KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Jamani kulala ni amani na ni pumzisho la mwili na ukiwa umelala saa nyingine hutaki kitu kikuguse na hasa hii uendana na mazingira husika!Mara nyingi wanawake wana milalo tofauti na wanaume labda kwakuwa wao uwajibika zaidi au ndo mungu alivyo waumba,na zaidi mwanamke akilala dizaini yake huwa nikichocheo kwa mpenzi wake na hasa akija akakuta amelala kwa style yake!Sasa kwakuwa akina dada ndo uvutia kwa milalo ya uchokozi na humu kwenye hili jukwaa letu maridhawa ningewaomba wote mtwambie kwakila aliyehamasika na uzi huu je huwa anajitupa vipi??nayenyewe itakuzidishia marafiki hapa kwenye jukwaa la mmu!