Alama uliyoiweka haijafutika

Alama uliyoiweka haijafutika

Nilipenda tena ingawa ilichukua muda kumuamini na alijitahid Sana kuniaminisha (ambae ndio wife). Kuanguka mapenzini Zaid ya Mara moja "ndio kupo Sana tu" angawa na maumivu yake ndo yanakua maradufu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mshkaji alimpelekea dem wng niliyempenda sana file langu la umalaya nikiwa nimesafiri,akamuita dem kwake akapiga mate ila dem akastuka hakumpa k.
Dem nlivyorudi akaniambia ukweli kua jamaa ndio alikua anampelekea maneno kututenganisha.

Hasira zangu nlitembea na dada zake na mshkaji wawili mpka akajua,then nkamla mchumba wake 2012 nlimkuta club villa na wenzie pombe sana nkawapa,kastuka kesho yake saa 4 yuko uchi kaliwa mzigo full kulia nisimuambie jamaa,ubaya huwa naulipa hapahapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mshkaji alimpelekea dem wng niliyempenda sana file langu la umalaya nikiwa nimesafiri,akamuita dem kwake akapiga mate ila dem akastuka hakumpa k.
Dem nlivyorudi akaniambia ukweli kua jamaa ndio alikua anampelekea maneno kututenganisha.

Hasira zangu nlitembea na dada zake na mshkaji wawili mpka akajua,then nkamla mchumba wake 2012 nlimkuta club villa na wenzie pombe sana nkawapa,kastuka kesho yake saa 4 yuko uchi kaliwa mzigo full kulia nisimuambie jamaa,ubaya huwa naulipa hapahapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni babkubwa mkuu! Penye kidonda ukasiliba na chumvi mixer pilipili, vp jamaa alijua ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi mshkaji alimpelekea dem wng niliyempenda sana file langu la umalaya nikiwa nimesafiri,akamuita dem kwake akapiga mate ila dem akastuka hakumpa k.
Dem nlivyorudi akaniambia ukweli kua jamaa ndio alikua anampelekea maneno kututenganisha.

Hasira zangu nlitembea na dada zake na mshkaji wawili mpka akajua,then nkamla mchumba wake 2012 nlimkuta club villa na wenzie pombe sana nkawapa,kastuka kesho yake saa 4 yuko uchi kaliwa mzigo full kulia nisimuambie jamaa,ubaya huwa naulipa hapahapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio unabaharia sasa ,sio mwanaume unatekenywa kidogo ,unaliiiiiiia
Safi sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh! Pole sana mkuu, funzo nalilopata hapa ni "usijaribu kupima uaminifu wa mpenzi au mke wako kwa kupitia kutongozwa na rafiki ako".

Hakika akimkubalia itakucost sana kwakua utawapoteza wote kwa pamoja.. kwanza rafiki ako, kisha mpenzi wako + Maumivu makali ya hisia moyoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuh! Pole sana mkuu, funzo nalilopata hapa ni "usijaribu kupima uaminifu wa mpenzi au mke wako kwa kupitia kutongozwa na rafiki ako".

Hakika akimkubalia itakucost sana kwakua utawapoteza wote kwa pamoja.. kwanza rafiki ako, kisha mpenzi wako + Maumivu makali ya hisia moyoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu, though yashapita but ujana+kufall in love sometimes kunafanya usiwaze kbsa mbele unakua km kipofu hauwez kbsa kusense htar ya kupinduliwa! Sana sana unachokua unakiamin ni anakpenda na muaminifu 100% kwko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu, though yashapita but ujana+kufall in love sometimes kunafanya usiwaze kbsa mbele unakua km kipofu hauwez kbsa kusense htar ya kupinduliwa! Sana sana unachokua unakiamin ni anakpenda na muaminifu 100% kwko

Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! ni kweli mkuu, ukishapenda huwa ni ngumu sana kuamini kuwa unaweza salitiwa na ukathibitisha

Mapenzi ni mtihani mgumu sana, maana msipoaminiana pia hamuwezi kupendana kwa dhati... so kila option ina costs&benefits zake. Cha msingi ni kufanya kile nafsi inapenda na kujitahidi kuyazuia kuliko kuruhusu kupambana na yalio juu ya uwezo wa kuyahandle..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo kuhonga ni upendo tu.
Aliona hali ya happy na wifi yake sasa angewaacha wahangaike wakati anaweza kuwatunza? Ni moyo tu mkuu.
Jamaa yako snitch kweli. Ulikosea kuwa na rafiki wa vile. Happy usimlaumu sana, maisha yalikuwa magumu ikabidi achukue maamuzi magumu.
Ila kuna watu mnahonga, unapata 20/30 unatoa 10, mimi hiyo kitu sifanyi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is the Point Mkuu

Watu wanamlaumu Mtoa Mada
Wakat hakua na kosa Aisee
Ww niaje aisee?!,mtoa mada hizi lawama hawezi kuzikwepa unamjaribuje demu wako kwa kumpa mshikaji wako no za dem wako,alichofanya Steve ni sahihi kabisa
tapatalk_1584681148456.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
2012: Nipo ofisi fulani nafanya mazoezi kwa vitendo ya kumalizia masomo yangu ya chuo. Siku moja akajitokeza Dada mzuri sana wa sura na umbo "miguu mizuri" maeneo ya job.. Hakuwa client wangu, nilionana naye tu kwa corridor za job. Nikajikongoja nikaomba number, nikapewa. Tukaanza kuwasiliana.

Nilikuwa na mshkaji wangu wa karibu sana tunapiga naye "mazoezi kwa vitendo", yeye alikuwa na skills zaidi yangu kikazi as alikuwa ametoka kazini kabla hajaja kujiendeleza. Me nikawa namtumia ili kupata uzoefu na ujuzi zaidi. Niliambatana naye kila siku, kila mahali. Kazi yetu ilikuwa inatulaza na kiasi kisichopungua 60,000/= hadi 150,000/= kwa siku.

Ikawa karibu kila siku saa 12 to 1 jioni tukimaliza kazi yule Dada mrembo anakuja, tunapita supermaket tunanunua madude.. Tunamsindikiza hadi karibia na kwao. Tulikuwa hatuna majukumu, kuspend hela yote tunayoipata was not a big deal.. Jamaa yangu alikuwa mtu wa story sana na matanuzi sana.. Daima yeye alikuwa ananambia dogo hifadhi hela yako, me napataga hela nyingi zaidi yako, so akawa mara nyingi yeye ndo analipia hayo madude tukifika counter. Mwezi ukapita, miezi miwili.. Ukaribu wangu na mdada ukawa umeongezeka sana, kinje nje waliokuwa wanatuona hakika hawakuacha kusema "hii couple" inapendana sana. Wakati huo sijamvua chupi ila ndo tupo kwenye harakati za kuvuana chupi.. Tulikuwa tunaishi kwa hosteli ndani ya ofisi tulizokuwa tunapiga field. "Sikuwa na haraka ya kuvuana chupi cz i knew huyu ni wangu tu".. Ofcz na yeye alikuwa ananambia kuwa mvumilivu, hili tunda ni la kwako.. More patience pls! Sikuona big deal.

Siku moja nikapata msiba mzito, mzito, mzito.. 1st degree! Sikukumbuka kumuaga mpenzi cz i had to travel immediately after the news! Imefika jioni kama ratiba zetu, binti anapiga simu pasipo kupata mrejesho..
.
.
.
Baada ya mazishi, nimetulia, akili imerudi mahala pake, nikasema ngoja nimpigie.. Simu haipokelewi..
Siku ya pili, simu haipokelewi.. Pengine binti aliona missed calls but hakupiga! baadaye akapokea.. Pole Copernicucci98, nasikia umefiwa! Napewa pole kavu, as if we are just friends! I smelled fishy but i had denial, thinking brain inanambia huyu siyo wako tena but feeling brain inanambia huyu ni wako. Siku 14 zikapita, nikarudi job! Rafiki angu akanambia binti ameenda Nchi X.. Ooh Yes, binti alinambia ana ratiba ya kwenda Nchi X but ratiba ilikuwa ni ya miezi nane ijayo. Me na mshkaji tukaendeleza harakati zetu, fanya kazi kwa bidii.. Mshkaji alinisaidia sana kujenga skills zangu.. Kwavile naturally i was born a prodigy, pamoja na nidhamu na utulivu, i gained a huge trust. This took my carrier to a next level. Percapital ikaongezeka.
.
.
.
Siku moja baada ya miezi kadhaa kupita nikapokea msg ndefu ya regret. Aliandika story: "Unajua copernicucci98 wewe ndo ulikuwa mwanaume wa ndoto yangu.. Ulikuwa unanipenda kwa dhati tokka moyoni. Tulikuwa tunaenda fukweni jioni etc.. Jioni ile umeenda msibani baada ya kukukosa kwa simu nilikuja hostel. Nikaonana na rafiki yako kwa corridor. Akanambia habari za msiba. Akanichukua hadi room kwake. Tukajikuta tumefanya sex. Ikawa hivyo kwa siku 10 zilizofuata. Then ikawa unakaribia kurudi. Rafiki yako akanishauri niende Nchi X kama nilivyokuwa nimepanga, akaniambia nikae huko miezi kadhaa, nitakaporudi atanilipia chuo.. So tukakata airticket, nikasafiri. Lkn now ahadi zake hazitekelezi. Najuta sana. Nakupenda."
Moyo ulinipasuka. Lkn nikajikaza. Wakati huo ushirikiano wangu na mshkaji upo vzr, tunatengeneza pesa. Nikasema mshkaji simuambii chochote. Acha maisha yaendelee. Acha tupige kazi.
.
.
Kuna siku tupo zetu tunapiga kazi mshkaji anajipanga, akaanza kuniambia hizo habari ambazo nazifahamu. So, kila akisimulia me nikawa namsimulia event ya mbele yake waliyokuwa wameifanya. Alishangaa. Nikamwambia tupige kazi, tuachane na hayo mastory, demu wako alishaniambia. Kumbe demu alikuwa amerudi Tz, anataka ampeleke shule; akaona itakuwaje akionekana naye machoni mwangu!
Ninachomshukuru, jamaa alimlipia ada za mwanzo yule binti, baadaye aliendelea kuhangaika cz alikuwa ananipa ripoti na ku seek sympathy!

NB:
1: Nilihisi pengine binti alianza kuwasiliana na mshkaji kabla sijapata msiba. "Mshkaji ni aina za show off".. Binti yeyote mpenda vizuri ni ngumu kujinasua. Ofcz i had hivyo vipesa vidogo vidogo ambavyo kwa level ya yule Mdada nisingemshindwa. And she was free to access, sikuwa mbahili kwake.

2. Yes, nilishika mapembe.. Sikumlaga. Ila baada yake, demu niliyekuja kumpata sijawahi pata tena demu kama yule. Na sitokuja kumsahau maishani. What a beatiful lady.. What a person she was.. What a heart!

3. Binti kwao hawakuwa vzr sana financially.. Ofcz she was once from a middle class family, then she lost both parents. By the time tunafahamiana alikuwa anaishi kwa dada yake aliyeolewa; Nchi X alienda kwa dada yake mwingine aliyeolewa kule. Kimuonekano ni mzuri, ana ile ngozi na mwili uliyopata matunzo bora utotoni.
Mkiwa mnapata mademu muwe mnawavua chupi kwanza mengine badae acheni kulemba lemba umeona sasa ujinga wako ujavua chupi kaja kuvuliwa na rafiki yako....

121.
 
Hata mm nilishawai fanya iki kitu ila tulikuja kuachana kawaida tuu
Nishawai ingia nae kanisan na tukajiapiza kutokuja kuachana tukawekeana biblia katikati tukiwa tumepingiana! Alinishawishi Sana tufanye hivo akihofia ntakuja kumuacha (huu ndo upuuzi nnaoujutia adi kesho)

Sent using Jamii Forums mobile app

121.
 
Back
Top Bottom