barcelonista
Senior Member
- Apr 26, 2021
- 158
- 146
naomba kkKuna uzi ulishawahi kuwekwa humu ngoja nikupe link
naomba kkKuna uzi ulishawahi kuwekwa humu ngoja nikupe link
ile nyimbo ya bata... so kwakua cnn inakesha ndio ikaingia hapoAsante kaka,,Japo najiuliza Idea ilikuwaje sijui....CNN
naomba kk
Ahaaaaa😂😂😂😂ile nyimbo ya bata... so kwakua cnn inakesha ndio ikaingia hapo
kwenye verse anasema... kwa kukesha na kula bata tuko so ....
,🔥Dah heshima yako kaka🙌No Agenda: Maisha ya Ngwair alijiona New York akiwa Bongoland
Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro, nikalale mwezi mzima juu ya kaburi lake. Ngwair alifanya muziki wa maono yake. Alijiona katika jukwaa...www.jamiiforums.com
Uzi mwingine tena uanzisheAsante kaka,,Japo najiuliza Idea ilikuwaje sijui....CNN
Abbreviations zinakusumbua ee...safi.hata mimi piaKLM ni nini? Anataja sana kwenye CNN
KLM ni nini? Anataja sana kwenye Cnn
Kama nani?Wanaofanya poa kwenye game wapo, na ni wabunifu sana na hata baadhi wanapita mule ngwea alivokuwa anafanya. Kikubwa ni hatujampata ngwea ila wapo wanaopita njia za ngwea na tunainjoi vile
Fuatilia rappers kama raptcha, young lunya na wengine wengi wanafanya powa tena kwa ubunifu mkubwa sana. kibaya ni kwamba hakuna direct replacement ya mtu yeyote hapa duniani,kila mmoja anafanya kwa ukubwa wake.Kama nani?
Lunya😂😂😂😂😂Fuatilia rappers kama raptcha, young lunya na wengine wengi wanafanya powa tena kwa ubunifu mkubwa sana. kibaya ni kwamba hakuna direct replacement ya mtu yeyote hapa duniani,kila mmoja anafanya kwa ukubwa wake.
Huyu lunya hata chembe simuelewi kabisaLunya😂😂😂😂😂
Ndio,isipokuwa ile ya ngwea ni old school game, lakini vijana wamekuja na mpya tena ubunifu ambao upo upgradedLunya😂😂😂😂😂
then tupo..high zaidi ya KLMKLM ni nini? Anataja sana kwenye Cnn
Fuatilia rappers kama raptcha, young lunya na wengine wengi wanafanya powa tena kwa ubunifu mkubwa sana. kibaya ni kwamba hakuna direct replacement ya mtu yeyote hapa duniani,kila mmoja anafanya kwa ukubwa wake.