Alama uliyoiweka haijafutika

Uliposema mtumishi nikaikumbuka ile video ya Gwajima akimpa mtu upako yaani hawa watu siyo wa kuwaamini kabisa,so mkuu Happy yupo wapi au jamaa Steve hamjawahi hata kuwasiliana baada ya pale?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ni afadhali yamekutokea hayo hujamuweka ndani jumla. Mungu wakati mwengine Ana makusudi yake, sisi tu ni wagumu wa kuelewa
 
2012: Nipo ofisi fulani nafanya mazoezi kwa vitendo ya kumalizia masomo yangu ya chuo. Siku moja akajitokeza Dada mzuri sana wa sura na umbo "miguu mizuri" maeneo ya job.. Hakuwa client wangu, nilionana naye tu kwa corridor za job. Nikajikongoja nikaomba number, nikapewa. Tukaanza kuwasiliana.

Nilikuwa na mshkaji wangu wa karibu sana tunapiga naye "mazoezi kwa vitendo", yeye alikuwa na skills zaidi yangu kikazi as alikuwa ametoka kazini kabla hajaja kujiendeleza. Me nikawa namtumia ili kupata uzoefu na ujuzi zaidi. Niliambatana naye kila siku, kila mahali. Kazi yetu ilikuwa inatulaza na kiasi kisichopungua 60,000/= hadi 150,000/= kwa siku.

Ikawa karibu kila siku saa 12 to 1 jioni tukimaliza kazi yule Dada mrembo anakuja, tunapita supermaket tunanunua madude.. Tunamsindikiza hadi karibia na kwao. Tulikuwa hatuna majukumu, kuspend hela yote tunayoipata was not a big deal.. Jamaa yangu alikuwa mtu wa story sana na matanuzi sana.. Daima yeye alikuwa ananambia dogo hifadhi hela yako, me napataga hela nyingi zaidi yako, so akawa mara nyingi yeye ndo analipia hayo madude tukifika counter. Mwezi ukapita, miezi miwili.. Ukaribu wangu na mdada ukawa umeongezeka sana, kinje nje waliokuwa wanatuona hakika hawakuacha kusema "hii couple" inapendana sana. Wakati huo sijamvua chupi ila ndo tupo kwenye harakati za kuvuana chupi.. Tulikuwa tunaishi kwa hosteli ndani ya ofisi tulizokuwa tunapiga field. "Sikuwa na haraka ya kuvuana chupi cz i knew huyu ni wangu tu".. Ofcz na yeye alikuwa ananambia kuwa mvumilivu, hili tunda ni la kwako.. More patience pls! Sikuona big deal.

Siku moja nikapata msiba mzito, mzito, mzito.. 1st degree! Sikukumbuka kumuaga mpenzi cz i had to travel immediately after the news! Imefika jioni kama ratiba zetu, binti anapiga simu pasipo kupata mrejesho..
.
.
.
Baada ya mazishi, nimetulia, akili imerudi mahala pake, nikasema ngoja nimpigie.. Simu haipokelewi..
Siku ya pili, simu haipokelewi.. Pengine binti aliona missed calls but hakupiga! baadaye akapokea.. Pole Copernicucci98, nasikia umefiwa! Napewa pole kavu, as if we are just friends! I smelled fishy but i had denial, thinking brain inanambia huyu siyo wako tena but feeling brain inanambia huyu ni wako. Siku 14 zikapita, nikarudi job! Rafiki angu akanambia binti ameenda Nchi X.. Ooh Yes, binti alinambia ana ratiba ya kwenda Nchi X but ratiba ilikuwa ni ya miezi nane ijayo. Me na mshkaji tukaendeleza harakati zetu, fanya kazi kwa bidii.. Mshkaji alinisaidia sana kujenga skills zangu.. Kwavile naturally i was born a prodigy, pamoja na nidhamu na utulivu, i gained a huge trust. This took my carrier to a next level. Percapital ikaongezeka.
.
.
.
Siku moja baada ya miezi kadhaa kupita nikapokea msg ndefu ya regret. Aliandika story: "Unajua copernicucci98 wewe ndo ulikuwa mwanaume wa ndoto yangu.. Ulikuwa unanipenda kwa dhati tokka moyoni. Tulikuwa tunaenda fukweni jioni etc.. Jioni ile umeenda msibani baada ya kukukosa kwa simu nilikuja hostel. Nikaonana na rafiki yako kwa corridor. Akanambia habari za msiba. Akanichukua hadi room kwake. Tukajikuta tumefanya sex. Ikawa hivyo kwa siku 10 zilizofuata. Then ikawa unakaribia kurudi. Rafiki yako akanishauri niende Nchi X kama nilivyokuwa nimepanga, akaniambia nikae huko miezi kadhaa, nitakaporudi atanilipia chuo.. So tukakata airticket, nikasafiri. Lkn now ahadi zake hazitekelezi. Najuta sana. Nakupenda."
Moyo ulinipasuka. Lkn nikajikaza. Wakati huo ushirikiano wangu na mshkaji upo vzr, tunatengeneza pesa. Nikasema mshkaji simuambii chochote. Acha maisha yaendelee. Acha tupige kazi.
.
.
Kuna siku tupo zetu tunapiga kazi mshkaji anajipanga, akaanza kuniambia hizo habari ambazo nazifahamu. So, kila akisimulia me nikawa namsimulia event ya mbele yake waliyokuwa wameifanya. Alishangaa. Nikamwambia tupige kazi, tuachane na hayo mastory, demu wako alishaniambia. Kumbe demu alikuwa amerudi Tz, anataka ampeleke shule; akaona itakuwaje akionekana naye machoni mwangu!
Ninachomshukuru, jamaa alimlipia ada za mwanzo yule binti, baadaye aliendelea kuhangaika cz alikuwa ananipa ripoti na ku seek sympathy!

NB:
1: Nilihisi pengine binti alianza kuwasiliana na mshkaji kabla sijapata msiba. "Mshkaji ni aina za show off".. Binti yeyote mpenda vizuri ni ngumu kujinasua. Ofcz i had hivyo vipesa vidogo vidogo ambavyo kwa level ya yule Mdada nisingemshindwa. And she was free to access, sikuwa mbahili kwake.

2. Yes, nilishika mapembe.. Sikumlaga. Ila baada yake, demu niliyekuja kumpata sijawahi pata tena demu kama yule. Na sitokuja kumsahau maishani. What a beatiful lady.. What a person she was.. What a heart!
Good Story Mkuu
 
Haukuwa smart mkuu unamjaribuje demu hivyo?!! Kama mwana alitoka hapo akaanza kufululiza miamala mara 3 zaidi uliyokuwa unafanya wewe unadhani kuna nn hapo tena?! Au mwana sauti yake inavutia kwenye simu bidada akanogewa

Hongera kwa kugraduate UDSM.
Hongera kwa kuwa n mke + kids

NB. Umeandika kama unakimbizwa BTW I've nothing to share
Mapenzi yanaleta udhaifu mkubwa Sana hasa ukidumbukia mzima,mzima! Ila umekokti dot adi nahis unamjua, jamaa kweli alikua na pesa Zaid yangu "mtumishi wa selikali" ananyonga saut haswaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uliposema mtumishi nikaikumbuka ile video ya Gwajima akimpa mtu upako yaani hawa watu siyo wa kuwaamini kabisa,so mkuu Happy yupo wapi au jamaa Steve hamjawahi hata kuwasiliana baada ya pale?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Ni mtumishi wa serikali mkuu sio wa kanisa, Steve sijawai kumuona wala kumsikia tangu jioni ile pale kwake, kwakweli usimuamini yyte, sio mwanamke wala mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2012: Nipo ofisi fulani nafanya mazoezi kwa vitendo ya kumalizia masomo yangu ya chuo. Siku moja akajitokeza Dada mzuri sana wa sura na umbo "miguu mizuri" maeneo ya job.. Hakuwa client wangu, nilionana naye tu kwa corridor za job. Nikajikongoja nikaomba number, nikapewa. Tukaanza kuwasiliana.

Nilikuwa na mshkaji wangu wa karibu sana tunapiga naye "mazoezi kwa vitendo", yeye alikuwa na skills zaidi yangu kikazi as alikuwa ametoka kazini kabla hajaja kujiendeleza. Me nikawa namtumia ili kupata uzoefu na ujuzi zaidi. Niliambatana naye kila siku, kila mahali. Kazi yetu ilikuwa inatulaza na kiasi kisichopungua 60,000/= hadi 150,000/= kwa siku.

Ikawa karibu kila siku saa 12 to 1 jioni tukimaliza kazi yule Dada mrembo anakuja, tunapita supermaket tunanunua madude.. Tunamsindikiza hadi karibia na kwao. Tulikuwa hatuna majukumu, kuspend hela yote tunayoipata was not a big deal.. Jamaa yangu alikuwa mtu wa story sana na matanuzi sana.. Daima yeye alikuwa ananambia dogo hifadhi hela yako, me napataga hela nyingi zaidi yako, so akawa mara nyingi yeye ndo analipia hayo madude tukifika counter. Mwezi ukapita, miezi miwili.. Ukaribu wangu na mdada ukawa umeongezeka sana, kinje nje waliokuwa wanatuona hakika hawakuacha kusema "hii couple" inapendana sana. Wakati huo sijamvua chupi ila ndo tupo kwenye harakati za kuvuana chupi.. Tulikuwa tunaishi kwa hosteli ndani ya ofisi tulizokuwa tunapiga field. "Sikuwa na haraka ya kuvuana chupi cz i knew huyu ni wangu tu".. Ofcz na yeye alikuwa ananambia kuwa mvumilivu, hili tunda ni la kwako.. More patience pls! Sikuona big deal.

Siku moja nikapata msiba mzito, mzito, mzito.. 1st degree! Sikukumbuka kumuaga mpenzi cz i had to travel immediately after the news! Imefika jioni kama ratiba zetu, binti anapiga simu pasipo kupata mrejesho..
.
.
.
Baada ya mazishi, nimetulia, akili imerudi mahala pake, nikasema ngoja nimpigie.. Simu haipokelewi..
Siku ya pili, simu haipokelewi.. Pengine binti aliona missed calls but hakupiga! baadaye akapokea.. Pole Copernicucci98, nasikia umefiwa! Napewa pole kavu, as if we are just friends! I smelled fishy but i had denial, thinking brain inanambia huyu siyo wako tena but feeling brain inanambia huyu ni wako. Siku 14 zikapita, nikarudi job! Rafiki angu akanambia binti ameenda Nchi X.. Ooh Yes, binti alinambia ana ratiba ya kwenda Nchi X but ratiba ilikuwa ni ya miezi nane ijayo. Me na mshkaji tukaendeleza harakati zetu, fanya kazi kwa bidii.. Mshkaji alinisaidia sana kujenga skills zangu.. Kwavile naturally i was born a prodigy, pamoja na nidhamu na utulivu, i gained a huge trust. This took my carrier to a next level. Percapital ikaongezeka.
.
.
.
Siku moja baada ya miezi kadhaa kupita nikapokea msg ndefu ya regret. Aliandika story: "Unajua copernicucci98 wewe ndo ulikuwa mwanaume wa ndoto yangu.. Ulikuwa unanipenda kwa dhati tokka moyoni. Tulikuwa tunaenda fukweni jioni etc.. Jioni ile umeenda msibani baada ya kukukosa kwa simu nilikuja hostel. Nikaonana na rafiki yako kwa corridor. Akanambia habari za msiba. Akanichukua hadi room kwake. Tukajikuta tumefanya sex. Ikawa hivyo kwa siku 10 zilizofuata. Then ikawa unakaribia kurudi. Rafiki yako akanishauri niende Nchi X kama nilivyokuwa nimepanga, akaniambia nikae huko miezi kadhaa, nitakaporudi atanilipia chuo.. So tukakata airticket, nikasafiri. Lkn now ahadi zake hazitekelezi. Najuta sana. Nakupenda."
Moyo ulinipasuka. Lkn nikajikaza. Wakati huo ushirikiano wangu na mshkaji upo vzr, tunatengeneza pesa. Nikasema mshkaji simuambii chochote. Acha maisha yaendelee. Acha tupige kazi.
.
.
Kuna siku tupo zetu tunapiga kazi mshkaji anajipanga, akaanza kuniambia hizo habari ambazo nazifahamu. So, kila akisimulia me nikawa namsimulia event ya mbele yake waliyokuwa wameifanya. Alishangaa. Nikamwambia tupige kazi, tuachane na hayo mastory, demu wako alishaniambia. Kumbe demu alikuwa amerudi Tz, anataka ampeleke shule; akaona itakuwaje akionekana naye machoni mwangu!
Ninachomshukuru, jamaa alimlipia ada za mwanzo yule binti, baadaye aliendelea kuhangaika cz alikuwa ananipa ripoti na ku seek sympathy!

NB:
1: Nilihisi pengine binti alianza kuwasiliana na mshkaji kabla sijapata msiba. "Mshkaji ni aina za show off".. Binti yeyote mpenda vizuri ni ngumu kujinasua. Ofcz i had hivyo vipesa vidogo vidogo ambavyo kwa level ya yule Mdada nisingemshindwa. And she was free to access, sikuwa mbahili kwake.

2. Yes, nilishika mapembe.. Sikumlaga. Ila baada yake, demu niliyekuja kumpata sijawahi pata tena demu kama yule. Na sitokuja kumsahau maishani. What a beatiful lady.. What a person she was.. What a heart!

3. Binti kwao hawakuwa vzr sana financially.. Ofcz she was once from a middle class family, then she lost both parents. By the time tunafahamiana alikuwa anaishi kwa dada yake aliyeolewa; Nchi X alienda kwa dada yake mwingine aliyeolewa kule. Kimuonekano ni mzuri, ana ile ngozi na mwili uliyopata matunzo bora utotoni.
Pole Sana mkuu, sometimes hivi vitu hutokea for a reason zinakuja Kama lesson kwny maisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana Mpambanaji! Niliisha mwili balaa, ndan ya wiki yalibaki masikio na kichwa tu, macho meupeee! Vimabega Yan kula hamna

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabsa mkuu, nna picha nilipiga kipindi hcho ambazo kila mwenye kuiona %90 wanaulizaga "vp hapa ulikua unaumwa eeh" bas najibu kwa katabasamu ka mamba kaona nyumbu"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2012: Nipo ofisi fulani nafanya mazoezi kwa vitendo ya kumalizia masomo yangu ya chuo. Siku moja akajitokeza Dada mzuri sana wa sura na umbo "miguu mizuri" maeneo ya job.. Hakuwa client wangu, nilionana naye tu kwa corridor za job. Nikajikongoja nikaomba number, nikapewa. Tukaanza kuwasiliana.

Nilikuwa na mshkaji wangu wa karibu sana tunapiga naye "mazoezi kwa vitendo", yeye alikuwa na skills zaidi yangu kikazi as alikuwa ametoka kazini kabla hajaja kujiendeleza. Me nikawa namtumia ili kupata uzoefu na ujuzi zaidi. Niliambatana naye kila siku, kila mahali. Kazi yetu ilikuwa inatulaza na kiasi kisichopungua 60,000/= hadi 150,000/= kwa siku.

Ikawa karibu kila siku saa 12 to 1 jioni tukimaliza kazi yule Dada mrembo anakuja, tunapita supermaket tunanunua madude.. Tunamsindikiza hadi karibia na kwao. Tulikuwa hatuna majukumu, kuspend hela yote tunayoipata was not a big deal.. Jamaa yangu alikuwa mtu wa story sana na matanuzi sana.. Daima yeye alikuwa ananambia dogo hifadhi hela yako, me napataga hela nyingi zaidi yako, so akawa mara nyingi yeye ndo analipia hayo madude tukifika counter. Mwezi ukapita, miezi miwili.. Ukaribu wangu na mdada ukawa umeongezeka sana, kinje nje waliokuwa wanatuona hakika hawakuacha kusema "hii couple" inapendana sana. Wakati huo sijamvua chupi ila ndo tupo kwenye harakati za kuvuana chupi.. Tulikuwa tunaishi kwa hosteli ndani ya ofisi tulizokuwa tunapiga field. "Sikuwa na haraka ya kuvuana chupi cz i knew huyu ni wangu tu".. Ofcz na yeye alikuwa ananambia kuwa mvumilivu, hili tunda ni la kwako.. More patience pls! Sikuona big deal.

Siku moja nikapata msiba mzito, mzito, mzito.. 1st degree! Sikukumbuka kumuaga mpenzi cz i had to travel immediately after the news! Imefika jioni kama ratiba zetu, binti anapiga simu pasipo kupata mrejesho..
.
.
.
Baada ya mazishi, nimetulia, akili imerudi mahala pake, nikasema ngoja nimpigie.. Simu haipokelewi..
Siku ya pili, simu haipokelewi.. Pengine binti aliona missed calls but hakupiga! baadaye akapokea.. Pole Copernicucci98, nasikia umefiwa! Napewa pole kavu, as if we are just friends! I smelled fishy but i had denial, thinking brain inanambia huyu siyo wako tena but feeling brain inanambia huyu ni wako. Siku 14 zikapita, nikarudi job! Rafiki angu akanambia binti ameenda Nchi X.. Ooh Yes, binti alinambia ana ratiba ya kwenda Nchi X but ratiba ilikuwa ni ya miezi nane ijayo. Me na mshkaji tukaendeleza harakati zetu, fanya kazi kwa bidii.. Mshkaji alinisaidia sana kujenga skills zangu.. Kwavile naturally i was born a prodigy, pamoja na nidhamu na utulivu, i gained a huge trust. This took my carrier to a next level. Percapital ikaongezeka.
.
.
.
Siku moja baada ya miezi kadhaa kupita nikapokea msg ndefu ya regret. Aliandika story: "Unajua copernicucci98 wewe ndo ulikuwa mwanaume wa ndoto yangu.. Ulikuwa unanipenda kwa dhati tokka moyoni. Tulikuwa tunaenda fukweni jioni etc.. Jioni ile umeenda msibani baada ya kukukosa kwa simu nilikuja hostel. Nikaonana na rafiki yako kwa corridor. Akanambia habari za msiba. Akanichukua hadi room kwake. Tukajikuta tumefanya sex. Ikawa hivyo kwa siku 10 zilizofuata. Then ikawa unakaribia kurudi. Rafiki yako akanishauri niende Nchi X kama nilivyokuwa nimepanga, akaniambia nikae huko miezi kadhaa, nitakaporudi atanilipia chuo.. So tukakata airticket, nikasafiri. Lkn now ahadi zake hazitekelezi. Najuta sana. Nakupenda."
Moyo ulinipasuka. Lkn nikajikaza. Wakati huo ushirikiano wangu na mshkaji upo vzr, tunatengeneza pesa. Nikasema mshkaji simuambii chochote. Acha maisha yaendelee. Acha tupige kazi.
.
.
Kuna siku tupo zetu tunapiga kazi mshkaji anajipanga, akaanza kuniambia hizo habari ambazo nazifahamu. So, kila akisimulia me nikawa namsimulia event ya mbele yake waliyokuwa wameifanya. Alishangaa. Nikamwambia tupige kazi, tuachane na hayo mastory, demu wako alishaniambia. Kumbe demu alikuwa amerudi Tz, anataka ampeleke shule; akaona itakuwaje akionekana naye machoni mwangu!
Ninachomshukuru, jamaa alimlipia ada za mwanzo yule binti, baadaye aliendelea kuhangaika cz alikuwa ananipa ripoti na ku seek sympathy!

NB:
1: Nilihisi pengine binti alianza kuwasiliana na mshkaji kabla sijapata msiba. "Mshkaji ni aina za show off".. Binti yeyote mpenda vizuri ni ngumu kujinasua. Ofcz i had hivyo vipesa vidogo vidogo ambavyo kwa level ya yule Mdada nisingemshindwa. And she was free to access, sikuwa mbahili kwake.

2. Yes, nilishika mapembe.. Sikumlaga. Ila baada yake, demu niliyekuja kumpata sijawahi pata tena demu kama yule. Na sitokuja kumsahau maishani. What a beatiful lady.. What a person she was.. What a heart!

3. Binti kwao hawakuwa vzr sana financially.. Ofcz she was once from a middle class family, then she lost both parents. By the time tunafahamiana alikuwa anaishi kwa dada yake aliyeolewa; Nchi X alienda kwa dada yake mwingine aliyeolewa kule. Kimuonekano ni mzuri, ana ile ngozi na mwili uliyopata matunzo bora utotoni.
Hapa ndo naikumbuka ile line ya mwanangu wiz khalifa "Taylor gang ceo" anakwambia "NO LOVE FOR NIGGERS WHO BREAK THE HEART". Pole mkuu, wahuni sio watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sure
Lakini hakupaswa kufanya trick ya kijinga ile aliyoifanya
Mkuu mapenzi kitu ya ajabu sana Yani Kuna mistakes unaeza kucommit na ukaona its okay, huezi kusense lolote kwa wakat huo, Kwanza jamaa nlimuona Kama si rahis kupindua meza coz wako mbali afu urafiki wetu ulikua na "strong bond between us" ndo alikua mjanja mjanja pale bush, so tuliendana sana! But ndo ivo tena "some shit happens in life"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke hajaribiwi aisee.... Pole sana.
Vipi, ndoa ya huyo jamaa yako Steve na "Happy", ilidumu? Au hukufuatailia tena.
Pia, unaendelea kuwasiliana na huyo jamaa yako snitch "Steve"?
kibombonya
Snitch alipiga mimba Happy akampeleka town kujitazamia kujifungua, baada ya mda flani wakaletwa watumishi wapya jamaa akadaka mtumishi mwenzake akaoa! Demu akafight penzi kwa snitch akafail ikabid arud kwao Mwanza (kawa single mother wa kujitakia) hajaolewa adi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa yako snitch kweli. Ulikosea kuwa na rafiki wa vile. Happy usimlaumu sana, maisha yalikuwa magumu ikabidi achukue maamuzi magumu.
Ila kuna watu mnahonga, unapata 20/30 unatoa 10, mimi hiyo kitu sifanyi.
we acha tu mkuu, unaweza kua na buku 10 na ukaitoa yote ukabaki mtupu afu ukaona fresh tu, si unagharamia chako bhna ila yakikutokea puani ndo unakumbuka adi shing Mia uliowah kumpa unaijutia

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom