KINGWALANGWANDA
Senior Member
- Jan 23, 2015
- 102
- 30
Hivi mnaodai zzk amefukuzwa chadema kwa nini msimuulize mwenyewe kwamba alikuwa hajui katiba ya chama ama vp? au katiba ifanye kazi kwa baadhi ya watu?
CHADEMA watamkumbuka sana ZITTO.
Mwanasheria feki huyu. Mh tundu ametoa kwenye katiba ya CHADEMA hakutunga yeye yakwambaaa mwana CHADEMA yeyote atakae shitaki mahakaman moja kwa moja atakua amejivua uanachama so huyu mwanasheria Alienda shule kafanya nn? Da!
Chadema imeinuka kipindi cha huyo huyo zitto na Slaa kipind yuko bungeni.......hili linaonekana dogo ila litawacost sana me binafsi nilikuwa naikubali sana Chadema hata kwa usaliti wanaosema ameufanya sidhani kama kilichofanyika kitakijenga chama ukilinganisha kama wangeendelea kumuacha huku akiwa katika uangalizi wa kila mipango anayoendelea kuifanya....
Hapa kinachoonekana ni mgongano wa maslahi wasituambie chochote.
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;
1. Amehoji je, kama CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?
2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.
3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?
4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?
5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.
6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.
7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.
9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.
Chanzo: Clouds TV
Huyu ndiyo mnamuita wakili msomi?
Kuna kipengele ndani ya katiba ya CHADEMA inasema"mtu yyt atakaye kishtaki chama mahakamani atapoteza sifa ya kuwa mwana CHADEMA"
Mwanasheria ambaye pia ni diwani kupitia CHADEMA, Ndugu Albert Msando amehoji yafuatayo;
1. Amehoji je, kama CHADEMA kinasema ni Cha Kidemokrasia kwanini kinaaamuru Afukuzwe tu kwa kuwa ameenda mahakamani?
2. Amehoji je, ni nani mwenye mandate ya kumvua mwanachama uanachama wake.
3. Je, uamuzi wa kumvua uanachama ulipaswa kutangulia kwa umma au kwa Zitto kwanza?
4. Amehoji je, imekuwaje mtu anayesimamia sakata la Escrow afukuzwe kwa sasa?
5. Amesema pia kuwa Zitto hana haja ya kubaki CHADEMA kwa kuwa hata akiomba kubaki haitakuwa na mashiko. Pia ameuliza itakuwaje akae meza moja na Tundu Lissu,Wakati Tundu Lissu anatangaza amesema walishamfukuza toka mwaka jana. Naye anaona kuwa Zitto hahitajiki CHADEMA.
6. Pia amesema lengo la kumfukuza Zitto limefanywa kinafiki tu.
7. Amesema kuwa haoni haja ya kulazimisha kila mtu awaze kama Tundu Lissu au Mbowe au Slaa.
9. Pia amesema kuwa mgogoro huu ni funzo kwa Zitto, Wanachadema na Watanzania kujua aina ya viongozi walionao.Pia amesema kuwa migogoro hii isitumike kujenga chuki.
Chanzo: Clouds TV
tutamkumbuka alikuwa mbunge wa CHADEMA na mwanachama wa CHADEMA kama walivyo wasaliti wenzake akina Kitila Mkumbo n.kCHADEMA watamkumbuka sana ZITTO.
ni kwa kiasi gani katiba ya chadema imefuatwa kwenye kila maamuzi ya utendaji ndani ya chama?
Chadema imeinuka kipindi cha huyo huyo zitto na Slaa kipind yuko bungeni.......hili linaonekana dogo ila litawacost sana me binafsi nilikuwa naikubali sana Chadema hata kwa usaliti wanaosema ameufanya sidhani kama kilichofanyika kitakijenga chama ukilinganisha kama wangeendelea kumuacha huku akiwa katika uangalizi wa kila mipango anayoendelea kuifanya....
Hapa kinachoonekana ni mgongano wa maslahi wasituambie chochote.
Hakuna mwanasheria mzembe kama huyo Msando, anyway Zitto atakuwa m/kiti na yeye mwanasheria mkuu wa ACT ila wanasafari ndefu sana kuwaconvince watanzania wakubaliane na unafiki wao. Na ajue kwamba hakuna mtu aliyemfukuza Chadema but KATIBA DID, it has power over everyone.