Nani alisababisha hayo mauaji?!Akwilina amesababisha kina MBOWE kulipishwa mil 300 na ushee wakati wauaji walikuwa ni jeshi la polisi
Polisi wasio na akili.Nani alisababisha hayo mauaji?!
Nilidhani waandamanaji wasio na ruhusa/ulinzi!Polisi wasio na akili.
Mifano haifanani kabisaView attachment 1465244
Visa na matukio duniani yapo mengi na kukosea kupo japo busara ndio kinga kuleta amani.
Kwa wenzetu (USA) mpaka askari imebidi wakubali kujipinga au kupinga kosa lilopo bila kusabisha maafa mengi. Huku Afrika tutajifunza vipi kwa hili
Tena huku yule askari aliyefyatua "trigger" na kumwua Yule binti asiye na hatia Akwiline Akwilini, akisafishwa na Jeshi la Polisi nchini kuwa hana kosa lolote!Huku kesi anabambikiwa Chadema
Nani alisababisha hayo mauaji?!
Km sio kina Mbowe kuandamana bila kibali huyo mtoto asingeuwawa
Inafanana sana tu tatizo kichwa chako kigumu kuelewa na maanisha kichwa maji weweMifano haifanani kabisa
Polisi ndiyo walimtwanga risasi Akwilina kwa makusudi lakini serikali imewakingia kifua wanakula bata kama kawa!Nani alisababisha hayo mauaji?!