Msimamo upi ss mkuu?Ki ukweli, nilimkubali sana Chalamila wakati ule wa JPM. Hata sasa namkubali sana tena sana.
Kiongozi lazima uwe na msimamo, lakini pia ni lazima kuchukua hatua kali pale inapobidi.
Hongera sana TINGATINGA kwa kuteuliwa tena kuwa RC.
Kupata uteuzi ni Mungu kukukumbuka? Ina maana alizaliwa ili aje kuteuliwa?Msimamo upi ss mkuu?
Mbona alienda Kwa Mwamposa kulia kule mpk akaombewa!
Thubutu yake!
We shukuru Mungu kamkumbuka basi,hakuna Cha msimamo wala nn