Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Kituo cha Al-Jazeera Islamic Center kimekanusha vikali tuhuma zilizoandikwa na gazeti la Mtanzania,Shekh Ramadhan Salum Mazige amesema kuwa habari hizo ni za uzushi na pia wamelipa gazeti la Mtanzania siku saba kuthibitisha ukweli wa habari ilizoziandika vinginevyo wataliburuza mahakamani.Pamoja na hayo mkurugenzi wa kituo hicho amesema kuwa gazeti hilo lisiwe chanzo cha kuchochea vurugu bila ya tija yeyote.
Mtazamo wangu:Naamini MTANZANIA WATAKUJA NA USHAHIDI KUTHIBITISHA WALOANDIKA JUU YA KITUO HIKI KUFUNDISHA UGAIDI NA KUINGIZA SILAHA NCHINI KIMAGENDO.
SOSI:AMPLIFAYA-CLOUDS FM
Mtazamo wangu:Naamini MTANZANIA WATAKUJA NA USHAHIDI KUTHIBITISHA WALOANDIKA JUU YA KITUO HIKI KUFUNDISHA UGAIDI NA KUINGIZA SILAHA NCHINI KIMAGENDO.
SOSI:AMPLIFAYA-CLOUDS FM