Al Jadawi yuko Tanzania?

Gembe

JF-Expert Member
Sep 25, 2007
2,483
159
Heshima Mbele,

Kuna mambo matatu nataka kujua

1. Nani ana taarifa za Al Jadawi? Kuna ka nzi kameniambia yuko Tanzania kwa sasa

2. Je familia yake ya zanzibari iko karibu na familia ya nani?

3. Shareholders wa Dowans kwa upande wa Tanzania ni kina nani (the name of the company please)

Am trying to connect to the dot about one things..nimeanza kuogopa!
 
Heshima Mbele,

Kuna mambo matatu nataka kujua

1. Nani ana taarifa za Al Jadawi? Kuna ka nzi kameniambia yuko Tanzania kwa sasa

2. Je familia yake ya Zanzibar iko karibu na familia ya nani?

3. Shareholders wa Dowans kwa upande wa Tanzania ni kina nani (the name of the company please)

Am trying to connect to the dot about one things..nimeanza kuogopa!

Mnatafuta ugomvi na Mkuu wa kaya hapa, mlishaambiwa Al Jadawi ndiye mmiliki wa DOWANS nyie hamkubali, unaogopa nini wakati issue unaijua kwani kila anayejua atawajibika kwa anachokijua.

Hiyo link ndiyo inampa kiburi Fisadi papa RA, na ndio inamfanya Malegesi hayuko ndani mpaka leo
 
Heshima Mbele,

Kuna mambo matatu nataka kujua

1. Nani ana taarifa za Al Jadawi? Kuna ka nzi kameniambia yuko Tanzania kwa sasa

2. Je familia yake ya zanzibari iko karibu na familia ya nani?

3. Shareholders wa Dowans kwa upande wa Tanzania ni kina nani (the name of the company please)

Am trying to connect to the dot about one things..nimeanza kuogopa!

duh haya yote tumeshayasema mkuu.. anaitwa Brig. Gen. Suleiman Yahya Mohammed Al-Adawi.. alizaliwa miaka ya hamsini na kuondoka Zanzibar miaka michache kabla ya mapinduzi ya Zanzibar.. familia yake ina nyumba Dar na Zanzibar (ana ndugu zake wengi tu na wana biashara kadhaa). Ana ukaribu wa mahusiano na Rostam na watawala wa Zanzibar.. pia vyanzo vya intelligencia vinadokeza kuwa ana mahusiano ya karibu na watu wa CUF hususan mmoja wa viongozi wakuu wa CUF..
 
duh haya yote tumeshayasema mkuu.. anaitwa Brig. Gen. Suleiman Yahya Mohammed Al-Adawi.. alizaliwa miaka ya hamsini na kuondoka Zanzibar miaka michache kabla ya mapinduzi ya Zanzibar.. familia yake ina nyumba Dar na Zanzibar (ana ndugu zake wengi tu na wana biashara kadhaa). Ana ukaribu wa mahusiano na Rostam na watawala wa Zanzibar.. pia vyanzo vya intelligencia vinadokeza kuwa ana mahusiano ya karibu na watu wa CUF hususan mmoja wa viongozi wakuu wa CUF..

mkuu nawe UWT
 
duh haya yote tumeshayasema mkuu.. anaitwa Brig. Gen. Suleiman Yahya Mohammed Al-Adawi.. alizaliwa miaka ya hamsini na kuondoka Zanzibar miaka michache kabla ya mapinduzi ya Zanzibar.. familia yake ina nyumba Dar na Zanzibar (ana ndugu zake wengi tu na wana biashara kadhaa). Ana ukaribu wa mahusiano na Rostam na watawala wa Zanzibar.. pia vyanzo vya intelligencia vinadokeza kuwa ana mahusiano ya karibu na watu wa CUF hususan mmoja wa viongozi wakuu wa CUF..
Ni mwanajeshi? wa jeshi lipi? la taifa gani?
 
duh haya yote tumeshayasema mkuu.. anaitwa Brig. Gen. Suleiman Yahya Mohammed Al-Adawi.. alizaliwa miaka ya hamsini na kuondoka Zanzibar miaka michache kabla ya mapinduzi ya Zanzibar.. familia yake ina nyumba Dar na Zanzibar (ana ndugu zake wengi tu na wana biashara kadhaa). Ana ukaribu wa mahusiano na Rostam na watawala wa Zanzibar.. pia vyanzo vya intelligencia vinadokeza kuwa ana mahusiano ya karibu na watu wa CUF hususan mmoja wa viongozi wakuu wa CUF..

Ni mwanajeshi? wa jeshi lipi? la taifa gani?


Kwahiyo hana uraia kabisa wa Tanzania (that means aliukana), Hivi hana nyumba au biashara (zaidi ya nyumba na biashara za familia)? Unajua mtu aliyekimbia kipindi cha heka heka za kutafuta uhuru, akaenda nchi nyingine na kupewa nafasi hata kuwa Brg. ni mtu hatari kumpatia nafasi ya kujinafasi kwenye biashara au siasa za nchi yetu kwani hana uzalendo. Mambo haya yasipothibitiwa tutaingia kwenye ubaguzi na waasia ndo wataathirika sana, dharau zao zinafika pabaya sasa.
 
mwanakijiji je huyu ana uhusiano na brigedia al hardhi wa oman ambaye ana ndugu znz na tanga ??
 
Kwahiyo hana uraia kabisa wa Tanzania (that means aliukana), Hivi hana nyumba au biashara (zaidi ya nyumba na biashara za familia)? Unajua mtu aliyekimbia kipindi cha heka heka za kutafuta uhuru, akaenda nchi nyingine na kupewa nafasi hata kuwa Brg. ni mtu hatari kumpatia nafasi ya kujinafasi kwenye biashara au siasa za nchi yetu kwani hana uzalendo. Mambo haya yasipothibitiwa tutaingia kwenye ubaguzi na waasia ndo wataathirika sana, dharau zao zinafika pabaya sasa.

Kwa kweli sijui.. nadhani anajitambulisha zaidi kama Mzanzibari kuliko Mtanzania.. sijui kama amewahi kuwa raia wa TAnzania..
 
mwanakijiji je huyu ana uhusiano na brigedia al hardhi wa oman ambaye ana ndugu znz na tanga ??

kina al-hardhy.. pamojana mwalimu Barubaru wana historia ndefu Tanzania tangu enzi na enzi (baadhi ya mashehe wakubwa na wanazuoni wa Kiislamu) na sijui kama kuna kuna uhusiano na kina Al-Adawi wa Zanzibar.. ingawa najua kina Al-hardhy (sijui kama na spell jina lao sawa) wana jamaa pia huko Zanzibar.
 
Al harthy ana uhusiano mkubwa na huyo al adawi -- wana office moja pale nssf opst redcross ( ni internet cafe ) ila imeajiri wasomali wengi wenye kufanya biashara kati ya oman , znz na congo pamoja na tz mainland ( mara ya mwisho najua al harthy alikuwa kongo katika biashara ya madini
 
Kwahiyo hana uraia kabisa wa Tanzania (that means aliukana), Hivi hana nyumba au biashara (zaidi ya nyumba na biashara za familia)? Unajua mtu aliyekimbia kipindi cha heka heka za kutafuta uhuru, akaenda nchi nyingine na kupewa nafasi hata kuwa Brg. ni mtu hatari kumpatia nafasi ya kujinafasi kwenye biashara au siasa za nchi yetu kwani hana uzalendo. Mambo haya yasipothibitiwa tutaingia kwenye ubaguzi na waasia ndo wataathirika sana, dharau zao zinafika pabaya sasa.

Aliondoka wakati Tanzania haijulikani au haijawa Tanzania, kwa mujibu wa habari za Mwanakijiji (sijui ukweli wake) kuwa aliondoka kabla ya mapinduzi, wakati huo kulikuwa hakuna Tanzania.

Kwa nini ushikilie kakimbia? alichokikimbia ni nini? pengine aliondoka kwenda masomoni nje na akapata ulaji huko huko kama ilivyo kwa wengi wa wana JF?
 
Heshima Mbele,

Kuna mambo matatu nataka kujua

1. Nani ana taarifa za Al Jadawi? Kuna ka nzi kameniambia yuko Tanzania kwa sasa

2. Je familia yake ya zanzibari iko karibu na familia ya nani?

3. Shareholders wa Dowans kwa upande wa Tanzania ni kina nani (the name of the company please)

Am trying to connect to the dot about one things..nimeanza kuogopa!

Heshima Mbele,

Kuna mambo matatu nataka kujua

1. Nani ana taarifa za Al Jadawi? Kuna ka nzi kameniambia yuko Tanzania kwa sasa

2. Je familia yake ya zanzibari iko karibu na familia ya nani?

3. Shareholders wa Dowans kwa upande wa Tanzania ni kina nani (the name of the company please)

Am trying to connect to the dot about one things..nimeanza kuogopa!

Ni kweli alikuwapo Zanzibar kiasi cha wiki tatu zilizopita kwa hakika. Rostam alikwenda huko kuonana naye kama kawaida yao. Al Adawi ambaye alikuwa ADC wa Mfalme wa Oman, ni mtu muhimu sana kwa siasa za TAnzania. Ana majumba mawili ya kifahari katika beach za East eneo la Bwejuu na West Coast eneo la MAzizini. Mazizini aliuziwa kwa bei ya bure na Dk; Salmin Amour nyumba ya serikali na aliibomoa na kujenga kasri. Ahsante Gembe kutuzindua, tunamrafuta.
 
Ni kweli alikuwapo Zanzibar kiasi cha wiki tatu zilizopita kwa hakika. Rostam alikwenda huko kuonana naye kama kawaida yao. Al Adawi ambaye alikuwa ADC wa Mfalme wa Oman, ni mtu muhimu sana kwa siasa za TAnzania. Ana majumba mawili ya kifahari katika beach za East eneo la Bwejuu na West Coast eneo la MAzizini. Mazizini aliuziwa kwa bei ya bure na Dk; Salmin Amour nyumba ya serikali na aliibomoa na kujenga kasri. Ahsante Gembe kutuzindua, tunamrafuta.

well.. ndiye aliyefanya mipango ya uanzishwaji wa Dowans Holdings kule Costa Rica na kwa msaada wa RA kuweza kuiingiza nchini na kuwa na share katika the second Dowans Tanzania Limited...
 
Kwa kweli sijui.. nadhani anajitambulisha zaidi kama Mzanzibari kuliko Mtanzania.. sijui kama amewahi kuwa raia wa TAnzania.

Ni kweli alikuwapo Zanzibar kiasi cha wiki tatu zilizopita kwa hakika. Rostam alikwenda huko kuonana naye kama kawaida yao. Al Adawi ambaye alikuwa ADC wa Mfalme wa Oman, ni mtu muhimu sana kwa siasa za TAnzania. Ana majumba mawili ya kifahari katika beach za East eneo la Bwejuu na West Coast eneo la MAzizini. Mazizini aliuziwa kwa bei ya bure na Dk; Salmin Amour nyumba ya serikali na aliibomoa na kujenga kasri. Ahsante Gembe kutuzindua, tunamrafuta.

well, sasa ameruhusiwa vipi kumiliki ardhi na nyumba wakati si Mtanzania?
 
Aliondoka wakati Tanzania haijulikani au haijawa Tanzania, kwa mujibu wa habari za Mwanakijiji (sijui ukweli wake) kuwa aliondoka kabla ya mapinduzi, wakati huo kulikuwa hakuna Tanzania.

Kwa nini ushikilie kakimbia? alichokikimbia ni nini? pengine aliondoka kwenda masomoni nje na akapata ulaji huko huko kama ilivyo kwa wengi wa wana JF?

Sawa Mkuu nimekuelewa vizuri.
 
MENGI3.jpg
 
well, sasa ameruhusiwa vipi kumiliki ardhi na nyumba wakati si Mtanzania?
Ukiwa Mzanzibari moja kwa moja wewe ni Mtanzania. Lakini unaweza kuwa Mtanzania pasipo kuwa wewe ni Mzanzibari. Uraia una ncha nyingi , na ya muhimu ni nile ya kuwa raia wa kuzaliwa, na kutoukana uraiawako wa kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom