MchunguZI
Platinum Member
- Jun 14, 2008
- 4,047
- 2,239
Kikwete kazaliwa 1950, October 7 ( according to several sources online) kama hii ni accurate anafikisha miaka 60 October 7 2010 na sasa hivi ana miaka 59 si 49.
Hesabu tatizo la kitaifa, Ngahyoma hajui kujumlisha/ kutoa 2010 (October) - 1950 (October) = 60 ? And that Kikwete is 59 and will be 60 in October Inshaallah ?
..............................................
Source Mzee wa Mshitu: Happy Birthday dear President JK
Naomba nimuokoe Ngahyoma kwa kusema kosa ni la Kikwete mwenyewe.
Bado natafuta uthibitisho lakini kumbukumbu yangu ni kwamba alipoteuliwa kwa mara ya kwanza kuingia serikali ya A.H. Mwinyi, alitambulishwa kama damu mpya, kijana aliyekuwa kwenye 40s.
Leo hii ni zaidi ya mika 20 yeye bado yuko chini ya 60! Naona ni mummy anayeishi.