Al-jazeera islamic center yaishukia mtanzania

Al-jazeera islamic center yaishukia mtanzania

Nyie endelepeuni. Kazi Ya alallh maana makafiri wameumbwana husuda

Rudi usahihishe typology haraka la sivyo baadhi ya wasomaji watadhani umeandika ile lugha yenu mnayokaririshwa.
 
Rudi usahihishe typology haraka la sivyo baadhi ya wasomaji watadhani umeandika ile lugha yenu mnayokaririshwa.

acha upimbi kama hujaelewa wewe ni miongoni mwa waliopata zero mwaka huu
 
Kituo cha Al-Jazeera Islamic Center kimekanusha vikali tuhuma zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania,Shekh Ramadhan Salum Mazige amesema kuwa habari hizo ni za uzushi na pia wamelipa gazeti la Mtanzania siku saba kuthibitisha ukweli wa habari ilizoziandika vinginevyo wataliburuza mahakamani.Pamoja na hayo mkurugenzi wa kituo hicho amesema kuwa gazeti hilo lisiwe chanzo cha kuchochea vurugu bila ya tija yeyote.

Mtazamo wangu:Naamini MTANZANIA WATAKUJA NA USHAHIDI KUTHIBITISHA WALOANDIKA JUU YA KITUO HIKI KUFUNDISHA UGAIDI NA KUINGIZA SILAHA NCHINI KIMAGENDO.
SOSI:AMPLIFAYA-CLOUDS FM

Ulitegemea watakubali? -- hakuna ubishi kama mtanzania wametoa inamaana wanadata na mkibishana sana watawaumbua kweupeeee!!! We haiwezekani umweke mtu chuoni miaka saba eti unamfundisha kompyuta mtaala gani huo. Halafu wa dini moja tuu!!!
 
Hawa jamaa walikosa jina la hicho kituo chao? Au ndio kutafuta attention.
 
Hawa jamaa walikosa jina la hicho kituo chao? Au ndio kutafuta attention.

na wewe umekosa jina la avatar yako mpaka utumie jina la kabila la Wafulani la Afrika Magharibi au ndio kutafuta attention?
 
na wewe umekosa jina la avatar yako mpaka utumie jina la kabila la Wafulani la Afrika Magharibi au ndio kutafuta attention?
Hiyo ya west Africa umeiweka wewe. kuna fulani ya kiswahili. Hukuwa na sababu ya kwenda huko mbali. Mi ni raia fulani tu.
 
Miaka 7 unasoma Komputa,English,Dini,Karate na kutumia Jambia! Sehemu yenyewe Ukerewe! Watu wetu wa Usalama wamelala sana!
 
Back
Top Bottom