Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Albert Msando afunguka kuhusu Zitto Kabwe

Hivi mnaodai zzk amefukuzwa chadema kwa nini msimuulize mwenyewe kwamba alikuwa hajui katiba ya chama ama vp? au katiba ifanye kazi kwa baadhi ya watu?
 
Nyinyi mbona vipengele vya katiba mnachagua? Alichokikanyaga mbowe mbona hakuna mwenye guts za kusimama na kumsema? au mnachagua nani wa kubanwa na katiba,acheni unafiki kama ni katiba basi imbane kila anayeivunja.
 
KISANDO-Huyu ndo mwanasheria wa Mh. Mbowe kesi ya Hai, Uwe unaelewa kwanza. Nyee wengine mnaangalia upepo bila hata kujua
Mwanasheria feki huyu. Mh tundu ametoa kwenye katiba ya CHADEMA hakutunga yeye yakwambaaa mwana CHADEMA yeyote atakae shitaki mahakaman moja kwa moja atakua amejivua uanachama so huyu mwanasheria Alienda shule kafanya nn? Da!
 
hatuwezi kumkumbuka kwa lolote lile mbona serikali za mitaa tumefanya vizuri bila yeye?
 
Chadema imeinuka kipindi cha huyo huyo zitto na Slaa kipind yuko bungeni.......hili linaonekana dogo ila litawacost sana me binafsi nilikuwa naikubali sana Chadema hata kwa usaliti wanaosema ameufanya sidhani kama kilichofanyika kitakijenga chama ukilinganisha kama wangeendelea kumuacha huku akiwa katika uangalizi wa kila mipango anayoendelea kuifanya....
Hapa kinachoonekana ni mgongano wa maslahi wasituambie chochote.
 
Clouds tv, hiv ukiwa na akil timamu unaweza ukaangalia hiyo tv kwel na pumba wanazo ongeaga?
 
Chadema imeinuka kipindi cha huyo huyo zitto na Slaa kipind yuko bungeni.......hili linaonekana dogo ila litawacost sana me binafsi nilikuwa naikubali sana Chadema hata kwa usaliti wanaosema ameufanya sidhani kama kilichofanyika kitakijenga chama ukilinganisha kama wangeendelea kumuacha huku akiwa katika uangalizi wa kila mipango anayoendelea kuifanya....
Hapa kinachoonekana ni mgongano wa maslahi wasituambie chochote.

Wasikuambie chochote wewe nani? Punguani wahed.
 
wanafiki sasa wanalalamika nini Zitto aende ACT akajenge chama cha wasaliti wenzake CHADEMA tumeshamfukuza Zitto watu wengi hasa humu JF wana uelewa mdogo wanailaumu CHADEMA kufukuza Zitto wakati Zitto amejifukuza mwenyewe kwa kwenda mahakamani wanaona Zitto ameonewa waende mahakamani tena kukataa rufaa.
 
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;

1. Amehoji je, kama
CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?

2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.

3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?

4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?

5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki
CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.

6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.

7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.

9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.

Chanzo: Clouds TV

Kama kweli chimbuko ni Usaliti au treason (the action of betraying CDM)basi hoja za Albert hazina mashiko hata kidogo. ZZK aende zake huko CCM ACT.
Kama kweli chimbuko la sakata hili ni Power Struggle ndani ya CDM, chama hakitafika mbali kwa style hii.
 
Huyu ndiyo mnamuita wakili msomi?

Kuna kipengele ndani ya katiba ya CHADEMA inasema"mtu yyt atakaye kishtaki chama mahakamani atapoteza sifa ya kuwa mwana CHADEMA"

Leo mnakumbuka kipengere cha kukataza wanachama kwenda mahakamani,lakini kile cha mlichoondoaa cha ukomo hamtaki kuzungumza
 
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;

1. Amehoji je, kama
CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?

2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.

3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?

4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?

5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki
CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.

6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.

7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.

9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.

Chanzo: Clouds TV

Namfahamu vizuri Msando, kijana njaa sana huyu. Yeye afatane tu na Zitto kwenda CCM.
 
Chadema imeinuka kipindi cha huyo huyo zitto na Slaa kipind yuko bungeni.......hili linaonekana dogo ila litawacost sana me binafsi nilikuwa naikubali sana Chadema hata kwa usaliti wanaosema ameufanya sidhani kama kilichofanyika kitakijenga chama ukilinganisha kama wangeendelea kumuacha huku akiwa katika uangalizi wa kila mipango anayoendelea kuifanya....
Hapa kinachoonekana ni mgongano wa maslahi wasituambie chochote.

Yaan watoto wa vigogo wa ccm, kipind hik hawana raha kbs, pole xna hiyo ndiyo CHADEMA, kila linalopangwa na ccm linaumbuka?
 
Leo katiba ya chadema inaonekana halali kwa zito,ila hao hao viongozi wachadema Mara nyingi hawataki na wanavunja sheria halali za nchi,uchochezi nk,ningekua waziri wa mambo ya ndani nimuda muafaka kusimamia sheria za nchi
 
Hakuna mwanasheria mzembe kama huyo Msando, anyway Zitto atakuwa m/kiti na yeye mwanasheria mkuu wa ACT ila wanasafari ndefu sana kuwaconvince watanzania wakubaliane na unafiki wao. Na ajue kwamba hakuna mtu aliyemfukuza Chadema but KATIBA DID, it has power over everyone.

Hiyo Katiba ina macho kwa watu fulani fulani tu?
 
Back
Top Bottom