na za kijinga tu.
 
Huyu jamaa anatafutaga sana kiki kupitia CDM,huwa anasema alishiriki kuitunga katiba hiyo iliyomwajibisha zito,ina maana wakati anajipeleka mahakamani hakujua katiba hiyo aliyoshiriki kuitengeneza ina kipengele hicho??ni kilaza au mpiga dili tu?,anajua atamwambia mteja wake wakate rufaa aendelee kuingiza siku
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema

Tupe mfano wa kesi yeyote ya CCM iliyoamuliwa mahakama ni. Huoni Tibaijuka kila siku analalama humu kuwa kaoneawa lakini haendi mahakamani. Kesi za kina Lowasa na wengine kufungiwa kisa wametangaza nia ni demokrasia siyo. CCM hapo wanadai wana utaratibu wao na siyo sheria ndani ya katiba yao. Sasa CDM wanatumia katiba yao kujiamulia mambo yao watu wanadai ni kinyume cha demokrasia. Ningewaelewa watu kama wangekosoa demokrasia ndani ya CCM kwa kuwa maamuzi yao mengi huwa wanadai chama kina utaratibu wake. Nani kahoji hilo!?
 
Ngoja nione mchezo!
Wakicheza rafu napiga filimbi
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema
akili yako ni pana sana, ni wachache sana wanaweza kuelewa kama ww, huwezi jiita mwanademocrasia wakati katiba yako inaziba watu midomo wasipige kelele unapowakanyaga.
 
Pole saana Mh. Zitto Zuberi Kabwe na hongera kwa CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO. Kwani kwenye mpambano wa aina yeyote lazima kuwapo na mshindi na mshindwa. Binafsi sina uhakika kwa kinachoenedelea kuwa kinatokana na watu wenye dhamira moja ama ni dhamira tofauti zenye maslahi binafsi?
Napata wakati mgumu saana pale ambapo chama kinachosisitiza demokrasia kuwa na sheria ya kumtimua mwanachama wake yeyote atakayekwenda kupeleka mashtaka ya aina yeyote mahakamani dhidi ya chama hicho na akashindwa. Mh. Zitto aliona kwamba hatendewi haki na chama chake Je angekimbilia wapi kama sio kwa Mtafsiri wa sheria? Nafikiri chadema kama chama cha demokrasia basi hapa hakina budi kufanya mabadiliko ili kuwa mfano hai kwani tumeshuhudia katka nchi za jirani zetu wale wote waliokuwa hawakutendewa haki ndani ya taasisi za ndani za serikali wamekuwa wakikimbiza mashtaka yao UGHAIBUNI.
Kihistoria kuna habari ya kwamba ndani ya chadema kulikuwa na mgogoro wa kimaslahi kati ya Mh Zitto zuberi kabwe na viongozi waandamizi wa chama hicho, baadae shutma zikarudi kwa Mh. Zitto kushirikiana na CCM pamoja na taasisi za juu za serikali katika kudhoofisha hali ya upinzani hasa Bungeni. Sina hakika na shutuma za Chadema kwa kuwa uwezo wa Mh. Zito Kabwe wa kujenga hoja juu ya kuikosoa serikali ulishuhudiwa na watanzania wote. Na kuhusu mgongano wa maslahi, kwa kumbukumbu zangu ni kwamba si wa kwanza Mh. Zitto kutamka hayo bali kuna waliotangulia ambao walijaribu kutoa hoja za Kukijenga chama imara CHADEMA kwa kupingana na maslahi na matakwa ya viongozi waandamizi lakini waliishia umauti.
Naomba niseme kwamba kwa hayo yote yaliyokuwa yanaendelea ndani ya chadema ni dhahiri kwamba nchi hii bado haina upinzani wa kweli wenye dhamira ya kumkomboa Mtanzania bali una upinzani wa kichama wenye maslahi na chama..Nomba nikitakie safari njema CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO na pia namuomba mungu amuongoze Mh Zitto Zuberi Kabwe katika jitihada zake za kumpigania Mtanzania, nina imani bado wananchi wa kigoma na watanzania wote tuna imani na Mh. Zitto Zuberi Kabwe katika harakati za kumkomboa mtanzania.
 
Huyu ndiyo mnamuita wakili msomi?

Kuna kipengele ndani ya katiba ya CHADEMA inasema"mtu yyt atakaye kishtaki chama mahakamani atapoteza sifa ya kuwa mwana CHADEMA"

Hiki kipengele kimekaa kidikteta sana.Hii katiba haina tofauti na katiba pendekezwa ya CCM,inayotaka raisi asishitakiwe hata akitoka madarakani.
 
Nn maana ya demokrasia?kma swala haljapatikana muafaka ndan ya chama hachukue hatua gan?katiba ya chama ni ya kidikteta nafkria inapnga wanachama kwenda mahakaman il iwakandamize kwa maslai ya wachache.shame chadema


Kwa kuweka kumbukumbu vizuri kwa wasiojua ,suala la katiba za vyama vya siasa kisheria zinatakiwa kuhakikiwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa ili kuangalia kama kipo au vipo vifungu vya katiba(chama husika)vitakavyopingana au kwenda kinyume na katiba ya nchi hii ya Tanzania.

Katiba ya chama cha Demokrasia na maendeleo ni sahihi na ipo kihalali kisheria kwa sababu ilishapitishwa katika hatua hizo kuihalalisha.


....com.
 
Leo mnakumbuka kipengere cha kukataza wanachama kwenda mahakamani,lakini kile cha mlichoondoaa cha ukomo hamtaki kuzungumza

Mm sio mwana siasa

Hapa nazungumzia sheria inavyosema ktk katiba ya CHADEMA

Kama huyu ndiye wakili anayesifika kwa weledi wa kuchambua sheria hapa Tanzania basi tuna kazi kubwa mnoya kufika tuendako watz
 
CHADEMA HEBU TOWENI MAJIBU YA MASWALI HAYA



Chadema kilitangaza kumshikilia kwa muda mlinzi wa Dr Wilbord Slaa bwana Khalid Kagenzi ambaye pia ni mwenyeji wa mkoa wa Kagera pia shemeji wa Dr. slaa kwa kuwa mke anayetoka katika mkoa huo Josephine Mashumbushi.



1. Swali amabalo linawaacha hoi wachambuzi wa kisiasa ni kwani Bwana Kagenzi alikamatwa na kupingwa pamoja na kuteswa na walinzi wa chadema badala ya kupelekwa polisi kama sheria zinavyotaka?



2. Kwanini bwana Kagenzi hatupelekwa kwa wailinzi wa chama RED BRIGADE na badala yake ambayo ipo chini ya mbunge wa zamani wa Cuf mhe. Wilfred Rwakatale na walinzi wa binafsi wa mhe. Mboe walimchukua na kumpeleka nyumbani kwake bwana kagenzi na kumpekua jambo amabalo ni kinyume cha sheria za nchi?

Kwanini walinzi wa Mhe Mboe wanaendelea kujificha haliyakuwa wanatakiwa polisi kutoa ushirikiano juu ya tuhuma nzito za bwana kagenzi kutaka kumuua Slaa kama ni Kweli.
 
CHADEMA watamkumbuka sana ZITTO.
ndio , tutakumkumbuka sana kwa dili zake za kishamba za kuvuruga ukombozi! kama ilivyo CCM wanavyokumbuka na kujuta kumuengua Dr. Slaa kule karatu! Maccm yamebaki na sizitaki mbichi hizi
 
Back
Top Bottom